Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ona hii list, Kai ndio akawekwa "worst signing " ila matokeo yake mpk sasa yeye ndiy aliye perfom kuliko wote,

washenzi kama hawa walieneza Sana propaganda ,nilichopenda Arsenal fans wengi walisimama na Kai , akifanya vzr kidogo , wanampigia kura ndiye mchezaji Bora wa mechi hata Kama hastahili ....



IMG-20231218-WA0014.jpg
 
Arsenal for sure wanashusha CF January hii

Nimeona sehemu wanamtaka Ivan Toney kwa mkopo dry hadi june , Brentford wanataka obligation to buy

Arsenal wanataka wamchukue kwa option to buy ili iwe rahisi Kama hawatamtaka ,Summer wamfatilie Osimhen

Ivan Toney anavutiwa kwenda Arsenal
 
Mpo hapo mlipo sababu ya Man utd lakini hamtoi mkono wa shukrani mnasifia kuwabana BHA.
Kupata droo ya 0-0 pale anfield sio kazi ndogo jamani.
Kimsingi man utd ndio ameibeba Arsenal kuwa kileleni.
Wasamehe hawa wenzangu mkuu. Mzuka wa ushindi umewatoa ufahamu kidogo. Ila mimi nawashukuru. Next game sisi tunaenda pale kwenye kile kibanda cha kuku na kujichagulia majogoo ya supu na rosti kwa Krismasi.
 
Kwanini??
Nimecheki highlights za City na Palace. Ederson alimkata Mateta nje tu ya kona ya 18 na alikuwa last man.
Inawezekana kusema Mateta hakuwa na clear chance on goal na Ederson hajamnyima Mateta clear goal-scorin opportunity, lakini mimi naona pale ni sawa na kuwa na clear goal-scoring opportunity
 
Arsenal for sure wanashusha CF January hii

Nimeona sehemu wanamtaka Ivan Toney kwa mkopo dry hadi june , Brentford wanataka obligation to buy

Arsenal wanataka wamchukue kwa option to buy ili iwe rahisi Kama hawatamtaka ,Summer wamfatilie Osimhen

Ivan Toney anavutiwa kwenda Arsenal
Shida ni kwmba akirudi na hajacheza mda huwezi jua atakupa kitu gani uwanjani na lazima watataka kumuuza kwa mahela mengi...kwhyo hyo biashara ni tricky kidogo....lakini hata huyo Osimhen naye nikimuangalia aisee bdo siyo complete package anaweza akaja vilevile akahitaji mda wa kusubiri kutoa anachotaka kutoa....kwhyo biashara zte ni zimekaa kimtegomtego
 
Shida ni kwmba akirudi na hajacheza mda huwezi jua atakupa kitu gani uwanjani na lazima watataka kumuuza kwa mahela mengi...kwhyo hyo biashara ni tricky kidogo....lakini hata huyo Osimhen naye nikimuangalia aisee bdo siyo complete package anaweza akaja vilevile akahitaji mda wa kusubiri kutoa anachotaka kutoa....kwhyo biashara zte ni zimekaa kimtegomtego

Yes hata me Osimhen simuamini sana sababu anatokea league nyingine, labda ingekuwa summer sawa anapata muda wa kuadjust kwenye pre-season ila kwa january transfer tunahitaji mtu wa kutupa immediate impact kwa ku-upgrade pale tulipo kupush kwenye Epl na Uefa pia.

Ivan Toney ni premier league proven lakini kwa situation yake hana match fitness sijajua yuko katika shape gani currently ila kama ataendelea alipoishia, nadhani atatufaa zaidi.
 
Yes hata me Osimhen simuamini sana sababu anatokea league nyingine, labda ingekuwa summer sawa anapata muda wa kuadjust kwenye pre-season ila kwa january transfer tunahitaji mtu wa kutupa immediate impact kwa ku-upgrade pale tulipo kupush kwenye Epl na Uefa pia.

Ivan Toney ni premier league proven lakini kwa situation yake hana match fitness sijajua yuko katika shape gani currently ila kama ataendelea alipoishia, nadhani atatufaa zaidi.
Nimeona sehemu pia Dominic Solanke.
 
