Msaada

Nilikua nina account ya jamii forum hapo nyuma kidogo kwenye kujisajili ni lazima kutumia email, iyo account niliiacha kutokana na sababu mbalimbali.

Now nina account hii na ndo naitumia ila nilijisajili kwa email nyingine kabisa ambayo haiko active.

naomba msaada jinsi ya kuifuta ile account ya mwanzo ili niweze kuchange Email niweze kuitumia kwenye account hii nayoitumia kwa sasa.

Najua Arsenal Fans hamuwez kuniangusha ndugu yenu, Manyumbu pia msaada wenu na Kenge Fc naitaji msaada wenu maana toka niwaombe mnionyeshe game ambayo Enzo kazishika sijawahi kuwatembelea hii account inanisumbua mara kwa mara, Liverpool pia msaada na. Watoto wa Pep msaada wenu pia na yule na wale wapiga ramli wa Nyukesto tafadhalini.