K A B U R U
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 922
- 1,257
Porto vs Arsenal match 1
Quarter final hii hapaFc Porto play Arsenal
Lisbon aliwafundisha mpira mwaka Jana ,Leo PortoQuarter final hii hapa
Kwa ratiba Hii
Arsenal kapita
BVB kapita
City kapita
Bayern Kapita
Madrid kapita
PSG asipokua serious ataaibishwa
Napoli na Barca ni 50/50
Inter na Atlet pia ni 50/50View attachment 2845987




shauri yako Alishaanza mazoezi binafsi ili kujiweka sawa, pia hua anafanya mazoezi na timu na kujumuishwa kwenye zile mechi za kirafiki za ndaniYes hata me Osimhen simuamini sana sababu anatokea league nyingine, labda ingekuwa summer sawa anapata muda wa kuadjust kwenye pre-season ila kwa january transfer tunahitaji mtu wa kutupa immediate impact kwa ku-upgrade pale tulipo kupush kwenye Epl na Uefa pia.
Ivan Toney ni premier league proven lakini kwa situation yake hana match fitness sijajua yuko katika shape gani currently ila kama ataendelea alipoishia, nadhani atatufaa zaidi.
Hiyo PSV sio ya kuibeza wala kuichukulia poa kwa vile sisi tuliwapa kisagoKwa ratiba Hii
Arsenal kapita
BVB kapita
City kapita
Bayern Kapita
Madrid kapita
PSG asipokua serious ataaibishwa
Napoli na Barca ni 50/50
Inter na Atlet pia ni 50/50View attachment 2845987
Ipi hiyo ,wewe ungana na kina manjesta Kaka
Hizo mechi ni 50/50 badoHiyo PSV sio ya kuibeza wala kuichukulia poa kwa vile sisi tuliwapa kisago
Real Sociedad pia wanaweza kumuaibisha mtu mda wowote
Aggregate itakuwa 4-0Hawa Porto angalau kama Arsenal tunahistoria nao kidogo. Tuombe mambo yaende tunavyotaka tujikute robo fainali. Tena tukianza kwa kuwapiga kwao itapendeza zaidi, Hawa ni wakupigwa home and away hakuna huruma.
itakuwa vizuri sana ikiwa hivyo. Copenhagen tuwaombee mema wajikute nao wamejiulia Manchester nzima.Aggregate itakuwa 4-0
Mark my words
Football sio mdomo ni kwenye play ground huwezi sema fulani amepita na mwingine ametoka no way hapo ndipo tunapishana hakuna easy fixtures hapo,in reality unaweza sema Arsenal amepata average opponent refer sporting last season kwenye Europa league au kwa hili unaweza ukasema kuwa ni michuano tofauti ?Ipi hiyo ,wewe ungana na kina manjesta Kaka
Yaan unategemea nije humu niseme Arsenal atapigwa na Porto ili nikufurahishe wewe na kina flano

Sporting alitupa suprise ya maumivu pale pale Emirates Na Santiago Gimenz piaNimeona sehemu pia Dominic Solanke.
Champions League last-16 draw in full
FC Porto v Arsenal
Napoli v Barcelona
Paris St-Germain v Real Sociedad
Inter Milan v Atletico Madrid
PSV Eindhoven v Borussia Dortmund
Lazio v Bayern Munich
FC Copenhagen v Manchester City
RB Leipzig v Real Madrid