hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,677
Jaman tumesajili Scout kutoka Madrid ,Paul Xavier ,
Ni scout specialist kwa soko la Latin America tu
Alifanya kazi na Edu timu ya Taifa ya Brazil ,alikuwa scout wa man u academy
Paulo Xavier alihusika katika mikataba ya Rodrygo, Vini, Endrick, Valverde, Reinier. Na akiwa katika akademi ya Man Utd kama skauti wao wa Brazil alimleta Martinelli huko kwa majaribio kadhaa.
Arsenal tumekuwa wazembe kidogo kwenye soko la watoto wakiamerica
Naona Arsenal wameliona Hilo wameshusha huyu jamaa ,alikuwa chini ya Juni Calafat ,
Ataànza kazi January
Ni scout specialist kwa soko la Latin America tu
Alifanya kazi na Edu timu ya Taifa ya Brazil ,alikuwa scout wa man u academy
Paulo Xavier alihusika katika mikataba ya Rodrygo, Vini, Endrick, Valverde, Reinier. Na akiwa katika akademi ya Man Utd kama skauti wao wa Brazil alimleta Martinelli huko kwa majaribio kadhaa.
Arsenal tumekuwa wazembe kidogo kwenye soko la watoto wakiamerica
Naona Arsenal wameliona Hilo wameshusha huyu jamaa ,alikuwa chini ya Juni Calafat ,
Ataànza kazi January
