Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,701
- 13,671
Kama maOnana.Wa Monaco nadhani ndiye huwa anaongelewa. Kumekuwa na ka mlipuko ka mafofana hivi karibuni. Sijui imekuwaje kuwaje
Kama maOnana.Wa Monaco nadhani ndiye huwa anaongelewa. Kumekuwa na ka mlipuko ka mafofana hivi karibuni. Sijui imekuwaje kuwaje
Ninyi ni vibonde kwetu kwa sasa , ile ya kutufunga msahau kabisa , sasa hivi mkikutana na sisi mjue ni kipigo kwenda mbeleChelkenge Mara ya mwisho kumfunga Arsenal mwaka gani?
Ile sare 2-2 mnahesabu mlishinda![]()
Arsenal hatuwez kuwa kibonde wa Chelsea maisha yote ,Ninyi ni vibonde kwetu kwa sasa , ile ya kutufunga msahau kabisa , sasa hivi mkikutana na sisi mjue ni kipigo kwenda mbele




Son kile chuma hakuna timu ingesimama maan tisa yeyote NI kujiposition na Yule anajuaNadhani tule ni midfielder zaidi. Tunahitaji striker au forward mkali anayejua goli lilipo. Mfano mwingine short term kwa sababu ya umri tu ila sioni wadogo zake wengi wa kumzidi ni Son wa Spurs
Leo tunatoa onyo kali kwa manyumbu Fc , kipigo kizitoArsenal hatuwez kuwa kibonde wa Chelsea maisha yote ,
Nyie pwagu na pwaguzi, game inatoka draw hiiLeo tunatoa onyo kali kwa manyumbu Fc , kipigo kizito
Dozi juu ya dozi, tuki pata na striker no 9 ni 🔥🔥.Ambangile anasema anaomba tusimpate Palhinha
Anasema wakikaa na Rice pale ,itakuwa Hali ngumu ku penetrate
Ongezea na Kai futi 6+ ,Rice , Palhinha ,Saliba ,Big Gab , Tomiyasu
Wapinzani kila kheri
Inamaana wakina Edu washaongea na dogo sio🤠🤠🤠...akija yy maana yake yy anakaa dimba la chini na Rice anakaa kama LCM ama....maana kwa stats za Palhinha anaonekana ni pure DM yy anajua kuzuia zaidi kuliko kugawa Mali kwa ufanisiAmbangile anasema anaomba tusimpate Palhinha
Anasema wakikaa na Rice pale ,itakuwa Hali ngumu ku penetrate
Ongezea na Kai futi 6+ ,Rice , Palhinha ,Saliba ,Big Gab , Tomiyasu
Wapinzani kila kher
Yupo kwa ListInamaana wakina Edu washaongea na dogo sio...akija yy maana yake yy anakaa dimba la chini na Rice anakaa kama LCM ama....maana kwa stats za Palhinha anaonekana ni pure DM yy anajua kuzuia zaidi kuliko kugawa Mali kwa ufanisi
Douglas Luiz yule Emery hawezi kutuuzia...na akituuzia atataka kukomoa maana hawana presha ya kuuza...tuangalie kwngineYupo kwa List
verifaidi yuza alileta habari humu ambayo Ni reliable kabisa ,Inaonesha Douglas Luiz labda Hadi summer
But Kwasasa Bayern Kama wamejitoa hivi kumtaka ,
Wachambuzi wanasema itakuwa hatari Sana kama Arsenal watampata huyo jamaa
Huyo Ni Pure DM,
hatahusika kwenye maswala ya kupokea mpira kwa back 4, hiyo kazi wanaifanya Zinchenko anaye invert, au Rice au Ødegaard,yeye kazi yake kupora mipira na kazi chafu ,Mali anamkabidhi Øde,rice
Mpira umehamia kwenye duels na kuwin 50/50
Kuna watu mpaka Leo hawajui kwanini tulimsajili Kai havertz na Rice ,Ni baada ya Arsenal kusumbuliwa na Everton ,type ya timu hizo, au mancity timu ambazo zinahitaji ushinde mipira ya juu ,uwin duels zote
Pep ,baada ya mechi 2 zote vs Arsenal,alisema, Ni ngumu kukabiliana na mipira mifupi na mirefu ya Raya ambaye huwa anaitarget kwa Kai
