Yeah jamaa alikua hatari at some point, binafsi naamini baada tu ya kumfunga Barca 8 next season akawa average, injuries zikaja n.k.Castr naangalia game hapa naona ameingia Gnabry. Siku hizi anatokea sana bench na ni injury prone, na bad luck hajamaliza hata dk 3 anarudi tena nje. Nadhani hili ndio jua la jioni kwa huyu Gooner kwenye career yake asee, I feel so sad for him.
Misimu miwili nyuma zilizuka rumours kwamba tunamtaka aje kupokezana na Saka. Now jamaa anachohitaji ni one last dance kama Van Persie tu
