mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Wanaweza wakawa wanakuja zaidiLuton nategemea kipindi cha pili vitachoka
Cha msingi tuweke mpira chini, zipigwe sambusa na mashambulizi ya kustukiza
Tukileta masihara Game inatua ngumu hii
Wanaweza wakawa wanakuja zaidiLuton nategemea kipindi cha pili vitachoka
Hawa wote wanaiona hii mechi kama interview kwa Arteta. Kila mmoja wao anataka tumuapproach January.Wanacheza tough Sana
Wanaingia Sana
Kama wametumwa hivi na vigogo ili watupunguze kasi
Arteta aingie vizuri kipindi Cha piliLuton hawajakaa kinyonge kabisa. Wanapress. Wanadouble up na kutriple up on Saka, Ode, Martinelli na hata Havertz na Jesus. Hawatupi nafasi ya kucheza boli letu tunavyotaka. Wasipokata moto tutaenda nao bega kwa bega. Tuombe tu sisi tusikate moto kwanza
Wanaona shavu hili hapaHawa wote wanaiona hii mechi kama interview kwa Arteta. Kila mmoja wao anataka tumuapproach January.


Ni noma yaniMadogo wamekamia mechi
Sahihi kabisa mkuuWanaona shavu hili hapa![]()