Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kilichopo kwa sasa ni kusikiliza msimamo wake ni upi maana Arsenal haipo tayari kuingia kwenye bidding war na Kenge za darajani, inabidi afanye maamuzi kama ilivyokua kwa Declan Rice
True ,nasikia kambi yake na watu wake wakaribu hasa kina obi Mikel ndio wanafosi aende Chelsea ,sasa sidhani Kama yupo tayari akagombee kushuka daraja
 
True ,nasikia kambi yake na watu wake wakaribu hasa kina obi Mikel ndio wanafosi aende Chelsea ,sasa sidhani Kama yupo tayari akagombee kushuka daraja
Kambi ishaahidiwa mapesa ya kutosha na tajiri miluzi ndo maana...waafrika njaa inatusumbua sana na yy akisema acheki mzigo wa watu wanaomtegemea kuna asilimia kubwa akaona Bora aende kuvuta mavumba ya kutosha huku na mawakala nao wakilamba dau nono...mm binafsi bidding war na Chelsea siitaki maana wao hawatumii akili🤠🤠...wanaenda tu...papai la 2000 wanaweza kulinunua kwa 20000....hawana akili kabisa
 
Kambi ishaahidiwa mapesa ya kutosha na tajiri miluzi ndo maana...waafrika njaa inatusumbua sana na yy akisema acheki mzigo wa watu wanaomtegemea kuna asilimia kubwa akaona Bora aende kuvuta mavumba ya kutosha huku na mawakala nao wakilamba dau nono...mm binafsi bidding war na Chelsea siitaki maana wao hawatumii akili...wanaenda tu...papai la 2000 wanaweza kulinunua kwa 20000....hawana akili kabisa
True kabisa ,angalia sajili zao hapa,asilimia kubwa Ni sajili za mihemko ,na kukomoana Fulani asimpate
20231126_184501.jpg
 
| Mikel Arteta on if Kai Havertz's finish against Brentford is one of the reasons Arsenal signed him:

“Yes, absolutely yes.

“Against this block, and against teams that defend the box like this, you need this type of profile, and he’s exceptional at that.

“He won the game in that action for us.”

[@arsenal] #afc
20231125_232447.jpg
 
Arsenal’s next five games in PL.

• Wolves (H)
• Luton Town (A)
• Aston Villa (A)
• Brighton (H)
• Liverpool (A)

How many points do you think we can get out of 15 points?


For me 13/15 ikiwezena 15/15 kabisa
 
Mancity anataka kutuvurugia kwa Douglas Luiz

Man City have been linked with a move to re-sign Douglas Luiz from Aston Villa
 
Nimeangalia jana mechi ya Spurs vs Villa, ukweli ni kwamba Douglas Luiz ni lcm material, tunamtaka Luiz kucheza Lcm na sio #6. He fits the bill. Kwenye double pivot yeye na Camara, Luiz anakuwa kushoto and he does it all. Jamaa anajua ball.
 
Nimeangalia jana mechi ya Spurs vs Villa, ukweli ni kwamba Douglas Luiz ni lcm material, tunamtaka Luiz kucheza Lcm na sio #6. He fits the bill. Kwenye double pivot yeye na Camara, Luiz anakuwa kushoto and he does it all. Jamaa anajua ball.
Yah anakuja kucheza LCM, mancity nao wanamtaka wamrudishe ,

Ana quality pia yakucheza DM ,
 
Arsenal’s next five games in PL.

• Wolves (H)
• Luton Town (A)
• Aston Villa (A)
• Brighton (H)
• Liverpool (A)

How many points do you think we can get out of 15 points?


For me 13/15 ikiwezena 15/15 kabisa
Mechi ya Villa na Liverpool tunahitaji kujishikilia, sema uzuri Anfield tunaenda na Declan Rice, He's not a momentum player like Thomas Partey. Huyu mnyama hata upige kelele paka koo likukauke moto wake hauzimi.
 
Yah anakuja kucheza LCM, mancity nao wanamtaka wamrudishe ,

Ana quality pia yakucheza DM ,
Naamini pia kuna game atacheza DM kutokana na mahitaji, napenda wachezaji wanaojiexpose kama Luiz, kwenye build up yeye anautaka mpira wala haogopi pressure.
 
