Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Castr naangalia game hapa naona ameingia Gnabry. Siku hizi anatokea sana bench na ni injury prone, na bad luck hajamaliza hata dk 3 anarudi tena nje. Nadhani hili ndio jua la jioni kwa huyu Gooner kwenye career yake asee, I feel so sad for him.
Yeah jamaa alikua hatari at some point, binafsi naamini baada tu ya kumfunga Barca 8 next season akawa average, injuries zikaja n.k.

Misimu miwili nyuma zilizuka rumours kwamba tunamtaka aje kupokezana na Saka. Now jamaa anachohitaji ni one last dance kama Van Persie tu
 
Mwaka jana tulipigwa na kitu kizito kwli...mi huwa naukubali ukweli kama ulivyo🤠🤠🤠 siishi kwa denial...ila mwaka huu msahau kabisa hilo kosa kujirudia...ila Hawa Nyukesto sijui yaani tulichokisema mwanzo wa msimu ndo hiki kinachoendelea....tukiwaambia Hawa wanatakiwa wajipqnge kwa misimu walau mitatu hvi...kusajili waleta vurugu uwanjani hakuwezi kukusaidia msimu mzima....na nikasema wakikaa vbaya hata Manunu watakuwa juu Yao na tyri ishatokea....Sasa leo tamko lingine wakikaa vbaya hata conference hawatacheza....maana hawana timu Wana wafanya vurugu
Iko hivi

Wachezaji na kocha wa sasa wa nyukesto wameifikisha kuweza kuifanya hadi mashabiki waache timu zao na kuifuata.

Sasa hivi wanahitaji wachezaji na kocha wa kuhakikisha hawa mashabiki wapya hawaondoki.

Nilivyomwambia hivi Labyrinth 84 akahisi namdhihaki hajui kwamba huo ndiyo mchakato unavyotakiwa kua. Howe na wale waliopo watakaza miguu kwa Arsenal first leg kisha atafungwa na Bournemouth na Everton, kisha second leg Arsenal atajipigia inakua ni mambo ya mid table team
 
Iko hivi

Wachezaji na kocha wa sasa wa nyukesto wameifikisha kuweza kuifanya hadi mashabiki waache timu zao na kuifuata.

Sasa hivi wanahitaji wachezaji na kocha wa kuhakikisha hawa mashabiki wapya hawaondoki.

Nilivyomwambia hivi Labyrinth 84 akahisi namdhihaki hajui kwamba huo ndiyo mchakato unavyotakiwa kua. Howe na wale waliopo watakaza miguu kwa Arsenal first leg kisha atafungwa na Bournemouth na Everton, kisha second leg Arsenal atajipigia inakua ni mambo ya mid table team
Mueleweshe taratibutaratibu ataelewa🤠🤠
 
COYG
Screenshot_20231209-193204_Facebook.jpg
 
Leo ni piga nikupige ila Mcginn 😆😆😆
Klinishit naona kama haipo leo
Hii mechi arteta kazi anayo,unai mzee kujilipua sio mzuri kwenye kuzuia ila kwenye kushambulia ndio kuna gudi ebiningiii 😆😆😆
 
leo makosa yoyote yatatutesa sana
upande wa zincheko na wasiwasi nao sana
Today this is our big test for title claiming
 
leo makosa yoyote yatatutesa sana
upande wa zincheko na wasiwasi nao sana
Today this is our big test for title claiming
Subirini mkung'utwe kama ndugu zenu nyumbu ,mna kidomo domo sana nyingi mabingwa Fake ,
Mamaee mmeshanyukwa huko na Mcginn
 
Back
Top Bottom