Huyo jamaa ndiye anaongoza kwa tackling EPL nzima ,linapatikana kwa £38-45m
Ni mrefu
Arteta anataka kutengeneza timu iliyo stable Sana kiulinzi anataka kuishi na ile Falsafa inayosema
Attacking inashinda mechi, Defence inakupa mataji
Sasa imagine Hii BERMUDA TRIANGLE tu inatishia amani
Leo nilikuwa naangalia Stats za Save kwa makipa EPL , kwa wale makipa First eleven , Raya anashika nafasi ya mwisho mwisho kwa kukutana na save chache anazo 14 tu ,
Magoli tunayofungwa mengi Ni tunachoma wenyewe Kama la juzi vs wolves
Kimfumo Ni ngumu kupata clear chances ,
Sasa akiongezeka yule Palhina na Rice hapo unaipata Artetaliban Ball.
UCL kule ukiwa na Defense nzuri unatoboa mapema Sana,
Kwasasa Fluidity ya timu ishaanza kurudi ,