Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wanacheza tough Sana
Wanaingia Sana

Kama wametumwa hivi na vigogo ili watupunguze kasi
Hawa wote wanaiona hii mechi kama interview kwa Arteta. Kila mmoja wao anataka tumuapproach January.
 
Luton hawajakaa kinyonge kabisa. Wanapress. Wanadouble up na kutriple up on Saka, Ode, Martinelli na hata Havertz na Jesus. Hawatupi nafasi ya kucheza boli letu tunavyotaka. Wasipokata moto tutaenda nao bega kwa bega. Tuombe tu sisi tusikate moto kwanza
Arteta aingie vizuri kipindi Cha pili
 
Ila huyu Rice itabidi tuongeze pesa.

Jamaa anapiga forward passes kama anakunywa maji.. Anacheza Lone 6 but still anakupa vitu vyote: Defense, Umiliki na Passing.

Niliwahi kusema Rice ana footwork nzuri, leo free kick ya kwanza kapiga yeye na kaipiga cross vizuri sana.

Hapa tumepata mashine ya kazi!
 
Back
Top Bottom