Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Damn you Frimpong................aaaaaaaaaaaaaaaargh
Matokeo vipi wakuu?? Mgao umeniathiri leo..
Arshavin anakera mpaka basi......Hata sijui kwa nini AW anmuanzisha...
Bora umeongea ukweli,lakini naamini still Walcott anaweza akafanya vizuri cha msingi aingie gym ajenge mwili then Wenger amchezeshe kama Striker hasicheze pembeniWalcott ana akili ndogo sana ya mpira, mbio ndio zinamsaidia.
Jmaa naona nao wanakaba wote inabidi tufanye mambo mapema hapa.
Arshavin Kafunga, ni kama kapewa na kipa wa Swansea...
Kipa wa Swansea katupa goli hili.....Duhhh!!! Namchukia na kafunga... MPR bana