Kwa kweli hapaswi kutoipa hii mechi umuhimu, kama tunautaka ubingwa yafaa kila mechi ipewe umuhimu ule ule. Rotation? Of course ni muhimu, lakini si weak lineup.
Hizi mechi kama unataka kufanya rotation nadhani ni vema ikaanza strong lineup then tukipata margin kubwa ya magoli mapema ndipo unapumzisha key players.
Sikufurahishwa na last match vs Wolves, tumepata magoli mawili mapema lakini tunashindwa kuongeza margin mwisho tunamaliza game kwa pressure 2-1 na hii imejirudia several times.
Hizi ni mechi tunapaswa kuzitumia kuongeza GD, kuepuka injury na kutengeneza ‘fear factor’ kwa kupata comfortable win mapema ili kuondoa pressure ya game kwa mwalimu na wachezaji.