Yupo kwa List
verifaidi yuza alileta habari humu ambayo Ni reliable kabisa ,Inaonesha Douglas Luiz labda Hadi summer
But Kwasasa Bayern Kama wamejitoa hivi kumtaka ,
Wachambuzi wanasema itakuwa hatari Sana kama Arsenal watampata huyo jamaa
Huyo Ni Pure DM,
hatahusika kwenye maswala ya kupokea mpira kwa back 4, hiyo kazi wanaifanya Zinchenko anaye invert, au Rice au Ødegaard,yeye kazi yake kupora mipira na kazi chafu ,Mali anamkabidhi Øde,rice
Mpira umehamia kwenye duels na kuwin 50/50
Kuna watu mpaka Leo hawajui kwanini tulimsajili Kai havertz na Rice ,Ni baada ya Arsenal kusumbuliwa na Everton ,type ya timu hizo, au mancity timu ambazo zinahitaji ushinde mipira ya juu ,uwin duels zote
Pep ,baada ya mechi 2 zote vs Arsenal,alisema, Ni ngumu kukabiliana na mipira mifupi na mirefu ya Raya ambaye huwa anaitarget kwa Kai
Mechi ya pale Emirates, Kai ndiye aliwaua city ,Inapigwa long balls ,akiwa katikati ya mabeki wa city ,anapokea mpira hewan anauweka chini anampa MARTINELL ,Kamba
Unapoenda UCL , una Rice LCM , Palhinha DM Ødegaard RCM
Kai CF , ukuta ule wa Arsenal wote wale 6ft+
Tomiyasu Big Gab Saliba White
Palhina Rice Kai
Kama tutampata huyo jamaa
Kila la kheri wapinzani,