Napendekeza tuwe tuna" photo of the season" kwenye jukwaa la michezo ,nadhani so far hii ingeshinda
Team in full: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs, Frimpong, Arteta, Ramsey, Walcott, Arshavin, Van Persie
Subs: Fabianski, Andre Santos, Djourou, Benayoun, Chamakh, Park
Mungu ijaalie Arsenal... Mungu ijaalie furaha yangu.....
Noana post zetu zimetoka mda mmoja mkuu lol.
Tunaanza ligi rasmi sasa yanyuma tuyasahau.
Nategemea Santos na Park watapewa nafasi leo hili washabiki tuwaone.
Naona msimu wenu unaanza rasmi leo..haya all the best maana najua leo lazima mtamalizia hasira zenu zote kwao lol.
Of course yanatoka moyoni...vipi mbona unajishtukia? You are playing against swansea.Yanatoka moyoni au ndo umeamua kuandika koz huna jinsi....??? pay back is comin......wt n c.....hhahahahahahahahaaaaa
Of course yanatoka moyoni...vipi mbona unajishtukia? You are playing against swansea.
Lmao 8-2 scoreline? Bro sikujua na wewe uko deluded kiasi icho. Wenzako wanakwenda game to game malizaneni na hawa vibonde kwanza hayo ya man utd subiri muda ukifika. Ngoja niwaangalie zilipendwa chelsea, bendtner anakosa goli lol no wonder arsene ameship out.I know... and the payback will be against u Man u'zz
Inamaana AW kamua kumpa ARTETA awe anapiga free Kicks?????
Matokeo vipi wakuu?? Mgao umeniathiri leo..