Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naanza kuamini inawezekana sisi ni False hoper kwa kweli

Tuna mistake zinazojirudia season to season match to match
How come we fail to score today


Paragraph ya mwisho inajieleza zaidiii mpaka kufika january tutaelewana kidogo ila may ndo kabisa kama ni somo utakuwa umeelewa tena kwa course work ya juu kabisa[emoji23]

Nafurahii ndo kwanza uhuru day ila umeelewa kile tunazungumza, achana na wehu wale wazee wa maneno mengi before game

Mtu before game anakuambia Aston villa wakijaribu kupishana wanakufa sita ila lineup ilitokaa tu anakubali mwenywe bench tu la Aston villa ni strong kuliko hata wachezaji wao wa 11.

Halafu kesho anakuja tena kubisha , mods mngeruhusu tuwachape viboko hawa watu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Arsenyo ni sawa na vile vyoo vya kusimama, hata uwe na akili vipi hauwezi kujisaidia haja kubwa.
 
Sawa kabisa
 
Partey
 
Kafungwa city sembuse sisi.
Kuna mashabiki wa arsenal wanaamini mambo ya ajabu sana ukibisha wanakuona hater.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii fixtures yenu ya December imekaa utamu sana, hapa mpaka January inaingia hili jukwaa litakua limejaa matusi.
 
Piga spana baharia

Piga spana bila huruma😂

Naona kenge mwingine anatishia kukupiga block/ignore

Wewe jamaa ni balaa Kwa facts😂
 
Sawa
 
Hahaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Antisemitism au sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…