Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huyu yupo kwa mkopo Barca sijui kipengele gani kimefanya acheze leo
Haya mambo yapo EPL huku.Kila chama cha soka kina sheria zake za ndani.Mfano, hapo Spain points zikifungana, kinafata kuangalia tofauti ya magoli kat ya timu mbili zilizofungana points, na sio tofauti ya jumla ya magoli ya kufunga na kifungwa kama EPL
 
Jorginho awataka wachezaji Arsenal wasiwe na huruma

"kwa sababu mchezo umedhibiti kabisa na ghafla unaacha kufanya mambo rahisi ambayo unahitaji kuendelea kufanya.

“Mchezo unaonekana rahisi halafu unaanza kucheza huku na huko, ukijaribu kufurahia mpira lakini mwisho tunatakiwa kuweka akilini kwamba tunafurahia kufunga mabao na sio kucheza tu na kuleta presha na hali ambazo hatuzihitaji. .

"Ndio, nadhani tunahitaji kuwa wasio na huruma zaidi, haswa katika Ligi Kuu, mchezo haujaisha wakati matokeo ni 1-0, 2-0 lazima ufikirie unahitaji tatu, nne na uheshimu mchezo
 
Palhina miaka 28

Hana majeruhi , January anatimba
Hyu inakuwa short term...atakupa service ya miaka 3 ya ubora....kwnn tusipate watu wa mda mrefu...au kwa January ni ngumu....ila kama Partey anauzwa then hakuna namna
 


Declan Rice.

It’s actually so hard to find a game where he hasn’t been solid.

Top player.

20231204_102936.jpg
 
Hyu inakuwa short term...atakupa service ya miaka 3 ya ubora....kwnn tusipate watu wa mda mrefu...au kwa January ni ngumu....ila kama Partey anauzwa then hakuna namna
Nikweli Kaka huyu miaka 3 tu

Ujue Mikel niligundua kitu kimoja Kwasasa wanataka wachezaji wa EPL ,hawachukui muda kuzoea

Partey alichukua karibu mwaka kuzoea

Kuna DM wengi wazuri nje ya EPL ,ila wanataka mtu wakuingia kikosini na kukiwasha

Wachezaji wengi tuliowachukua hapo hapo EPL hawajachukua muda ku adapt

Trossard,Rice,Jesus,
 
Nikweli Kaka huyu miaka 3 tu

Ujue Mikel niligundua kitu kimoja Kwasasa wanataka wachezaji wa EPL ,hawachukui muda kuzoea

Partey alichukua karibu mwaka kuzoea

Kuna DM wengi wazuri nje ya EPL ,ila wanataka mtu wakuingia kikosini na kukiwasha

Wachezaji wengi tuliowachukua hapo hapo EPL hawajachukua muda ku adapt

Trossard,Rice,Jesus,
Yeah....anyway ngoja tuone hyo January itakavyokuwa
 
Nick Pope nje miezi mitano

Newcastle shughuli Yao imeishia hapa,

Arsenal wamesema hamuuzi Ramsdale January labda itokee ofa ya maana
20231204_120202.jpg
 
Nikweli Kaka huyu miaka 3 tu

Ujue Mikel niligundua kitu kimoja Kwasasa wanataka wachezaji wa EPL ,hawachukui muda kuzoea

Partey alichukua karibu mwaka kuzoea

Kuna DM wengi wazuri nje ya EPL ,ila wanataka mtu wakuingia kikosini na kukiwasha

Wachezaji wengi tuliowachukua hapo hapo EPL hawajachukua muda ku adapt

Trossard,Rice,Jesus,
Hii January juu chini, inabidi tupate mtu wa kupiga kazi chafu na Rice pale kati
 
Hyu inakuwa short term...atakupa service ya miaka 3 ya ubora....kwnn tusipate watu wa mda mrefu...au kwa January ni ngumu....ila kama Partey anauzwa then hakuna namna
Anaandika mdau huko X

