Arsenal hope to have Takehiro Tomiyasu, Thomas Partey and Mohamed Elneny available for the FA Cup third round clash with Liverpool.
The trio are currently out injured but progressing well and hope to play on January 7 before they head off on international duty. [@sr_collings

Liverpool tena?nilijua ni kina Aston Villa FA Cup Duh 😅 bora Kai awepo ila Odegaard asiwepo?Ozil alikuwa super master kwny kutoa pasi zile ambazo watu hawazitarajii...he was that good....ila alikuwa hawezi kukaba yaani alikuwa lonyalonya sana....Kai hawezi kufika uwezo wa kupiga hzo pasi hata kidogo...ila ana win mipira ya juu na anakaba sana kusaidia timu ndo maana ana mikadi mingi ya njano🤠🤠🤠....Sasa basi tutasimama na King Kai mpk mwsho na atatupa kombe...Kai mtu sana....sasahv Bora Odegaard asiwepo ila King Kai awepo....napata burudani kumuangalia akifanya movement za kibishoo pale mbele
Yeah, tutaingiza waokota mipira. WanawatoshaArsenali msiingize timu uwanjani
Nilichomekea kidogo mkuu ila Odegaard huwa ananikera kwny mechi crucial huwa kama anapoteana hivi...ile mechi ya Aston Villa kakosa magoli kipumbavu sanaDuh 😅 bora Kai awepo ila Odegaard awepo?
Kai anafanya runs. Ni AM lakini strength yake ipo kwenye runs na siyo anachofanya AM.
Odegaard anakuchukulia mpira chini anapanda nao dimbani. Anaugawa anauomba tena . . .
Reddit kuna jamaa alisema Kai hafai na akasema akifanya vizuri atafutwe. Kuna mshkaji kamtafuta jamaa juzi, na fan base yote ikasema he is improving but not enough kuanza kuwatishia watu.
Sasa yupo safari ya kuimprove mnaanza kusema bora Odegaard asiwepo 😅
Nilichomekea kidogo mkuu ila Odegaard huwa ananikera kwny mechi crucial huwa kama anapoteana hivi...ile mechi ya Aston Villa kakosa magoli kipumbavu sana
kesho kihama chenuJifunze kuandika vzuri kwnza mkuu...Kihama ndo nn🤠🤠...mpira unachezwa uwanjani sio mikwara mdomonikesho kihama chenu
Hahah wanang wa Tembo juu ya mti naona mpo.Jifunze kuandika vzuri kwnza mkuu...Kihama ndo nn...mpira unachezwa uwanjani sio mikwara mdomoni

Ukiendelea hivi ukifika miaka 60 kama hautakua mchawi basi utakua unapaa na ungo angani!Kama ilivyo ada ya EPL, anayemaliza top of the table kipindi cha xmas huwa bingwa wa msimu husika. Leo Villa anacheza na vibonde Sheffield hivyo ushindi ni 99% kwake. Kesho ninyi na Liverkuku mnatoa droo au mnakufa kabisa. Hapo ndio mwanzo wa kuanza kumuona Kai anacheza Arsenal sababu ni shemeji yake Arteta na sio wa kiwango stahiki.
Then mtaanza kuongelea usajili wa Julai wakati tuko Disemba.
False hopers.
Tuendelee ndugu mchambuzi.Kama ilivyo ada ya EPL, anayemaliza top of the table kipindi cha xmas huwa bingwa wa msimu husika. Leo Villa anacheza na vibonde Sheffield hivyo ushindi ni 99% kwake. Kesho ninyi na Liverkuku mnatoa droo au mnakufa kabisa. Hapo ndio mwanzo wa kuanza kumuona Kai anacheza Arsenal sababu ni shemeji yake Arteta na sio wa kiwango stahiki.
Then mtaanza kuongelea usajili wa Julai wakati tuko Disemba.
False hopers.


Basi tuiingiza sokoniArsenali msiingize timu uwanjani
Muda huwezi kuupata sababu hauuzwiHahah wanang wa Tembo juu ya mti naona mpo.
Sijapita mda humu lkn najua kuna furaha ipo ya mda lkn itaisha tu![]()