Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,106
- 3,189
Naanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli
Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today
Paragraph ya mwisho inajieleza zaidiii mpaka kufika january tutaelewana kidogo ila may ndo kabisa kama ni somo utakuwa umeelewa tena kwa course work ya juu kabisa
Nafurahii ndo kwanza uhuru day ila umeelewa kile tunazungumza, achana na wehu wale wazee wa maneno mengi before game
Mtu before game anakuambia Aston villa wakijaribu kupishana wanakufa sita ila lineup ilitokaa tu anakubali mwenywe bench tu la Aston villa ni strong kuliko hata wachezaji wao wa 11.
Halafu kesho anakuja tena kubisha , mods mngeruhusu tuwachape viboko hawa watu