This "age profile" is annoying! It's annoying! Wenger's Invincible were aged, City won with Fernandinho, Aguero, Yaya Toure, Kompany, Gundo, De Bryne, L'pool had Henderson, Milner, VVD, Alison, Mane, Salah! Then there are Arsenal "fans" with "too old" card!! Kids never win title
 
Hii January juu chini, inabidi tupate mtu wa kupiga kazi chafu na Rice pale kati
Yule refa wa jana wa mechi ya City ana Kila dalili ya kuonekana ni mnazi wa Spurs...matukio controversial kwny ligi kuu mpk Sasa kasababisha yy tena kwny mechi ikihusisha game inayomuhusu Spurs....jana ka play advantage Halaand alivyopigwa ngwara...alivyoamka akatoa pasi kwa grealish aliyekuwa anaenda kufunga akapiga filimbi iitwe kati kupigwa faulo....kawasaidia Spurs....game ya Spurs na Liverpool ndo hyuhyu alokataa goli la Diaz na kutoa kadi za njano kwa Jota zenye utata...mwsho Spurs akashinda maji ya jioni...wamchunguze hyu kipara....na yule wa mechi yetu na Nyukesto tumkatae asituchezeshe ni kama ana ajenda ya Siri na sisi hivi....hii ligi imekuwa ya kimafia sana sasahv
 
Anaandika mdau huko X

This "age profile" is annoying! It's annoying! Wenger's Invincible were aged, City won with Fernandinho, Aguero, Yaya Toure, Kompany, Gundo, De Bryne, L'pool had Henderson, Milner, VVD, Alison, Mane, Salah! Then there are Arsenal "fans" with "too old" card!! Kids never win title
Ni maoni yake kama wengine tunavyochangia vilevile....profile tunazozitaka...ni already proven kwny high level of football sio watoto wa kutoka academy kama kipindi cha Wenger...kwhyo hyo ni tofauti tyri
 
Anaandika mdau huko X

This "age profile" is annoying! It's annoying! Wenger's Invincible were aged, City won with Fernandinho, Aguero, Yaya Toure, Kompany, Gundo, De Bryne, L'pool had Henderson, Milner, VVD, Alison, Mane, Salah! Then there are Arsenal "fans" with "too old" card!! Kids never win title
Wataelewa tu. Uzuri wake haya mambo sio ya lazima..

Kama mtu hataki Palhinha ahusishwe na Arsenal kwa sababu ya umri basi atafute timu yake ya kushangilia.

Huyo Palhinha ana kila quality ya kucheza timu yoyote ulaya. Bayern wenyewe walikuja kukwamishwa mwisho kabisa deal likafeli. Liverpool nao wapo kwenye rada.

Maoni hayagombwi, ila kuna wakati tuwaachie watu wafanye kazi zao kwa sababu wao na sisi interest yetu ni moja.. Sisi tubaki kushabikia!
 
Yule refa wa jana wa mechi ya City ana Kila dalili ya kuonekana ni mnazi wa Spurs...matukio controversial kwny ligi kuu mpk Sasa kasababisha yy tena kwny mechi ikihusisha game inayomuhusu Spurs....jana ka play advantage Halaand alivyopigwa ngwara...alivyoamka akatoa pasi kwa grealish aliyekuwa anaenda kufunga akapiga filimbi iitwe kati kupigwa faulo....kawasaidia Spurs....game ya Spurs na Liverpool ndo hyuhyu alokataa goli la Diaz na kutoa kadi za njano kwa Jota zenye utata...mwsho Spurs akashinda maji ya jioni...wamchunguze hyu kipara....na yule wa mechi yetu na Nyukesto tumkatae asituchezeshe ni kama ana ajenda ya Siri na sisi hivi....hii ligi imekuwa ya kimafia sana sasahv
Yule angekuwa karibu, ninge mnasa vibao 😂😂
 
Back
Top Bottom