hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,622
- 27,310
True kabisa ,angalia sajili zao hapa,asilimia kubwa Ni sajili za mihemko ,na kukomoana Fulani asimpateKambi ishaahidiwa mapesa ya kutosha na tajiri miluzi ndo maana...waafrika njaa inatusumbua sana na yy akisema acheki mzigo wa watu wanaomtegemea kuna asilimia kubwa akaona Bora aende kuvuta mavumba ya kutosha huku na mawakala nao wakilamba dau nono...mm binafsi bidding war na Chelsea siitaki maana wao hawatumii akili...wanaenda tu...papai la 2000 wanaweza kulinunua kwa 20000....hawana akili kabisa

| Mikel Arteta on if Kai Havertz's finish against Brentford is one of the reasons Arsenal signed him:

