hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,285
- 26,683
Andre wa Fluminense anaenda Fulham kuziba pengo la Palhinha anayeondoka
Arsenal wataongeza watu wawili January Kiungo na Beki
Ile kauli tunaanza Ligi January ina mashiko ,tuombe Mungu tuwe kwenye title race ,hata Kama nafas ya 2 tusiachwe zaidi ya point 3
Leo kwenye Press ya Arteta baadae ,inasemekana atatoa taarifa za majeruhi Partey na Smith Rowe
Kama itakuwa vzr ,Partey awepo kwenye mech ya Dec 23 ,Anfiled ,
Tomiyasu atakuwa nje wiki 4-6 , January akiwa fit anaenda kwenye michuano ya Asian Cup , Partey anaenda AFCON
Ndio maana kipaumbele cha kwanza tutasajili Beki mmoja na kiungo mmoja .
Arsenal wataongeza watu wawili January Kiungo na Beki
Ile kauli tunaanza Ligi January ina mashiko ,tuombe Mungu tuwe kwenye title race ,hata Kama nafas ya 2 tusiachwe zaidi ya point 3
Leo kwenye Press ya Arteta baadae ,inasemekana atatoa taarifa za majeruhi Partey na Smith Rowe
Kama itakuwa vzr ,Partey awepo kwenye mech ya Dec 23 ,Anfiled ,
Tomiyasu atakuwa nje wiki 4-6 , January akiwa fit anaenda kwenye michuano ya Asian Cup , Partey anaenda AFCON
Ndio maana kipaumbele cha kwanza tutasajili Beki mmoja na kiungo mmoja .

| Mikel Arteta will hold his pre-Aston Villa press conference at 9am (UK) today

@David_Ornstein on Ramsdale:
“I think everybody is going to be ok (after Luton Town).”