Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwaio kuna watu wanasema Mid yetu iwe ya Onana na Rice?

Huo ni ugaidi ndugu zangu acheni na wengine wapate ahueni tukicheza nao
20231219_201410.jpg
 
[emoji599] Jurrien Timber is on track to return to training in January and is now aiming to make the squad for the trip to Porto on Feb. 21, per source.

Utatoa hutoi?
20231205_131104.jpg
 
Kai Havertz:

"Even after two or three bad games, the coach (Mikel Arteta) came to me and said: ‘Hey, everything is fine, soon something will click and then it will happen.’

And then the moment came." [sky germany via daily cannon]View attachment 2847191
Havertz anaona kama ameclick na ameyapatia maisha huku Arsenal wakati tupo amao bado tunategemea zaidi kwake na hatufurahishwa naye bado 😀
 
Hiki kipindi cha sikukuu, Kanisani wametufundisha “Tusameheane” kwa muktadha huo nimemsamehe mwana Arsenal mwenzangu ambaye tulitofautiana kwa kauli zisizo za kiungwana na kupelekea kum-block.
arsenal2004 sina tena kinyongo na wewe; ila sikulazimisha kuyasahau yaliyopita
Safi Sana mkuu, we are the gunners [emoji110]
 
Mkuu mm sina tatizo na ww....habari za kuweka kinyongo huwa sina[emoji1783][emoji1783][emoji1783]....sijawahi kusahau tulivyopelekeshana ndo maana wakati mwingine nikitaka kuku quote kwny baadhi ya Comment zako nakuwa nakumbuka kwmba Mwamba tulisagiana kunguni kwhyo napita kushoto[emoji1783][emoji1783]...ila tuanze upya tupo hmu kwa burudani tu...No need for violence
Safi Sana kamanda [emoji110]
 
Safi Sana mate ,moja ya kitu sipend kwenye maisha kugombana na Arsenal fans ,huwa najitahid Sana niepuke Hilo, Arsenal fans Mimi huwa nawachukulia Kama ndugu zangu wa damu kabisa ,

Nimewahi kupitia Hali ngumu sana ,moja nadaiwa Kodi Sina kazi, kuna Arsenal fan akanisaidia kazi kwenye ofisi yake

Nishafikwa na maswaibu acha tu, Mke ameshikwa uchungu na Sina pesa ya hospitali ,Arsenal fan akanisaidia

Nishasaidiwa na Mimi kusaidiana na Arsenal fans katika shida na Raha nyingi ,

Thus why events za kutoa misaada za Arsenal fans huwa sikosi ,na mwaka huu ipo yakuchangia wagonjwa wa moyo

Ukishakuwa mwana Arsenal tayari Kuna DNA ya undugu inajengeka ndani yako

Fatilia hata wachezaji wa Arsenal ,huwa wanalisema hili Sana ,hata wanapokuwa wameondoka .... Mohammed Elneny alielezea Sana hili ,

For me Arsenal Ni part ya maisha sababu imeniunganisha na watu wengi , nikisafiri hata sehemu Kama Sina pakufikia nitamtafuta Arsenal fan maisha yatendelea
[emoji817] we are family
#COYG
 
Mkuu hii inanikumbusha tukio moja mtaani huku. Kuna jamaa mwana gunnerz tulikuwa tunakutana naye banda umiza tuu. Wote mashabiki wa Arsenal. Hatufahamiana kivile kuanzia majina wala nani anaishi wapi. N zile za "Niaje" anajibu "Freshi" maisha yanasonga.

Siku hiyo napita mitaa ya mbelembele, nakuta kuna ugomvo mkubwa unaendelea kipande hiko. Nikasema nisogee kuona kimachoendelea.

Mara namkuta jamaa ndo anataka kuzichapa na jamaa mwingine, na kila majirani "wakigombelezea" jamaa haelewi kabisa.

Basi ikabidi na mimi niingilie kati, jamaa hata simjui. Nikawa naita "Mzee wa gunners" acha bhana, tulia achana naye huyo jamaa. Jamaa naye ananijibu "mzee wa gunnerz" acha nimshikie adabu huyu mduanzi.

M nazidi kumsihi achana naye bhana mzee wa gunnerz. Basi jamaa ikabidi aachane naye na ugomvi ukaishia hapo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Noma Sana mzee, ukajua ukishamuita the Gunner nyongo itapoa tu[emoji1]
 
Kuna kipindi fan mmoja aliwahi kuniomba msaada, uwezo nilikuwa nao, nilifikiria sana lakini roho ikaogopa kwamba hii inaweza kuwa social engineering natafutwa. Naomba Mungu anisamehe.
[emoji1666]
 
Kuelekea Tamasha la Mashabiki wa Arsenal Africa hapo April 2024, Arsenal Supporters Club Tanzania inaungana na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (Jakaya Kikwete Cardiac Insititute -JKCI) kuchangisha pesa kwa ajili ya kusaidia upasuaji kwa watoto wenye changamoto ya moyo

Ambayo wazazi hawana uwezo wa kumudu gharama hizo.

