Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Liver alipambana na kipara mpaka pumzi ya mwisho, mechi ya mwisho ndio ikaamua mshindi tena kwa tofauti ya point 1.
Nyie Arsenyau mliongoza ligi kwa siku 258, zimebaki mechi 8 ligi kuisha nyie mlikua mbele kwa points 8 dhidi ya City, mechi 1 kabla ligi haijaisha Arsenyau yuko nyuma kwa points 8 dhidi ya City.
Halafu shabiki la Nyau linatembea kifua mbele na kuwacheka liverpool na kutamba kua "sisi sio kama nyie kipara alikua anawageuza anavyotaka" sasa hapo kipara alikua anamgeuza nani anavyotaka? View attachment 2836286
Kwa mismu almost mitano nyuma watu walokuwa wanafukuzana na kipara kwa karibu ni Liverfools na kipara alikuwa anawageuza anavyotaka...sisi tumekukuruka mwaka jana na tukateleza padogo...huo ujinga haturudii mwaka huu...sio utaratibu wetu kurudia kosa mara 2
 
Arteta on Raya:

If you look at his form and what he has achieved since he’s been with us it’s impressive. I have three great goalkeepers and I’m really happy. I have great wingers. Some of them are on the bench but there’s no questions related to them.
 
Commentator kasema "Trippier has been Everton's best player in the second half".
Tuiombee Everton ushindi hapa maana kupokonywa points 10 siyo mchezo. Ukizingatia City hawajaadhibiwa vyovyote na hearing yao iko 2024 huko.
Hamnamo team mule, ni wakamiaji kama ihefu tu, wakicheza na big team utawataka
 
Kuendesha timu ni kazi ngumu sana.
Ukiwa na wachezaji wazuri wengi, wanaokosa namba wanaleta shida na kutaka kuondoka. Ndoto ya kuwa na wachezaji wawili kila namba inakuwa ngumu. Ila pia ukishindwa kuwa na wachezaji angalau wawili kila number, utashindwa kuhimili ushindani.

Nilifurahi kuona tuna makipa wazuri wawili na nilitegemea uwepo wa 'mafahali wawili kwenye zizi moja' lakini sikutegema tutaanza kufikiria kupoteza mmoja wapo chini ya miezi 6 baadae. Je Ramsdale anajiona kama anastahili namba 1 kwa sababu katusaidia kurudi champions league na anatuona hatuna shukrani? Je anaona kama anastahili kucheza mbele ya Raya? Je anatafuta nafasi timu ya taifa so anahitaji gametime?
Rambo pale alipokua msimu ulioisha aliitaji muda na nafasi na jitihada kidogo sana aweze kua bora zaid ya msimu ulioisha,kwa usajili uliokua hautegemewi na watu wengi mara Raya huyu hapa na kwa picha iliyokuepo mashabiki wengi wa Arsenal tuligawanyika juu ya nani aanze hata umu tulikua pande mbili hadi leo hii wapo wanaoamin Rambo anafaa kua namba moja na wapo ambao hawaamini kwa Raya kua namba moja,
Kwaiyo Kama hapati tena gameTime na ndo ilikua ni wakati wake wa kujiboresha kua zaid ya msimu ulioisha mim naona ni sawa kutafuta nafasi sehemu nyingine maana akiendelea kukaa pale atakua anarudi hatua nyingi tu Nyuma.
 
Takehiro Tomiyasu:

"Saka makes my life easier. Against Wolves I didn't do anything, just gave him the ball and then he made it. Training against him is a nightmare. Not only him, at right fullback I play against Martinelli.

Obviously he's one of the best wingers." [Talksport]
20231031_140748.jpg
 
Ww pumzi ya kufukuzana na sisi huna...alichotufanyia kipara mwaka jana ndo mwanzo na mwsho....sisi sio kama nyie kipara alikuwa anawageuza anavyotaka...huwa hatuna utaratibu wa kurudia kosa mara mbili...hzo ni Tabia zenu na kina Manunu na hao wengine
We kweli mpira utakuwa huutambui🤣
Angalia kipara alitushinda kwa points ngapi,angalia na za kwenu halafu urudi urekebishe ulichokiandika


Sijui hata kama unaelewa ulichoandika😆
 
Liver alipambana na kipara mpaka pumzi ya mwisho, mechi ya mwisho ndio ikaamua mshindi tena kwa tofauti ya point 1.
Nyie Arsenyau mliongoza ligi kwa siku 258, zimebaki mechi 8 ligi kuisha nyie mlikua mbele kwa points 8 dhidi ya City, mechi 1 kabla ligi haijaisha Arsenyau yuko nyuma kwa points 8 dhidi ya City.
Halafu shabiki la Nyau linatembea kifua mbele na kuwacheka liverpool na kutamba kua "sisi sio kama nyie kipara alikua anawageuza anavyotaka" sasa hapo kipara alikua anamgeuza nani anavyotaka? View attachment 2836286
Wasamehewe😂
Kuna mashabiki wa arse8 wamevamia msimu huu baada ya kuongoza ligi.


