Nazungumzia Sasa wewe unaleta habari za mwaka janaFootball sio mdomo ni kwenye play ground huwezi sema fulani amepita na mwingine ametoka no way hapo ndipo tunapishana hakuna easy fixtures hapo,in reality unaweza sema Arsenal amepata average opponent refer sporting last season kwenye Europa league au kwa hili unaweza ukasema kuwa ni michuano tofauti ?Sporting alitupa suprise ya maumivu pale pale Emirates
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Arsenal kweli ni bora zaidi ya Porto kwa sasa(I agree)but kumdharau opponent tena hawa wareno wanaotusumbuaga hapo ndipo nakataa but najua Arteta anaichukulia hii game kuwa ni ngumu sana na atakuja na mbinu za kueleweka na first eleven ya kuelewekaNazungumzia Sasa wewe unaleta habari za mwaka jana
Upo computer arsenal, wapi aaron?
Kuna aina tofauti ya kushabikia timu pale unapojua unakutana na mpinzani gani. Nitajaribu kuelezea mbili ambazo ni rahisi kwangu:Football sio mdomo ni kwenye play ground huwezi sema fulani amepita na mwingine ametoka no way hapo ndipo tunapishana hakuna easy fixtures hapo,in reality unaweza sema Arsenal amepata average opponent refer sporting last season kwenye Europa league au kwa hili unaweza ukasema kuwa ni michuano tofauti ?Sporting alitupa suprise ya maumivu pale pale Emirates
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Aiseee. Mkuu umenikumbusha mbali sana. 2010 wakati tunacheza na F.C Porto kwao pale, kuna goli moja walitupiga la chaap chaap.Head-to-head records of Arsenal against FC Porto in Champions League
6 games
3 wins
1 draw
2 loses
Sept 2006: Arsenal 2-0 Porto
Dec 2006: Porto 0-0 Arsenal
Sept 2008: Arsenal 4-0 Porto
Dec 2008: Porto 2-0 Arsenal
Feb 2010: Porto 2-1 Arsenal
Mar 2010: Arsenal 5-0 PortoView attachment 2845998










Na mimi nikamjibu kuwa football haipo mdomoni ipo kwenye pitch na I agree kwa 200% kuwa Arsenal ya sasa ni zaidi ya Porto na last season vs Sporting tulikuwa bora zaidi yake kwa 200% Maajabu yakatokea so anything can happen in footballKuna aina tofauti ya kushabikia timu pale unapojua unakutana na mpinzani gani. Nitajaribu kuelezea mbili ambazo ni rahisi kwangu:
Moja ni kuona umekutana na mpinzani ambaye unadhani ni mgumu kwako na hutaweza kumshinda isipo kwa bahati. Huyo unaweza kusema huna matumaini ya kupita hivyo unajihesabia ushapiwa. Au utasema 'lolote laweza kutokea' au kiubishi utasema 'huyu nampiga'. Hii ni mara chache. Zingatia ile miaka tunakutana na Bayern au Barcelona na tukawa tunaona hawa watatushinda. Bado kuna mechi tuliwashinda ila kwa game zote mbili tulijikuta tunaondolewa kwenye mashindano.
Ya pili ni kuona umekutana na mpinzani ambaye unadhani huyo umemzidi na unahesabu kuwa kwenye mechi mbili wewe utaibuka kidedea. Of course inaweza kutokea akakupiga. Hii ni football na underdog kumpiga top dog ni jambo la kawaida ila ukiona tu kuwa umempata huyu underdog, unatembea kifua mbele. Kwa historia yetu na Porto, wao ni watoto wadogo kwetu hivyo tunaongea kama tutawapiga. Hatujaweka factors kama hatujacheza champions league zaidi ya miaka sita na vikosi tunavyoviongelea sasa ni tofauti kabisa, walimu tofaouti kabisa bali kihistoria tu.
Ndiyo maana ni rahisi sana kuona kwa nini hamis77 ameshanunua tiketi yake ya kwenda kucheki robo fainali, kwa sababu anaona hapo kwa Porto hatuwezi kuzuiwa. Hamaanishi hatuwezi kufungwa, ila sababu za kutufanya tuamini tutashinda zina nguvu zaidi ya sababu za kutufanya tuamini tutapigwa.
️ let's wait round 16 ifike February hakuna fan anayependa afeli kwenye Big competitions za Champions league na EPL
kwa sasa najua Arteta anajua afanye nini na kikubwa zaidi ni kuomba DECLAN RICE awe Fit hiyo siku huyu ni engine ya Arsenal kwa sasaUnakaa unaleta hoja alafu unatutolea mfano WA Manunu hmu ndani kweli kabisa???....hivi huwa mnatokea wapi nyny watu....yaani Manunu kabisa like serious....ile jana ni ndondokela wameipata....ila Manunu sasahvi ukiniwekea hata kuibetia halafu ukaiweka Everton ikawa nayo Ina mechi aisee naichukua Everton....maana wanachokicheza kinaonekana....Manunu ni homa za vipindi...graph yake inashuka na kupanda kama bichwa la kocha waoMpira sio rahisi hivyo wewe mhuni eti fulani kapita fulani katoka,Man U aligongwa na Bournamouth tena OT goli 3 lakini jana kadinda Anfield,ingekuwa ni rahisi kama ulivyoandika hapo basi kusingekuwa na haja ya wanaume 11 kuingia uwanjani,acha ufala
Wapi nimedharau ,mm nimesema Arsenal anaenda robo fainal Kama hujapenda kaushaArsenal kweli ni bora zaidi ya Porto kwa sasa(I agree)but kumdharau opponent tena hawa wareno wanaotusumbuaga hapo ndipo nakataa but najua Arteta anaichukulia hii game kuwa ni ngumu sana na atakuja na mbinu za kueleweka na first eleven ya kueleweka
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kitambo sanaAiseee. Mkuu umenikumbusha mbali sana. 2010 wakati tunacheza na F.C Porto kwao pale, kuna goli moja walitupiga la chaap chaap.
