Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Safi Sana mate ,moja ya kitu sipend kwenye maisha kugombana na Arsenal fans ,huwa najitahid Sana niepuke Hilo, Arsenal fans Mimi huwa nawachukulia Kama ndugu zangu wa damu kabisa ,
Nimewahi kupitia Hali ngumu sana ,moja nadaiwa Kodi Sina kazi, kuna Arsenal fan akanisaidia kazi kwenye ofisi yake
Nishafikwa na maswaibu acha tu, Mke ameshikwa uchungu na Sina pesa ya hospitali ,Arsenal fan akanisaidia
Nishasaidiwa na Mimi kusaidiana na Arsenal fans katika shida na Raha nyingi ,
Thus why events za kutoa misaada za Arsenal fans huwa sikosi ,na mwaka huu ipo yakuchangia wagonjwa wa moyo
Ukishakuwa mwana Arsenal tayari Kuna DNA ya undugu inajengeka ndani yako
Fatilia hata wachezaji wa Arsenal ,huwa wanalisema hili Sana ,hata wanapokuwa wameondoka .... Mohammed Elneny alielezea Sana hili ,
For me Arsenal Ni part ya maisha sababu imeniunganisha na watu wengi , nikisafiri hata sehemu Kama Sina pakufikia nitamtafuta Arsenal fan maisha yatendelea
Kuna kipindi fan mmoja aliwahi kuniomba msaada, uwezo nilikuwa nao, nilifikiria sana lakini roho ikaogopa kwamba hii inaweza kuwa social engineering natafutwa. Naomba Mungu anisamehe.


Jurrien Timber is on track to return to training in January and is now aiming to make the squad for the trip to Porto on Feb. 21, per source. 

we are family


together we can