Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule jamaa wa mijusi milia hajakatiza pua yake kitambo sana humu
Wahuni kule UCL wamempiga "mtoto halali na pesa"
Kifuta machozi akampata Fulham. Raul Jimenez akala red card dk 22. Wakampiga 3-0. Kidogo hilo linaweza kumpa ujasiri wa kuja huku ila bado hajaonekana 😀😀
 
Haya mambo yapo everywhere zinapokutana timu mbili kuna underdog na favourite. Hata ukisikiliza mazungumzo ya underdog utawasikia wakipanga mikakati ya kumzuia favourite wakati favourite anapanga kumuua underdog.

Hata ukimuuliza kocha wa Porto atakubali kuwa yeye anapanda mlima huku Arsenal anashuka, lakini hiyo haiondoi nafasi ya underdog kumsurprise favourite.

Kimsingi underdog na favourite ni mentality za game approach kwa mtu anayejua ABCs za mpira na si dharau dhidi ya mpinzani.

Anayebisha Porto sio underdog kwa Arsenal alete odds za betting company zooote tuone maana hao wanarisk kuliwa hela zao so hawawezi fanya joking hata kidogo.

Sasa namshangaa mtu anapotaka tumtreat Porto kama favourite, hilo halipo. Atavamiwa kama underdog unless aje na surprise package ya kutufanya tubadili game plan.

Sisi kumpa hadhi yake ya underdog haimzuii kwa namna yoyote kufanya anachotaka kufanya, hata akishinda hii tie ukweli utabaki kuwa ni underdog kwetu, simple.
Sijaona anae mtreat porto kama favorite ila kilichozungumzwa humu ni matarajio na uhalisia, japo nafasi kubwa tunayo sisi Arsenal ila sio kigezo cha kupita moja kwa moja kabla ya game kuchezwa, mpira una matokeo yake tofauti kabisa.
 
Kai kufunga ni kutaka kwake, angalia sehemu anazokaa, anapokimbilia akiongeza tamaa kidogo atafunga sana.

Kwa sasahivi anafanya kazi kubwa timu isipokuwa na mpira kuliko ikiwa nayo, anaweza kufikisha 15 au zaidi naona.
Partey uyoooooooooo kosi litapangajwa na kai ndo uyoo anauwasha moto saiv
 
To reach UCL - Quarterfinals:

Porto (31%)
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Arsenal (69%)

Napoli (39%)
Barcelona (61%)

PSG (60%)
Real Sociedad (40%)

Inter (55%)
Atlético Madrid (45%)

PSV (40%)
Borussia Dortmund (60%)

Lazio (13%)
Bayern Munich (87%)

FC Copenhagen (3%)
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 Manchester City (97%)

Leipzig (26%)
Real Madrid (74%)

(% per @EuroClubIndex)
 
Usishangae City akatolewa.

Basi kuna watu watakasirika!
IMG_20231218_173508_801.jpg
 
Usishangae City akatolewa.

Basi kuna watu watakasirika!View attachment 2846257
Nipo sana upande wa Copenhagen. Siyo kwa sababu ya mpira, bali huku kwetu kwenye taaluma ya design, Copenhagen na Denmark kwa ujumla inaumuhimu sana kuanzia urban design, architecture, mpaka furniture design. Nitakuwa na designers wenzangu kwenye hiki kinyang'anyiro.
 
Kwa ratiba hii inavyoonesha ,Timber mechi za robo fainal atakuwepo hata benchi,ikishindikana kabisa ,mechi za Nusu atakuwa yupo fit

Cha muhimu Sasa Porto tumalizane nae kwake ,akija Emirates tunamalizia tu,

Mechi za Robo pia hapo tufunge Busta ,naimani tutapambana na tutapita

The first leg will be played on either 13/14 February or 20/21 February with the

Second leg taking place on either 5/6 March or 12/13 March
 
Toka juzi kila nikitaka kuweka pesa mechi ya Liverpool na manjesta,nafsi inasita ,zaidi ya Mara 4, nairuka sitaki kabisa kumbetia Liverpool

Nikifikiria jamaa kiungo Chao cha kawaida tu ,nikawaza Manjesta Ni butua butua wanaweza kustahimili wakaokota chance wakafunga au sare

Nakweli walipata big chances 2 hawakuzitumia

Hakika ningeliwa pesa ,ilibaki kidogo Sana
 
Arsenal angepangwa na timu yeyote iliyopita round hii basi Arsenal angepita.

So far mpinzani wa Arsenal UCL ni mmoja tu, City basi.. Hao wengine sijui Madrid, Bayern, PSG usiwataje!
Mimi nilitamani tupewe psg au intermilan
 
The first leg between FC Porto and Arsenal will take place on February 21st.

Home match itakuwa 12 March

Information from @Teamnewsandtix.
 
Ratiba hii hapa

Imekaa vzr Sana ,mechi ya 2 ya nyumbani itakuwa March
20231218_184623.jpg
 
Leo Kuna muda Fulani nilikua naangalia highlight za Kai vs Brighton
Nimekuja kugundua, hakuna kocha asietamani kufanya kazi na Kai

Mazee Kai anaubonda kweli
Advance number 8, anaetokea pembeni at the same time shadow number 9
Tukiwa hatuna mpira anakua deeplying midfielder

Partey anakuja alafu Kai kadri siku zinavyozidi kwenda anaonesha jinsi gani anaweza ku-kill game

#KingKai
#tukutaneWembley
#arsenalNDOO
 
Kitu alichokifanya Rice Juzi kutoka na mpira nyuma mpaka akaenda kupiga shuti kipa akaokoa hicho kitu kwa
Rodri hukipati mpaka unakufa
Kwa nyumbu au Kenge FC labda miaka 40 ijayo
IMG-20231218-WA0039.jpg
 
Partey uyoooooooooo kosi litapangajwa na kai ndo uyoo anauwasha moto saiv
mkorea atakuambia zirushwe jezi...
Ode yupo. Wanabaki Kai, Partey na Rice, kwa sababu ya fitness ya Partey. Akianza Partey, Rice anaenda LCM au anakaa benchi anamuachia Kai aanze. Akianza Kai, Rice anakaa DM na Partey anasubiria bench. ILA Partey akiwa fully fit na form yake tunayoijua anaanza yeye DM na Rice anasogea LCM, Kai benchi ama namba 9 kule akiwachosha na kuwakera mabeki kwa kupress na kuwin aerial duels mpaka ndimi ziguse nyasi. Halafu Gabriel Jesus anaingia....

Mkorea hapo anakuambia "maji wataita mma"
 
Back
Top Bottom