Mechi ya pale Emirates, Kai ndiye aliwaua city ,Inapigwa long balls ,akiwa katikati ya mabeki wa city ,anapokea mpira hewan anauweka chini anampa MARTINELL ,Kamba
Unapoenda UCL , una Rice LCM , Palhinha DM Ødegaard RCM
Kai CF , ukuta ule wa Arsenal wote wale 6ft+
Tomiyasu Big Gab Saliba White
Palhina Rice Kai
Kama tutampata huyo jamaa
Kila la kheri wapinzani,
Ndio ugumu unapokuja ,kwa January hii atataja hata £100mDouglas Luiz yule Emery hawezi kutuuzia...na akituuzia atataka kukomoa maana hawana presha ya kuuza...tuangalie kwngine
Kwa nilivyomuangalia mimi, namuona ni zaidi ya DM. Naweza kudiriki kusema ni kama Rice mwingine au hata Kai kidogo maana jamaa anapanda na moves na kuingia kwenye box kabisa. Siyo mtu wa kukaa tu nyuma na kupora mipira. Pia anapiga long balls na through balls zikamaliziwe huko mbele so siyo kama atakuwa anarecycle tu possession. Huenda anaonekana kama anakaba sana kwa sababu Fulham wanashambuliwa kuliko sisi au kina Liverpool lakini ana strengths zingine pia. Kwa hivyo huenda hata akawa anabadilishana na Rice kukaa nyuma. Au Partey akiwepo na Rice hayupo, mmoja wao anakuwa kama advanced MF. Kama anapatikana, aje tu.Yupo kwa List
verifaidi yuza alileta habari humu ambayo Ni reliable kabisa ,Inaonesha Douglas Luiz labda Hadi summer
But Kwasasa Bayern Kama wamejitoa hivi kumtaka ,
Wachambuzi wanasema itakuwa hatari Sana kama Arsenal watampata huyo jamaa
Huyo Ni Pure DM,
hatahusika kwenye maswala ya kupokea mpira kwa back 4, hiyo kazi wanaifanya Zinchenko anaye invert, au Rice au Ødegaard,yeye kazi yake kupora mipira na kazi chafu ,Mali anamkabidhi Øde,rice
Mpira umehamia kwenye duels na kuwin 50/50
Kuna watu mpaka Leo hawajui kwanini tulimsajili Kai havertz na Rice ,Ni baada ya Arsenal kusumbuliwa na Everton ,type ya timu hizo, au mancity timu ambazo zinahitaji ushinde mipira ya juu ,uwin duels zote
Pep ,baada ya mechi 2 zote vs Arsenal,alisema, Ni ngumu kukabiliana na mipira mifupi na mirefu ya Raya ambaye huwa anaitarget kwa Kai
Mechi ya pale Emirates, Kai ndiye aliwaua city ,Inapigwa long balls ,akiwa katikati ya mabeki wa city ,anapokea mpira hewan anauweka chini anampa MARTINELL ,Kamba
Unapoenda UCL , una Rice LCM , Palhinha DM Ødegaard RCM
Kai CF , ukuta ule wa Arsenal wote wale 6ft+
Tomiyasu Big Gab Saliba White
Palhina Rice Kai
Kama tutampata huyo jamaa
Kila la kheri wapinzani,
Niliona jana kwny press yake Arteta...bora apumzike...ile mechi ya Villa ule upande wa Zinchenko kuna yule Diaby na sub yake nayo ni winger msumbufu....hyo mechi atafaa TomiyasuTomiyasu's calf discomfort; no rips or more damage.
Most likely won't take a chance tonight as we have the trip to Villa Park in three days.
[@MoArsenal86]
Hapo Timber hajarudi, kuna watu hawataingiza timu uwanjaniAmbangile anasema anaomba tusimpate Palhinha
Anasema wakikaa na Rice pale ,itakuwa Hali ngumu ku penetrate
Ongezea na Kai futi 6+ ,Rice , Palhinha ,Saliba ,Big Gab , Tomiyasu
Wapinzani kila kheri