Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama tunataka kumchukia Palhinha January, naona poa tu. Ni mrefu wa kusaidia kuwin aerial duels, kitu ambacho kinamuudhi sana Flano kusikia. Anakaba. Anaquality long balls. Anatengeneza nafasi za ufungaji. Anapenda kusogea karibu na box kupiga zile "Partey shots" au kuingia ndani kupiga vichwa cross na kona na muhimu zaidi ni anafunga magoli. Pia jamaa alitufunga tukapoteza points 2. Acha aje awe upande wetu kuliko akiwa mpinzani wetu.
 
Manyumbu😂😂🤒, Flano
FB_IMG_17017033439318521.jpg
 
Kama tunataka kumchukia Palhinha January, naona poa tu. Ni mrefu wa kusaidia kuwin aerial duels, kitu ambacho kinamuudhi sana Flano kusikia. Anakaba. Anaquality long balls. Anatengeneza nafasi za ufungaji. Anapenda kusogea karibu na box kupiga zile "Partey shots" au kuingia ndani kupiga vichwa cross na kona na muhimu zaidi ni anafunga magoli. Pia jamaa alitufunga tukapoteza points 2. Acha aje awe upande wetu kuliko akiwa mpinzani wetu.
Mi nachoona kana mapafu ya duma...uwanjani kana hekaheka nyingi yaani ni Gallagher aliyechangamka zaidi na anatumia zaidi akili....sio mbaya kusogezea siku ila sijui tunakwama wapi kwa Fofana aisee....yule mi naona ndo angekuwa a perfect fit
 
Mi nachoona kana mapafu ya duma...uwanjani kana hekaheka nyingi yaani ni Gallagher aliyechangamka zaidi na anatumia zaidi akili....sio mbaya kusogezea siku ila sijui tunakwama wapi kwa Fofana aisee....yule mi naona ndo angekuwa a perfect fit
Ngoja nimcheki fofana youtube
 
Deal la Fofana, Monaco wamesema hauzwi mwaka huu japo mkataba wake unategemewa kumalizika 2024. Hata hivyo kuna interest pia kutoka PSG.

Kwa jinsi walivyo wachezaji wengi wenye uraia wa kifaransa wanapenda kuchezea kwenye ligi ya kwao, na hivyo kuna PSG ambayo ina uwezo wa kifedha na pia wana potential ya kusumbua ulaya.. Kama ikiwa kweli tunamhitaji basi tuna kazi kubwa ya kufanya ili kumshawishi!
 
Deal la Fofana, Monaco wamesema hauzwi mwaka huu japo mkataba wake unategemewa kumalizika 2024. Hata hivyo kuna interest pia kutoka PSG.

Kwa jinsi walivyo wachezaji wengi wenye uraia wa kifaransa wanapenda kuchezea kwenye ligi ya kwao, na hivyo kuna PSG ambayo ina uwezo wa kifedha na pia wana potential ya kusumbua ulaya.. Kama ikiwa kweli tunamhitaji basi tuna kazi kubwa ya kufanya ili kumshawishi!
Wakimfungia kazi Edu na Arteta plus Saliba akipiga naye cha Nyumbani kwao anakuja yule...tuna project nzuri ambayo kwa mchezaji potential inamfaa sana....PSG ni makubwa jinga Yale...yamepata Kila aina ya wachezaji ila yapo palepale...walikuwa na Neymar plus Messi na Mbappe wakshindwa kumalizia dhamira ya project Yao....
 
🎙️ Mikel Arteta asked about the controversy from the City game.

🗣️ "Those are the kind of things I rage about and they call me a mad man for it, City were robbed for sure, I don't know what to say to them to console them, but lemme start with cry now, cry tomorrow cry forever"
20231204_211218.jpg
 
🎙️ Mikel Arteta asked about the controversy from the City game.

🗣️ "Those are the kind of things I rage about and they call me a mad man for it, City were robbed for sure, I don't know what to say to them to console them, but lemme start with cry now, cry tomorrow cry forever"
View attachment 2833280
Mkuu hii imetengenezwa...nimeangalia press yake mwandishi alijaribu kumuuliza swali kutokana na incidents za mechi ya jana akamkwepa kimtindo....fuatilia kutoka kwny official account ya klabu...achana na hao makanjanja wanaotengeneza stories
 
Mkuu hii imetengenezwa...nimeangalia press yake mwandishi alijaribu kumuuliza swali kutokana na incidents za mechi ya jana akamkwepa kimtindo....fuatilia kutoka kwny official account ya klabu...achana na hao makanjanja wanaotengeneza stories
Kaka sio kila mda wa kua serious, sometimes utani unahusika
 
Natamani tupangiwe mechi na ninyi tena tuwafumue ili hiki kidomo domo kipungue , mkishinda vimechi viwili huwa Mnazungua sana pimbi ninyi ,watu hatulali
 
Back
Top Bottom