Balozi Chriss
Senior Member
- Jan 21, 2011
- 153
- 16
tunarudi kwa kishindo.
<br />Big up <u><b>Balantanda</b></u>,kwa ushabiki wa mpira, sio kwa timuza TZ tu, ila kwa kwa timu bora duniani! Now its official, nguli <u><b>Peasant ni mshabiki wa Arsenal</b></u>, maana anakesha humu!
Mi naona kabadilika sana siku hizi.....Na atakuwa mzuri sana endapo atachezeshwa katiBora umeongea ukweli,lakini naamini still Walcott anaweza akafanya vizuri cha msingi aingie gym ajenge mwili then Wenger amchezeshe kama Striker hasicheze pembeni
Kweli kabisa inabidi zitengenezwe TV za kutumia betri kwa wingi........thanks God nimepata sehemu ya kuangalia wanatumia jeneretaMkuu pole sana. Mda umefika sasa kununua tv inayotumia mabetri. Bila bila mkuu.
Bado mkuu......Vijaa vinacheza mpira mzuri.....Vinatushambuliatunarudi kwa kishindo.
Jirani yetu huyo.......<br />
<br />
Umeona eeh,anainkandya arsenal ili hatimaye iwe safi kama anavyotaka yeye ndo roho yake itatulia!
Kweli kabisa inabidi zitengenezwe TV za kutumia betri kwa wingi........thanks God nimepata sehemu ya kuangalia wanatumia jenereta
Half time
Arsenal 1-0 Swansea
So far sijaona mabadiliko ,na goli mmepewa na huyo kipatunarudi kwa kishindo.
Zipo nyingi tu mkuu ,portable.
Na haya ndio matatizo ya AW......Santos yuko bench.....Labda anasoma mchezoAisee ule upande wa Gibs naona yule rasta anamuonea sana! Santos leo vp?
Hapa kwangu wameshauchukua aiseeItabidi nitafute moja maana huyu Ngeleja na megawati zake anatutesa sana.
Big up Balantanda,kwa ushabiki wa mpira, sio kwa timuza TZ tu, ila kwa kwa timu bora duniani! Now its official, nguli Peasant ni mshabiki wa Arsenal, maana anakesha humu!
<br />So far sijaona mabadiliko ,na goli mmepewa na huyo kipa