Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakubeba ligi muwe ninyi ?
Tunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
 
Tunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
Hahaaaa wakuwaogopa ninyi labda Luton ,Sheffield na viazi kama hao
 
Tunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
Ninyi gombanieni top four tu ,kombe la Epl lina wenyewe .
Sio ninyi
 
Tunalitaka hilo kombe. Tanalisaka hilo kombe. Matokeo yake kila timu sasa inatuogopa. Zamani tulichukuliwa kama wasindikizaji wanaopigania nafasi za Europe tu. Sasa top teams zote kama liverkuku na mamacita hawapati uzingizi juu yetu. Timu ndogo zote kama chelkenge na manyumbu wana ndoto za kutufunga sisi tu, mengine kwao ni majaliwa.
Ninyi kombe lenu nikuingia top four epl
 
Artetaliban
Screenshot_20231205-222152.jpg
 
Saka au/na Martinelli wangepumzika tu kwanza. Tukamleta hata Elneny hapo kwa Kai. Kai aende CF, Jesus RW au apumzike bench ili Nelson acheze LW ama RW. Nafasi iliyobaki ya mbele awekwe Trossard.
Arteta anaakuambia winning team do not change

Tunaua mende kwa hypertonic missile
 
Luton are the only side in the Premier League this season to play over 300 crosses, so not surprising Arteta has gone for height tonight by bringing in Havertz, Kiwior and White.
20231205_220041.jpg
 
Hawa Luton wanatufuata karibu sana kwenye half yetu na wamecommit watu wengi mbele. Wakichoka kidogo tu au tukiwapatia kuplay out wataumia.
 
Wanacheza tough Sana
Wanaingia Sana

Kama wametumwa hivi na vigogo ili watupunguze kasi
 
Luton hawajakaa kinyonge kabisa. Wanapress. Wanadouble up na kutriple up on Saka, Ode, Martinelli na hata Havertz na Jesus. Hawatupi nafasi ya kucheza boli letu tunavyotaka. Wasipokata moto tutaenda nao bega kwa bega. Tuombe tu sisi tusikate moto kwanza
 
Back
Top Bottom