Sikumbuki kilitokea kitu gani, ila ilikuwa foul ndani ya box, wakati wachezaji wa Arsenal tunaongea na refa, mchezaji wa Porto akapiga freekick haraka haraka kumpasia Falcao watakupiga kamba, matokeo ikawa Porto 2-1 Arsenal.
Next game wakaja maghetoni, Emirates, wakala 5 freshiiiii kabisaaaaaaaa![]()
Yaani wangepangana Declan na Thomas aah...tungenenepeana vibaya sana.Na mimi nikamjibu kuwa football haipo mdomoni ipo kwenye pitch na I agree kwa 200% kuwa Arsenal ya sasa ni zaidi ya Porto na last season vs Sporting tulikuwa bora zaidi yake kwa 200% Maajabu yakatokea so anything can happen in football️ let's wait round 16 ifike February hakuna fan anayependa afeli kwenye Big competitions za Champions league na EPL
kwa sasa najua Arteta anajua afanye nini na kikubwa zaidi ni kuomba DECLAN RICE awe Fit hiyo siku huyu ni engine ya Arsenal kwa sasa
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Nimecheki tena highlights. Error ya Fabianski na goli la falcao yakatuzamisha ila kweli walivyokuja kwetu, cha moto walikiona,Aiseee. Mkuu umenikumbusha mbali sana. 2010 wakati tunacheza na F.C Porto kwao pale, kuna goli moja walitupiga la chaap chaap.
Sikumbuki kilitokea kitu gani, ila ilikuwa foul ndani ya box, wakati wachezaji wa Arsenal tunaongea na refa, mchezaji wa Porto akapiga freekick haraka haraka kumpasia Falcao watakupiga kamba, matokeo ikawa Porto 2-1 Arsenal.
Next game wakaja maghetoni, Emirates, wakala 5 freshiiiii kabisaaaaaaaa![]()
Kweli kabisa. Lolote laweza kutokea. Arteta hana uzoefu wa kutosha kama head coach/manager kwenye Champions League hivyo tunaweza kudhani atachemka pia. Zote hizo ni theories na hakuna uhakika wa 100% kuwa tutaendelea ama la. Kuna mengi yanaweza kutokea hapo mbeleni tukajikuta na reserve squad pekee ndiyo iko fit, tukafungwa na kutaniwa na kina Flano na Fuente. Hatujui kwa uhakika ila 'feeling' kubwa kwa sasa ni hawa Porto ni watoto wadogo tu wanaokutana na wazee wa kazi. Lazima maumivu yawakute.Na mimi nikamjibu kuwa football haipo mdomoni ipo kwenye pitch na I agree kwa 200% kuwa Arsenal ya sasa ni zaidi ya Porto na last season vs Sporting tulikuwa bora zaidi yake kwa 200% Maajabu yakatokea so anything can happen in football️ let's wait round 16 ifike February hakuna fan anayependa afeli kwenye Big competitions za Champions league na EPL
kwa sasa najua Arteta anajua afanye nini na kikubwa zaidi ni kuomba DECLAN RICE awe Fit hiyo siku huyu ni engine ya Arsenal kwa sasa
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Ukiona nakukera unakausha sio lazima ukomentNa mimi nikamjibu kuwa football haipo mdomoni ipo kwenye pitch na I agree kwa 200% kuwa Arsenal ya sasa ni zaidi ya Porto na last season vs Sporting tulikuwa bora zaidi yake kwa 200% Maajabu yakatokea so anything can happen in football️ let's wait round 16 ifike February hakuna fan anayependa afeli kwenye Big competitions za Champions league na EPL
kwa sasa najua Arteta anajua afanye nini na kikubwa zaidi ni kuomba DECLAN RICE awe Fit hiyo siku huyu ni engine ya Arsenal kwa sasa
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kitambo SanaAiseee. Mkuu umenikumbusha mbali sana. 2010 wakati tunacheza na F.C Porto kwao pale, kuna goli moja walitupiga la chaap chaap.
Sikumbuki kilitokea kitu gani, ila ilikuwa foul ndani ya box, wakati wachezaji wa Arsenal tunaongea na refa, mchezaji wa Porto akapiga freekick haraka haraka kumpasia Falcao watakupiga kamba, matokeo ikawa Porto 2-1 Arsenal.
Next game wakaja maghetoni, Emirates, wakala 5 freshiiiii kabisaaaaaaaa![]()
Unakumbuka jinsi juzi tu hapa Saint Anne aliweka orodha ya wachezaji wa5 dhidi ya Manyumbu akawadai magoli mawili mawili kila mmoja? Yaani alitaka wawapige nyumbu 10-0. Hiyo aliona kwa form ya Liverpool na ujinga waliokuwa wanacheza manyumbu na kipa wao Onana, ushindi ulionekana upo nje nje kabisa. Ila jana kilichotokea kila mtu anafahamu.Na mimi nikamjibu kuwa football haipo mdomoni ipo kwenye pitch na I agree kwa 200% kuwa Arsenal ya sasa ni zaidi ya Porto na last season vs Sporting tulikuwa bora zaidi yake kwa 200% Maajabu yakatokea so anything can happen in football️ let's wait round 16 ifike February hakuna fan anayependa afeli kwenye Big competitions za Champions league na EPL
kwa sasa najua Arteta anajua afanye nini na kikubwa zaidi ni kuomba DECLAN RICE awe Fit hiyo siku huyu ni engine ya Arsenal kwa sasa
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app