Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unakumbuka jinsi juzi tu hapa Saint Anne aliweka orodha ya wachezaji wa5 dhidi ya Manyumbu akawadai magoli mawili mawili kila mmoja? Yaani alitaka wawapie nyumbu 10-0. Hiyo aliona kwa form ya Liverpool una ujinga waliokuwa wanacheza manyumbu na kipa wao Onana, ushindi ulionekana upo nje nje kabisa. Ila jana kilichotokea kila mtu anafahamu.
Sahihi kabisa hata Mimi jana nilijua Nyumbu atapigwa si chini ya 3 goals but result ya jana pia imekuwa nzuri kwetu

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Wapi nimedharau ,mm nimesema Arsenal anaenda robo fainal Kama hujapenda kausha

Wewe Kama unataka kusikia Arsenal atafungwa wasubiri kina Flano wakwambie hivo


Sky sport wenyewe wameweka mtazamo wao hivi

The #UCLdraw percentages:

Porto-Arsenal 35%-65%
Napoli-Barcelona 40%-60%
PSG-Real Sociedad 60%-40%
PSV Eindhoven-Borussia Dortmund 45%-55%
Inter-Atletico 49%-51%
Lazio-Bayern 35%-65%
Copenaghen-Manchester City 30%-70%
Leipzig-Real Madrid 30%-70%



Nimesema Mimi unakuja na makasirikio

Haya mambo yapo everywhere zinapokutana timu mbili kuna underdog na favourite. Hata ukisikiliza mazungumzo ya underdog utawasikia wakipanga mikakati ya kumzuia favourite wakati favourite anapanga kumuua underdog.

Hata ukimuuliza kocha wa Porto atakubali kuwa yeye anapanda mlima huku Arsenal anashuka, lakini hiyo haiondoi nafasi ya underdog kumsurprise favourite.

Kimsingi underdog na favourite ni mentality za game approach kwa mtu anayejua ABCs za mpira na si dharau dhidi ya mpinzani.

Anayebisha Porto sio underdog kwa Arsenal alete odds za betting company zooote tuone maana hao wanarisk kuliwa hela zao so hawawezi fanya joking hata kidogo.

Sasa namshangaa mtu anapotaka tumtreat Porto kama favourite, hilo halipo. Atavamiwa kama underdog unless aje na surprise package ya kutufanya tubadili game plan.

Sisi kumpa hadhi yake ya underdog haimzuii kwa namna yoyote kufanya anachotaka kufanya, hata akishinda hii tie ukweli utabaki kuwa ni underdog kwetu, simple.
 
Mpira sio rahisi hivyo wewe mhuni eti fulani kapita fulani katoka,Man U aligongwa na Bournamouth tena OT goli 3 lakini jana kadinda Anfield,ingekuwa ni rahisi kama ulivyoandika hapo basi kusingekuwa na haja ya wanaume 11 kuingia uwanjani,acha ufala
Hapa ndio umeandika nini na wewe!
 
Akili inanituma kuwaza yaani tusipofika fainali msimu huu tutakuwa tumefanya uzembe sawa sawa na ule tuliofanya last season wa kuamua kumpigia cut-back man city kwenye ubingwa wakati tulitakiwa kumalizia wenyewe.
Kweli mkuu timu za UCL hazina quality kiasi hicho, Ni kuwa committed tu kila mechi,

Naamin quality yakufanya tunayo


Ni timu chache Sana zinaweza kumatch physicality yetu ile

Hadi sasa tuna wachezaj muhimu watatu tunatarajia watarejea soon


Partey ,Timber na Tomiyasu


Na naona kabisa tutaongeza wachezaji angalau wawili CF na Beki au kiungo


Kuna article nilisoma Arteta anasema wanajitahidi Sana kuwalinda wachezaji na injury wanataka kufikia February wawe na wachezaji waliofit 24 ,
 
JUST IN from @FrazFletcher:

Ivan Toney would prioritize a move to Arsenal, even ahead of Chelsea. Arsenal are pushing to sign the 27 year-old striker. 󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿
 
.@FabrizioRomano:


''I'm still told Brentford are only open to giving green light to Toney exit in case of an important proposal, otherwise they’re more than happy to keep him there until the end of the season. There are no changes to report so far.''

[@caughtoffside]
 
Arsenal are determined to sign a new striker in January and Mikel Arteta has made Brentford front man Ivan Toney one of his top targets, TEAMtalk can exclusively reveal.

TEAMtalk sources have stated that Arsenal manager Mikel Arteta is a big fan of Toney and that is reciprocated with the frontman keen to play under the Spaniard.

[@FrazFletcher]
20231215_212201.jpg
 
Back
Top Bottom