hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,322
- 26,761
True ,nasikia kambi yake na watu wake wakaribu hasa kina obi Mikel ndio wanafosi aende Chelsea ,sasa sidhani Kama yupo tayari akagombee kushuka darajaKilichopo kwa sasa ni kusikiliza msimamo wake ni upi maana Arsenal haipo tayari kuingia kwenye bidding war na Kenge za darajani, inabidi afanye maamuzi kama ilivyokua kwa Declan Rice

| Mikel Arteta on if Kai Havertz's finish against Brentford is one of the reasons Arsenal signed him:

