Huyu yupo kwa mkopo Barca sijui kipengele gani kimefanya acheze leoHuyu Felix kweli kaichoka Atleti Madrid. Anawapiga kamba af ana-celebrate kama kawafunga Real Madrid
Haya mambo yapo EPL huku.Kila chama cha soka kina sheria zake za ndani.Mfano, hapo Spain points zikifungana, kinafata kuangalia tofauti ya magoli kat ya timu mbili zilizofungana points, na sio tofauti ya jumla ya magoli ya kufunga na kifungwa kama EPLHuyu yupo kwa mkopo Barca sijui kipengele gani kimefanya acheze leo
City shida yao ujuaji ,huwezi ukamtoa kiungo kama gundo hujapata anayefanana naye au aliyemzidi gundoganGame 3 sasa, hajazipata hasira tu bado? Maana ni jambo la kushtua kidogo city kwenda game mbili mfululizo bila ushindi,jambo la kushangaza zaid game ya 3 leo bila ushindi hii ajabu kweli kwa city
Rodri hawez kukaba eneo kubwa ,watu wameshtukia hivo wanampiga press Sana,mechi 11 ana kadi nyekundu 1 njano 5Anaenda villa park bila Rodrigo.
Hyu inakuwa short term...atakupa service ya miaka 3 ya ubora....kwnn tusipate watu wa mda mrefu...au kwa January ni ngumu....ila kama Partey anauzwa then hakuna namnaPalhina miaka 28
Hana majeruhi , January anatimba
Nikweli Kaka huyu miaka 3 tuHyu inakuwa short term...atakupa service ya miaka 3 ya ubora....kwnn tusipate watu wa mda mrefu...au kwa January ni ngumu....ila kama Partey anauzwa then hakuna namna
Yeah....anyway ngoja tuone hyo January itakavyokuwaNikweli Kaka huyu miaka 3 tu
Ujue Mikel niligundua kitu kimoja Kwasasa wanataka wachezaji wa EPL ,hawachukui muda kuzoea
Partey alichukua karibu mwaka kuzoea
Kuna DM wengi wazuri nje ya EPL ,ila wanataka mtu wakuingia kikosini na kukiwasha
Wachezaji wengi tuliowachukua hapo hapo EPL hawajachukua muda ku adapt
Trossard,Rice,Jesus,
Hii January juu chini, inabidi tupate mtu wa kupiga kazi chafu na Rice pale katiNikweli Kaka huyu miaka 3 tu
Ujue Mikel niligundua kitu kimoja Kwasasa wanataka wachezaji wa EPL ,hawachukui muda kuzoea
Partey alichukua karibu mwaka kuzoea
Kuna DM wengi wazuri nje ya EPL ,ila wanataka mtu wakuingia kikosini na kukiwasha
Wachezaji wengi tuliowachukua hapo hapo EPL hawajachukua muda ku adapt
Trossard,Rice,Jesus,
Anaandika mdau huko XHyu inakuwa short term...atakupa service ya miaka 3 ya ubora....kwnn tusipate watu wa mda mrefu...au kwa January ni ngumu....ila kama Partey anauzwa then hakuna namna
Yule refa wa jana wa mechi ya City ana Kila dalili ya kuonekana ni mnazi wa Spurs...matukio controversial kwny ligi kuu mpk Sasa kasababisha yy tena kwny mechi ikihusisha game inayomuhusu Spurs....jana ka play advantage Halaand alivyopigwa ngwara...alivyoamka akatoa pasi kwa grealish aliyekuwa anaenda kufunga akapiga filimbi iitwe kati kupigwa faulo....kawasaidia Spurs....game ya Spurs na Liverpool ndo hyuhyu alokataa goli la Diaz na kutoa kadi za njano kwa Jota zenye utata...mwsho Spurs akashinda maji ya jioni...wamchunguze hyu kipara....na yule wa mechi yetu na Nyukesto tumkatae asituchezeshe ni kama ana ajenda ya Siri na sisi hivi....hii ligi imekuwa ya kimafia sana sasahvHii January juu chini, inabidi tupate mtu wa kupiga kazi chafu na Rice pale kati
Ni maoni yake kama wengine tunavyochangia vilevile....profile tunazozitaka...ni already proven kwny high level of football sio watoto wa kutoka academy kama kipindi cha Wenger...kwhyo hyo ni tofauti tyriAnaandika mdau huko X
This "age profile" is annoying! It's annoying! Wenger's Invincible were aged, City won with Fernandinho, Aguero, Yaya Toure, Kompany, Gundo, De Bryne, L'pool had Henderson, Milner, VVD, Alison, Mane, Salah! Then there are Arsenal "fans" with "too old" card!! Kids never win title
Wataelewa tu. Uzuri wake haya mambo sio ya lazima..Anaandika mdau huko X
This "age profile" is annoying! It's annoying! Wenger's Invincible were aged, City won with Fernandinho, Aguero, Yaya Toure, Kompany, Gundo, De Bryne, L'pool had Henderson, Milner, VVD, Alison, Mane, Salah! Then there are Arsenal "fans" with "too old" card!! Kids never win title
Utabiri wangu uli lipa 😂😂😂, hamis77Hapa tuna omba watoke sare tu😂😂
View attachment 2814424
Kaka utabiri wangu uli lipa😂😂, na Jana city katoa sare Tena🤒😂😂Game 1-1 hiyo afu tunakaa juu na hatushuki
+ GrealishAnaenda villa park bila Rodrigo.
Yule angekuwa karibu, ninge mnasa vibao 😂😂Yule refa wa jana wa mechi ya City ana Kila dalili ya kuonekana ni mnazi wa Spurs...matukio controversial kwny ligi kuu mpk Sasa kasababisha yy tena kwny mechi ikihusisha game inayomuhusu Spurs....jana ka play advantage Halaand alivyopigwa ngwara...alivyoamka akatoa pasi kwa grealish aliyekuwa anaenda kufunga akapiga filimbi iitwe kati kupigwa faulo....kawasaidia Spurs....game ya Spurs na Liverpool ndo hyuhyu alokataa goli la Diaz na kutoa kadi za njano kwa Jota zenye utata...mwsho Spurs akashinda maji ya jioni...wamchunguze hyu kipara....na yule wa mechi yetu na Nyukesto tumkatae asituchezeshe ni kama ana ajenda ya Siri na sisi hivi....hii ligi imekuwa ya kimafia sana sasahv