Kuna mwingine Jana anategemea eti manyumbu mtufunge liver,ili wao arse8 waendelee kubaki juu😆
Yaani ana matumaini ambayo hata ten hag na genge lake la wahuni akina Rashidi Mpemba hawana.
 
Wasamehewe
Kuna mashabiki wa arse8 wamevamia msimu huu baada ya kuongoza ligi.


Kuna mwingine Jana anategemea eti manyumbu mtufunge liver,ili wao arse8 waendelee kubaki juu
Yaani ana matumaini ambayo hata ten hag na genge lake la wahuni akina Rashidi Mpemba hawana.
hawa ni wazee wa false hopes, hawana tofauti na wale waumini walioenda airport wakitaka kwenda kuhubiri neno la Mungu kwa watu wa mataifa haliyakua hawana nauli, passport wala viza.
 
hawa ni wazee wa false hopes, hawana tofauti na wale waumini walioenda airport wakitaka kwenda kuhubiri neno la Mungu kwa watu wa mataifa haliyakua hawana nauli, passport wala viza.

Waitwao ni wengi ila wateule ni wachache.

Ngoja tuwape airtime wakae kae pale juu kama kawaida yao na kombe hawabebi
Liver ndoo
Aseno kondoo
 
Mikel Arteta has conceded that the debate over the Arsenal No1 position could be affecting David Raya after being at his two errors vs Luton.

But he said the Spaniard has been “impressive” since joining and will continue to receive love and support.
arteta-raya-e1702032180902-1024x681.jpg
 
We kweli mpira utakuwa huutambui🤣
Angalia kipara alitushinda kwa points ngapi,angalia na za kwenu halafu urudi urekebishe ulichokiandika


Sijui hata kama unaelewa ulichoandika😆
Kushindwa ni kushindwa tu mkuu🤠🤠...halafu sisi ni mara moja sio kama nyny....misimu almost mitatu anawageuza anavyotaka na hapo mna utatu mkali Pale mbele...Salah..ostadh Mane na Bobby Firmino...halafu ndo mje mtutambie sasahv🤠🤠🤠...nyny bdo sana na ligi itaisha mwezi wa Tano bingwa akiwa either Arsenal au kipara akiotea tena...sio nyny kuku wa mdondo
 
Kushindwa ni kushindwa tu mkuu🤠🤠...halafu sisi ni mara moja sio kama nyny....misimu almost mitatu anawageuza anavyotaka na hapo mna utatu mkali Pale mbele...Salah..ostadh Mane na Bobby Firmino...halafu ndo mje mtutambie sasahv🤠🤠🤠...nyny bdo sana na ligi itaisha mwezi wa Tano bingwa akiwa either Arsenal au kipara akiotea tena...sio nyny kuku wa mdondo
Yaani Mtu unayesema mara moja tu kombe unajua hata mara ya mwisho timu yako ilichukua lini? 😂
 
Takehiro Tomiyasu:

"Saka makes my life easier. Against Wolves I didn't do anything, just gave him the ball and then he made it. Training against him is a nightmare. Not only him, at right fullback I play against Martinelli.

Obviously he's one of the best wingers." [Talksport]View attachment 2836415
Kasaka hakajui hata ushindi wa anfield unafananiaje
 

Attachments

  • JamiiForums1698015722.jpeg
    JamiiForums1698015722.jpeg
    55.5 KB · Views: 9
Hivi hzi tuzo za mchezaji Bora na kocha Bora wa mwezi kwa EPL huwa zinapatikanaje...mchakato wake ukoje yaani....kwli kabisa Magwaya na baba Ubaya miksa bichwa lenye mabonde 7 hag wanashinda tuzo hii mbele ya makocha timamu wte kwa lipi walilolifanya🤠🤠🤠🤠
 
Back
Top Bottom