Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Jaman tumesajili Scout kutoka Madrid ,Paul Xavier ,

Ni scout specialist kwa soko la Latin America tu

Alifanya kazi na Edu timu ya Taifa ya Brazil ,alikuwa scout wa man u academy


Paulo Xavier alihusika katika mikataba ya Rodrygo, Vini, Endrick, Valverde, Reinier. Na akiwa katika akademi ya Man Utd kama skauti wao wa Brazil alimleta Martinelli huko kwa majaribio kadhaa.


Arsenal tumekuwa wazembe kidogo kwenye soko la watoto wakiamerica

Naona Arsenal wameliona Hilo wameshusha huyu jamaa ,alikuwa chini ya Juni Calafat ,

Ataànza kazi January
20231218_221330.jpg
 
midfield ya Rice Partey Ødegaard

Walicheza kidogo vs Mancity ikazalisha goli

Yaani hapo utapigwa msako

Rice as LCM Partey DM Ødegaard RCM

Rice anaenda mbele sababu Ni ball carrier,anakaba vile vile ,Partey press resistance, passing yake Ni A+ , anakaba vile vile ,

Rice mapafu ya mbwa athleticism yake Ni ya Hali ya juu,

Ødegaard kabadilishiwa majukumu anarudi chini kuchukua mipira nakusambaza ,kubreak lines

Ligi ndio tunaanza Sasa January
20231218_231042.jpg
 
Yaah ni ngumu hasa eneo la goalkeeper bora maeneo mengine inawezekana
Arsenal anahitaji kuboresha striker na beki wa maana ili tuwe na wigo mpana WA wachezaji ,kilichomsaidia city kuchukuwa kombe zote zile alikuwa na wigo mpana wa wacheza,umewahi kuwaza watu kama maharaizi anatokea benchi tena amechanganyi na foden wanatokea Bench's,sasa inafaa ifikie maahal arsenal best player wanatokea benchi na apo ndo unamchanganya opponents wako wanashindwa kujua Nani anaanza
 
Arsenal anahitaji kuboresha striker na beki wa maana ili tuwe na wigo mpana WA wachezaji ,kilichomsaidia city kuchukuwa kombe zote zile alikuwa na wigo mpana wa wacheza,umewahi kuwaza watu kama maharaizi anatokea benchi tena amechanganyi na foden wanatokea Bench's,sasa inafaa ifikie maahal arsenal best player wanatokea benchi na apo ndo unamchanganya opponents wako wanashindwa kujua Nani anaanza
January tushushe CF ,Beki mmoja au kiungo

Itasaidia option ya Winger ,Jesus atakuwa CF lakin pia backup ya RW na LW ,hapo sijamuweka Trossard na Nelson

Beki mmoja wa Kati RCB ambaye anaweza kucheza pemben LB au RB

Kurejea kwa Tomiyasu January kunaongeza wigo maana alishachukua namba ya white RB Lakini tukumbuke anacheza pia LB kwa Zinchenko


Kurejea kwa Timber pia mwez wa 2 katikati au watatu itakuwa poa ,option ya RB na LB


Partey atumike zile mechi muhimu ,maana Kai tayari Gari limewaka


So tunahitaji wachezaji wawili muhimu wakuingia moja kwa moja kikosini ,CF na CB
 
Di Zerbi anasema hajawahi ku suffer Kama alivyokutana na Arsenal pale Emirates

Brighton ndiyo timu inaongoza kwa On target EPL nzima

Vs Arsenal walipiga on target 1 tu

Kuna intensity tukihitaji matokeo hasa tukiwa Emirates,Kama huwez kujishikilia unakula bao hata 10

Ule mpira tuliompigia Brighton,alipigiwa lens , PSV , unakimbizwa mwanzo mwisho ,

Tukipoteza mpira wote wanarudi wanaunda 4-4-2 mid block
20231218_232645.jpg
 
Arsenal mko moto, tatizo mdomo.
Mna mdomo mpk mnakera
Mbona hata hatuko moto kama msimu jana? Bado tunastruggle kutoka gia namba moja. Suala la kuwa na maneno, ni kwamba fursa ya kuongea ndiyo imepatikana sasa, yaani msimu jana, baada ya kulazimika kuwa kimya muda mrefu sana huku tukisikiliza majigambo na madongo ya Manyumbu, Livakuku na Chelkenge. Kama unavyojua, kwenye soka furaha ni ya muda mchache sana, hivyo ukiipata tu tambaa nayo mpaka itakapotoweka.
 
