Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sema watu mna chuki sana na Kai .. halafu hazina Sababu
Kai achukiwe kwa kipi.. Humu sidhani kama tunaweza leta chuki binafsi kwa mtu ambae hatuna muingiliano na wengine hata huku mitaani kuishi kwa chuki hatuwezi.
Tunapoongea humu ni burudani tu kuchambua mpira, kuelezea kile unachokiona na kukijua kwenye ball.
Si lazima mfanane mawazo, ndio maana mwalimu huyu anaweza mtumia chama, yule akamkataa, huyu akamuona ode hafai, kisha huyu akamuona ode anamfaa. Soka liko hivyo.
Kila mtu ana kitu kimpendezacho kwa mchezaji.
 
Msimseme sana King Kai n Ozil mpya hapa arsenal
Kai achukiwe kwa kipi.. Humu sidhani kama tunaweza leta chuki binafsi kwa mtu ambae hatuna muingiliano na wengine hata huku mitaani kuishi kwa chuki hatuwezi.
Tunapoongea humu ni burudani tu kuchambua mpira, kuelezea kile unachokiona na kukijua kwenye ball.
Si lazima mfanane mawazo, ndio maana mwalimu huyu anaweza mtumia chama, yule akamkataa, huyu akamuona ode hafai, kisha huyu akamuona ode anamfaa. Soka liko hivyo.
Kila mtu ana kitu kimpendezacho kwa mchezaji.
 
Mie sikubali, ozil ni ozil tu, bado kai hana jicho la ozil
Ozil alikuwa super master kwny kutoa pasi zile ambazo watu hawazitarajii...he was that good....ila alikuwa hawezi kukaba yaani alikuwa lonyalonya sana....Kai hawezi kufika uwezo wa kupiga hzo pasi hata kidogo...ila ana win mipira ya juu na anakaba sana kusaidia timu ndo maana ana mikadi mingi ya njano🤠🤠🤠....Sasa basi tutasimama na King Kai mpk mwsho na atatupa kombe...Kai mtu sana....sasahv Bora Odegaard asiwepo ila King Kai awepo....napata burudani kumuangalia akifanya movement za kibishoo pale mbele
 
Ozil alikuwa super master kwny kutoa pasi zile ambazo watu hawazitarajii...he was that good....ila alikuwa hawezi kukaba yaani alikuwa lonyalonya sana....Kai hawezi kufika uwezo wa kupiga hzo pasi hata kidogo...ila ana win mipira ya juu na anakaba sana kusaidia timu ndo maana ana mikadi mingi ya njano🤠🤠🤠....Sasa basi tutasimama na King Kai mpk mwsho na atatupa kombe...Kai mtu sana....sasahv Bora Odegaard asiwepo ila King Kai awepo....napata burudani kumuangalia akifanya movement za kibishoo pale mbele
Kila mtu na chaguzi yake.
Ozil na ulonya lonya yake alicheza na mourinho anaehusudu kupaki basi.
 
Kila mtu na chaguzi yake.
Ozil na ulonya lonya yake alicheza na mourinho anaehusudu kupaki basi.
Kwasababu kulikuwa kuna watu nyuma wanafanya kazi chafu kumrahisishia....real Madrid ya kipindi kile usingeweza kuifananisha na Arsenal hata kidogo maana tulikuwa na wachezaji wapambanaji labda wa4 tu...wengine wte ilikuwa mizigo....hvyo asingeweza kuwa treated kama alivyokuwa treated pale Madrid....Kikosi alichokirithi Arteta sasahv watu ambao wamebaki ni Saka, Martinelli na Elneny kama sijakosea....wengine wte tulitimua na unaona sasahv timu ipo wapi pale juu kwny msimamo🤠🤠🤠.....Sasa kwa kile kigenge cha Emery hatujawahi kuweza na tusingeweza
 
Hapo tunataka tumuingize mkenge kubwa jinga moja, hasa Chelsea.

Walivyosikia tunamtaka Palhinha nao wamemueka kwenye list.. So far, priority ya Arsenal kwenye mid kwa january bado haijajulikana, lengo ni kuwapiga chenga copycats kama Chelsea.

Hizo habari zote za kina Douglas Luiz, Palhinha na Onana tunazohusishwa nazo usikute ni decoy akaja kuchukuliwa Yossouf Fofana au Cheikh Doucoure.

Unpredictability, remember?
Haahaa Chelsea kwan anataka tena kiungo? Au yeye ni mzee wa kumwaga tu mpungo dadeki zake
 
Muundo unaowezekana wa Ligi ya Super umetangazwa.

Timu 64.
Migawanyiko 3 (Nyota, Dhahabu na Bluu) yenye matangazo na kushuka daraja.

️ Michezo 14 kila msimu kwa kila timu.
7 nyumbani.
7 mbali.

Litakuwa shindano la wazi
Awamu mbili: Ligi na mchujo


Watu walipiga kelele weee mwisho wa siku Don Perez kashinda,. Sijui zile timu zilizoomba msamaha mashabikia kwa kutaka kushiriki sijui itakuaje tena ?
20231221_143753.jpg
 
Haahaa Chelsea kwan anataka tena kiungo? Au yeye ni mzee wa kumwaga tu mpungo dadeki zake
Chelsea hawana plan kwenye usajili wao. Wakiona tu mchezaji mzuri YouTube au wakisikia Arsenal tunamtaka mchezaji fulani basi na wao haoo!

Wakati sisi tunafuatilia dili la Rice, wao walikua busy na matapeli Brighton wakipigana vikumbo na Liverpool kupandisha bei ya Caicedo.

Hata hivyo Rice ali gain trust ya Arteta, thus why ikawa ngumu hata kwa City walipopeleka dau lao mwishoni.