Mechi ya Villa na Liverpool tunahitaji kujishikilia, sema uzuri Anfield tunaenda na Declan Rice, He's not a momentum player like Thomas Partey. Huyu mnyama hata upige kelele paka koo likukauke moto wake hauzimi.
Villa Sina hofu nao ,Jana Spurs kashindwa mwenyewe kuwamaliza, Villa bado wabovu kwenye highline

Anfield nakuahidi tunaenda kushinda safari hii, ile miiko yote tumekuwa tunaivunja ,Last season hatukutulia tu

Liverpool Hana Midfield ya kutisha ,wapo lethal Sana ,kinachowabeba Wana striking force nzuri


Nimeona hata against City, muda mwingi walikuwa wanawekwa nyuma

Mungu saidia hiyo mechi partey anakuwa kapona ,
 
Naamini pia kuna game atacheza DM kutokana na mahitaji, napenda wachezaji wanaojiexpose kama Luiz, kwenye build up yeye anautaka mpira wala haogopi pressure.
yaani Arsenal wameahidi kufa nae wanamleta Emirates

Ukishaona Ni top Target halafu Bodi imekubali ,hapo tayari ground work inafanyika

January hii tutapush Sana .

Kwa Caicedo tulipush Sana Hadi £70m ,wakasema NOT FOR SALE ndipo tukaachana nae .


Emery ajiandae January ,tunakuja kupush
 
Villa Sina hofu nao ,Jana Spurs kashindwa mwenyewe kuwamaliza, Villa bado wabovu kwenye highline

Anfield nakuahidi tunaenda kushinda safari hii, ile miiko yote tumekuwa tunaivunja ,Last season hatukutulia tu

Liverpool Hana Midfield ya kutisha ,wapo lethal Sana ,kinachowabeba Wana striking force nzuri


Nimeona hata against City, muda mwingi walikuwa wanawekwa nyuma

Mungu saidia hiyo mechi partey anakuwa kapona ,
Yaah! Partey akiwa fit + Rice na Odegaard tunaweza kufanya jambo, japo ukweli ni kwamba Anfield na Old trafford huwa ni viwanja vigumu sana kwetu.
 
Yaah! Partey akiwa fit + Rice na Odegaard tunaweza kufanya jambo, japo ukweli ni kwamba Anfield na Old trafford huwa ni viwanja vigumu sana kwetu.
Yaani kiungo ya Rice Partey Ødegaard

Hapo naingia kwenye mechi na popcorn

Midfield ya Liverpool ya last season kwangu ilikuwa Bora kuliko hii

Uzuri kwasasa hakuna timu tena yakutupakisha Basi .
 
Hahahaha.............mwaka huu una mzuka sana na timu yako, sijui ile partnership ya akina Salah ndiyo inakupa kiburi 🤪

Hiyo ya Arsenal utaipata, nipe namba ya nyumba au ya Balozi wa nyumba 10

Karibu mitaa ya Emirates kwenye mpira mzuri 💪
Timu yangu nipo muda wote toka msimu Jana tulioflop
Hadi sasa tunanyanyuka tupo nyuma ya timu.


Wewe taja location
Kuna jamaa humu anauza nyuzi
Tumtafute huyo,akupe lipa namba...ulipie halafu mm nikachukue hzi wangu wa arse8 kiroho safi
 
Timu yangu nipo muda wote toka msimu Jana tulioflop
Hadi sasa tunanyanyuka tupo nyuma ya timu.


Wewe taja location
Kuna jamaa humu anauza nyuzi
Tumtafute huyo,akupe lipa namba...ulipie halafu mm nikachukue hzi wangu wa arse8 kiroho safi
Kumbe upo vizuri Mkuu, pamoja na liver kutaka kushuka daraja mwaka jana lakini bado ulikuwa nyuma yake 🤗

Wasiliana naye unitumie control number ukachujue Jersey yako ila sharti langu nataka nikuone umeivaa hiyo Jersey 🤪
 
Back
Top Bottom