Jaman tumesajili Scout kutoka Madrid ,Paul Xavier ,

Ni scout specialist kwa soko la Latin America tu

Alifanya kazi na Edu timu ya Taifa ya Brazil ,alikuwa scout wa man u academy


Paulo Xavier alihusika katika mikataba ya Rodrygo, Vini, Endrick, Valverde, Reinier. Na akiwa katika akademi ya Man Utd kama skauti wao wa Brazil alimleta Martinelli huko kwa majaribio kadhaa.


Arsenal tumekuwa wazembe kidogo kwenye soko la watoto wakiamerica

Naona Arsenal wameliona Hilo wameshusha huyu jamaa ,alikuwa chini ya Juni Calafat ,

Ataànza kazi January View attachment 2846581
Unaonaje hili? Je ataleta la maana?
Nataka kusema ametusaidia Madrid maana tumeshindashinda hivi karibuni ila Brazil si haina uhakika wa kufuzu World Cup, yaani viwango vimeshuka?
Tumtakie kila la heri atupatie mix ya South Americans nzuri. Alete wazee wa kazi kina Alexis Sanchez, Suarez, Vidal type na atuepushe wala bata wakupitiliza (hapa nawatania ndugu zangu brazilians maana wao ukiwakosea kidogo tu kuwatrain kwenye discipline, vipaji vyao utavifurahia uwanjani kidogo ila uwepo wao kwenye timu utakukasirisha. Ref. Neymar, Ronaldinho, Anderson...)
 
Di Zerbi anasema hajawahi ku suffer Kama alivyokutana na Arsenal pale Emirates

Brighton ndiyo timu inaongoza kwa On target EPL nzima

Vs Arsenal walipiga on target 1 tu

Kuna intensity tukihitaji matokeo hasa tukiwa Emirates,Kama huwez kujishikilia unakula bao hata 10

Ule mpira tuliompigia Brighton,alipigiwa lens , PSV , unakimbizwa mwanzo mwisho ,

Tukipoteza mpira wote wanarudi wanaunda 4-4-2 mid blockView attachment 2846597

Mkuu hamis77 kiukweli kabisa nimefurahishwa na intensity ya game vs Brighton, kwa nini?

Brighton ni moja ya team pale Epl yenye high intensity throughout 90 minutes na inawapiga msako timu zingine haswa, sasa kama hata RDZ anakiri ‘wameteseka’ kwa msako sio jambo dogo.

Mara kadhaa tumekuwa tukimaliza mechi kwa taabu (tunakata moto) then tunasakwa dakika za mwisho. Kama tutaendelea na hii intensity, shots 20+ per game, matokeo yatakuja tu.
 
Unaonaje hili? Je ataleta la maana?
Nataka kusema ametusaidia Madrid maana tumeshindashinda hivi karibuni ila Brazil si haina uhakika wa kufuzu World Cup, yaani viwango vimeshuka?
Tumtakie kila la heri atupatie mix ya South Americans nzuri. Alete wazee wa kazi kina Alexis Sanchez, Suarez, Vidal type na atuepushe wala bata wakupitiliza (hapa nawatania ndugu zangu brazilians maana wao ukiwakosea kidogo tu kuwatrain kwenye discipline, vipaji vyao utavifurahia uwanjani kidogo ila uwepo wao kwenye timu utakukasirisha. Ref. Neymar, Ronaldinho, Anderson...)
Yupo vzr ni scout wa muda mrefu

Toka aondoke Cagigao kwenye scout tunasuasua

Hasa kwa soko la Latin America,Kuna vijana wenye vipaji wengi

Huyu ata dili na Latin America tu
 
Hakuna kocha dunia ya leo asietamani kuwa na Kai katika kikosi chake. Hakuna
View attachment 2846503
Body language ya Kai tu inakusaidia Kama kocha ku impliment mbinu zako

Tukimpata Palhina au Amadou Onana jamaa ana futi 6 na nusu

It's over

Huyo jamaa Ni monster ,mkali wa Duels ,

Naona mitandaoni wanaogopa Kama tutampata Palhina au Amadou Onana


Ninachokiona Mikel anaweka ile Haram football Lakini ina mixer ya matechnician

Hii ni tofauti na Arsenal ya Wenger ilikuwa na mafundi wengi Ila haikuwa vzr kwenye physicality


Screenshot_20231219-121445_1.jpg
 
Tuchel on Havertz:

"Dennis Bergkamp, Robin Van Persie, Barbetov kind of player. He can play in the half position because he makes good runs, feels free from the 9 and creates overloads to one side and he arrives in the centre."
 
Back
Top Bottom