Pamoja tuungane kuleta mabadilikoView attachment 2847244
[emoji120] together we can
 
Havertz anaona kama ameclick na ameyapatia maisha huku Arsenal wakati tupo amao bado tunategemea zaidi kwake na hatufurahishwa naye bado 😀
Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,

Ødegaard anatokea chini ,Saka anapokea mipira kwenye zone ya RCM, Kai anaingia ndani kushambulia ,so ni yeye Sasa kufunga tu magoli

Na timu ishaanza kuflow

Tulianza taratibu hasa eneo la attacking

Kocha kapata suluhisho ,kambadilishia Øde majukumu

Angalia mechi za Arsenal,mfatilie Øde anapokea mipira kutoka kwenye backline lakin utamkuta pia katikati ,utamkuta pia mbele

Kai ashindwe yeye Sasa kufikisha goli 10 EPL , Goals 3 muhimu UCL

Namuona akipiga G/A 15 ,Hadi Sasa ana 6 G/A. na amechelewa ku click
20231219_183955.jpg
 
Kwasasa Ni yeye tu kashawekewa system nzuri ,

Ødegaard anatokea chini ,Saka anapokea mipira kwenye zone ya RCM, Kai anaingia ndani kushambulia ,so ni yeye Sasa kufunga tu magoli

Na timu ishaanza kuflow

Tulianza taratibu hasa eneo la attacking

Kocha kapata suluhisho ,kambadilishia Øde majukumu

Angalia mechi za Arsenal,mfatilie Øde anapokea mipira kutoka kwenye backline lakin utamkuta pia katikati ,utamkuta pia mbele

Kai ashindwe yeye Sasa kufikisha goli 10 EPL , Goals 3 muhimu UCL

Namuona akipiga G/A 15 ,Hadi Sasa ana 6 G/A. na amechelewa ku click View attachment 2847517

"60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"

Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.

Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland 🤣
 
Safi Sana mate ,moja ya kitu sipend kwenye maisha kugombana na Arsenal fans ,huwa najitahid Sana niepuke Hilo, Arsenal fans Mimi huwa nawachukulia Kama ndugu zangu wa damu kabisa ,

Nimewahi kupitia Hali ngumu sana ,moja nadaiwa Kodi Sina kazi, kuna Arsenal fan akanisaidia kazi kwenye ofisi yake

Nishafikwa na maswaibu acha tu, Mke ameshikwa uchungu na Sina pesa ya hospitali ,Arsenal fan akanisaidia

Nishasaidiwa na Mimi kusaidiana na Arsenal fans katika shida na Raha nyingi ,

Thus why events za kutoa misaada za Arsenal fans huwa sikosi ,na mwaka huu ipo yakuchangia wagonjwa wa moyo

Ukishakuwa mwana Arsenal tayari Kuna DNA ya undugu inajengeka ndani yako

Fatilia hata wachezaji wa Arsenal ,huwa wanalisema hili Sana ,hata wanapokuwa wameondoka .... Mohammed Elneny alielezea Sana hili ,

For me Arsenal Ni part ya maisha sababu imeniunganisha na watu wengi , nikisafiri hata sehemu Kama Sina pakufikia nitamtafuta Arsenal fan maisha yatendelea
[emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
"60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"

Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.

Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland [emoji1787]
Hako kawimbo baada ya lile goli dhidi ya brighton uwanja mzima ulilipuka kwa kuimba ivyo daaah ilikua ni balaa mwanangu, yan hapo kama ni mchezaji unavyojifeel aisee ni zaid ya love mazee.
 
"60 million down the drain.
Kai Havertz scores again"

Kawimbo au kapoem kazuri nimekaona reddit. Arsenal fans wanautumia kuwatania chelkenge fans waliokuwa wanawatania arsenal fans kuwa wamechezea 60 million.

Anyway, tusimuona Kai kama bonge la mchezaji labda tunamuangalia Kai kwa standard zetu zisizotimika. Tunataka upgrade ya Xhaka kwenye ile nafasi. Tunataka ubunifu wa Ozil, ukakamavu, uthubutu, usumbufu wa Alexis Sanchez (hata Jesus tunataka afike hapa) na finishing ya Haaland [emoji1787]
Bado hajafikia level ya juu kabisa , ila kwasasa ashindwe yeye Sasa ,kashawekewa mfumo mzuri wakufunga

Mech vs Astonvilla walimnyima goal wakati alianza kushika beki wa Astonvilla, bado alitengeneza nafasi nyingi za magoli wenzie hawakuzitumia

Msimu huu sitashangaa akimaliza na G/A ya 15

Ni mzuri kwenye movement na kufika kwenye box kwa wakati
 
Castr jamaa ako Purple channel karudi

[emoji599]Arsenal are currently exploring the prospect of signing 22y/o Amadou Onana from Everton. No talks have taken place yet; club insists on signing new holding midfielder, considering possible departures. #AFC

@PurplePanel


tumpate haraka huyu jamaa halafu kumbe mdogo tu, huyu kufikia summer hawez kubaki pale Everton ,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom