hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,301
- 26,696
Bado hajafikia level ya juu kabisa , ila kwasasa ashindwe yeye Sasa ,kashawekewa mfumo mzuri wakufunga"60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"
Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.
Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland![]()
Mech vs Astonvilla walimnyima goal wakati alianza kushika beki wa Astonvilla, bado alitengeneza nafasi nyingi za magoli wenzie hawakuzitumia
Msimu huu sitashangaa akimaliza na G/A ya 15
Ni mzuri kwenye movement na kufika kwenye box kwa wakati
Arsenal are currently exploring the prospect of signing 22y/o Amadou Onana from Everton. No talks have taken place yet; club insists on signing new holding midfielder, considering possible departures. #AFC