HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Tunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.Wakubeba ligi muwe ninyi ?

Jakub kiwior White and Kai havertz Start