Nimeona sehemu pia Dominic Solanke.

Solanke ni Nketiah aliyechangamka. Generally tuna mapengo sehemu nyingi. Viungo wakabaji 3 wana injury. Tomiyasu, Jesus, Rowe na Partey with their repeatedly injury records, sio wa kutegemea, kama tunahitaji kufika mbali, ukizingatia ukubwa wa mashindano yaliyo mbele yetu
 
NAFASI ILEILE YA GOLI LA KAI JANA ALIANZA KUIPATA DECLAN RICE NA KUPIGA KWA MGUU ULEULE KIPA AKAZUIA,

KAI KAIPATA NA AKAPIGA KIUFUNDI YAAN KAPIGA MPIRA MITHILI YA MESUT OZIL ANAVYOPIGAGA.
IMEPIGWA MAENEO YA MBAVUNI MWA KIPA KITU BAO,

FIKIRIA ANGEFUNGA RICE LILE BAO HALAFU AKAKOSA KAI ILE NAFASI.
 
Shida ni kwmba akirudi na hajacheza mda huwezi jua atakupa kitu gani uwanjani na lazima watataka kumuuza kwa mahela mengi...kwhyo hyo biashara ni tricky kidogo....lakini hata huyo Osimhen naye nikimuangalia aisee bdo siyo complete package anaweza akaja vilevile akahitaji mda wa kusubiri kutoa anachotaka kutoa....kwhyo biashara zte ni zimekaa kimtegomtego
Sahihi kabisa ,biashara zote zimekaa kiwiziwizi

Mfano Toney ana miaka 27 ,Ni gambling,ukimnunua kwa £50-70m asiperfom ni hasara

Ndio maana Arsenal wanataka wampate kwa mkopo


Victor Osimhen Ni mdogo kiumri ,tatizo Ni injury prone wakutupwa ,naweka record zake za injuries uone

Halafu Bei yake Ni £100-112m

Sasa niambie kwa record hizi za injuries hata Jesus hana hizo record

Dili zote zimekaa kitapeli tapeli

Huyu Osimhen kwa injury record zake hizi anafaa aende Chelsea
20231216_160045.jpg
 
NAFASI ILEILE YA GOLI LA KAI JANA ALIANZA KUIPATA DECLAN RICE NA KUPIGA KWA MGUU ULEULE KIPA AKAZUIA,

KAI KAIPATA NA AKAPIGA KIUFUNDI YAAN KAPIGA MPIRA MITHILI YA MESUT OZIL ANAVYOPIGAGA.
IMEPIGWA MAENEO YA MBAVUNI MWA KIPA KITU BAO,

FIKIRIA ANGEFUNGA RICE LILE BAO HALAFU AKAKOSA KAI ILE NAFASI.
Kaka acha tu
 
Sahihi kabisa ,biashara zote zimekaa kiwiziwizi

Mfano Toney ana miaka 27 ,Ni gambling,ukimnunua kwa £50-70m asiperfom ni hasara

Ndio maana Arsenal wanataka wampate kwa mkopo


Victor Osimhen Ni mdogo kiumri ,tatizo Ni injury prone wakutupwa ,naweka record zake za injuries uone

Halafu Bei yake Ni £100-112m

Sasa niambie kwa record hizi za injuries hata Jesus hana hizo record

Dili zote zimekaa kitapeli tapeli

Huyu Osimhen kwa injury record zake hizi anafaa aende ChelseaView attachment 2845915
Mimi tukimkosa CF dirisha hili Wala sitashangaa au kusikitika

DM huyu tunamuhitaji Sana
Partey abaki amalize msimu

Timu Kama Brighton kibano alichopewa Jana hakitoshi kile
Timu Kama nyumbu, Kenge inabidi isiguse mpira kabisa

Saka, Jesus, martinel, odegard, Kai,
Hawa watu at the moment wanatosha kutoa adhabu Kule mbele

Ni mtazamo tu jamani
 
Back
Top Bottom