Tukaambiwa kwa Rice tumepigwa sio thamani yake, huku kikisifiwa kiungo cha £200 mil cha Enzo na Caicedo.

Now imekua vice versa, Rice anaitendea kazi price yake, hatuoni kukiwa na discussion za kuhoji price yake.. Lakini kiungo cha £200 mil kina flop day in day out.

Enzo kacheza misimu miwili tu Benfica, msimu wa pili ndo kapata bahati ya kuitwa timu ya taifa tena kwa kuchukua nafasi za wachezaji walioumia, akiwemo yeye na McAlister, akang'aa hapo hapo na kuchukua tuzo.. Chelsea akaenda kunyonywa mchuzi ikamtoka 100 na upuuzi.

Hawa wamarekani wa Chelsea watapigwa sokoni mpaka akili iwakae sawa!
 
Chelsea hawana plan kwenye usajili wao. Wakiona tu mchezaji mzuri YouTube au wakisikia Arsenal tunamtaka mchezaji fulani basi na wao haoo!

Wakati sisi tunafuatilia dili la Rice, wao walikua busy na matapeli Brighton wakipigana vikumbo na Liverpool kupandisha bei ya Caicedo.

Hata hivyo Rice ali gain trust ya Arteta, thus why ikawa ngumu hata kwa City walipopeleka dau lao mwishoni.

Tukaambiwa kwa Rice tumepigwa sio thamani yake, huku kikisifiwa kiungo cha £200 mil cha Enzo na Caicedo.

Now imekua vice versa, Rice anaitendea kazi price yake, hatuoni kukiwa na discussion za kuhoji price yake.. Lakini kiungo cha £200 mil kina flop day in day out.

Enzo kacheza misimu miwili tu Benfica, msimu wa pili ndo kapata bahati ya kuitwa timu ya taifa tena kwa kuchukua nafasi za wachezaji walioumia, akiwemo yeye na McAlister, akang'aa hapo hapo na kuchukua tuzo.. Chelsea akaenda kunyonywa mchuzi ikamtoka 100 na upuuzi.

Hawa wamarekani wa Chelsea watapigwa sokoni mpaka akili iwakae sawa!
Hahh unataka kusema Chelsea ni kama Simba na Yanga kwamba mchezaji wa Youtube

Niliwahi kuhoji siku moja ivi kuna game kwel Enzo alishawahi kuikamata kama ambavyo viungo wengine au wachezaj wengine wanavyozikamata game toka afike Chelsea, sikupewa jibu mpaka leo.
 
Chelsea hawana plan kwenye usajili wao. Wakiona tu mchezaji mzuri YouTube au wakisikia Arsenal tunamtaka mchezaji fulani basi na wao haoo!

Wakati sisi tunafuatilia dili la Rice, wao walikua busy na matapeli Brighton wakipigana vikumbo na Liverpool kupandisha bei ya Caicedo.

Hata hivyo Rice ali gain trust ya Arteta, thus why ikawa ngumu hata kwa City walipopeleka dau lao mwishoni.

Tukaambiwa kwa Rice tumepigwa sio thamani yake, huku kikisifiwa kiungo cha £200 mil cha Enzo na Caicedo.

Now imekua vice versa, Rice anaitendea kazi price yake, hatuoni kukiwa na discussion za kuhoji price yake.. Lakini kiungo cha £200 mil kina flop day in day out.

Enzo kacheza misimu miwili tu Benfica, msimu wa pili ndo kapata bahati ya kuitwa timu ya taifa tena kwa kuchukua nafasi za wachezaji walioumia, akiwemo yeye na McAlister, akang'aa hapo hapo na kuchukua tuzo.. Chelsea akaenda kunyonywa mchuzi ikamtoka 100 na upuuzi.

Hawa wamarekani wa Chelsea watapigwa sokoni mpaka akili iwakae sawa!
Nimecheka Sana ,Chelsea wataendelea kushika nafasi za 10 mpaka wakome,

Wamiliki wao wanafanya sajili kwa sifa na kukomoana

Unakumbuka msimu wakwanza walipovamia dili Kama 10 hivi, bahati nzuri wachezaji wengi waliwakataa

Wakaja January wakavamia dili letu la Mudrky

Wakaja kujikuta wame spend £1.01B kwa wachezaji wengi average na wasioweza kuwatumia

Sasa hivi walitaka kumrubuni Toney ,nasikia kawachomolea ,


20231126_184501.jpg
 
GOOD NEWS
Arsenal hope to have Takehiro Tomiyasu, Thomas Partey and Mohamed Elneny available for the FA Cup third round clash with Liverpool.

The trio are currently out injured but progressing well and hope to play on January 7 before they head off on international duty. [@sr_collings
 
Nimecheka Sana ,Chelsea wataendelea kushika nafasi za 10 mpaka wakome,

Wamiliki wao wanafanya sajili kwa sifa na kukomoana

Unakumbuka msimu wakwanza walipovamia dili Kama 10 hivi, bahati nzuri wachezaji wengi waliwakataa

Wakaja January wakavamia dili letu la Mudrky

Wakaja kujikuta wame spend £1.01B kwa wachezaji wengi average na wasioweza kuwatumia

Sasa hivi walitaka kumrubuni Toney ,nasikia kawachomolea ,


View attachment 2849118
Ukiangalia hiyo list ya wachezaji walionunua hapo, utaona haina tofauti na mtu alieenda boma kununua nguo nyiingi za bei rahisi bila ya kujua ipi itamfaa..
 
🚨🚨
- Ivan Toney will most likely stay at Brentford until at least the summer. No developments on his future
  • Arsenal are not interested in Dominic Solanke
  • Arsenal are not planning to sign Douglas Luiz. He is not wanted unanimously at the club.
[@David_Ornstein]
 
Back
Top Bottom