makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,851
- 103,970
Jaribu 1xbetWhere can I get the betting company with total goals bands
Jaribu 1xbetWhere can I get the betting company with total goals bands
13 zinatosha saana hapo.Arsenal’s next five games in PL.
• Wolves (H)
• Luton Town (A)
• Aston Villa (A)
• Brighton (H)
• Liverpool (A)
How many points do you think we can get out of 15 points?
For me 13/15 ikiwezena 15/15 kabisa
Kama tutapata clinical CF na Lcm basi moto utawaka.Makali ya kwenye kushambulia yamepungua msimu huu ila kuzuia naona tumekuwa bora zaidi.. Ingekuwa makali ya kushambulia ni kama msimu uliopita, aisee ingekuwa ni balaa
Sahihi, akipatikana LCM mzuri atarahisha vingi, na kumtegemea odegaard kutapungua nae majukumu yatampungukia, tutakuwa hatari saana pale mbele, mpaka leo bado hatujapata LCM hatari, bado tunapata afadhali wa kujaza kikosi tusicheze 9 uwanjani.Kama tutapata clinical CF na Lcm basi moto utawaka.
True ,nasikia kambi yake na watu wake wakaribu hasa kina obi Mikel ndio wanafosi aende Chelsea ,sasa sidhani Kama yupo tayari akagombee kushuka daraja
Kwanini KakaWhatever, he is not so much important

wachezaji 9 wa Brentford wapo ndani ya Box Ndani ya box lao wako 9 lakini nyie mnaoshambulia mko 4, hao 5 wenu mmewaacha nje ya box wanafanya shughuli gani uko nyuma dhidi ya mchezaji 1 wa Brentford?Angalia hapo
wachezaji 9 wa Brentford wapo ndani ya Box![]()
Kwahiyo unataka na Arsenal wajazane kwenye box wapigwe kaunta?Ndani ya box lao wako 9 lakini nyie mnaoshambulia mko 4, hao 5 wenu mmewaacha nje ya box wanafanya shughuli gani uko nyuma dhidi ya mchezaji 1 wa Brentford?


Ukute unapiga domo humu kumbe Shabiki la Chelkenge au manjestaTulimiss sana hizi "stori zakijiwe cha kahawa"-alike. Kwa hiyo Rice anazima namba 6, af Luiz anaua 8 hapo juu. Hapa hatoki mtu.
Likiwezekana kwa hali na mali tupigeArsenal’s next five games in PL.
• Wolves (H)
• Luton Town (A)
• Aston Villa (A)
• Brighton (H)
• Liverpool (A)
How many points do you think we can get out of 15 points?
For me 13/15 ikiwezena 15/15 kabisa
Kuna game baadhi hua zikichafuka yan arsenal tunatafuta goli kwa udi na uvumba kwenye dakika 80+ li Gabriel hua linapiga forward pass za hatari aisee hadi hua nashangaa ili jamaa linauwezo mkubwa kiasi hiki.Someone said that the trio of Rice, Saliba and Gabriel is like the Bermuda Triangle. No one goes in and lives to tell the tale.View attachment 2826789
An approach from a bottom-half Premier League side to Aaron Ramsdale has been REJECTED, Football London understands.
Arsenal’s position remains clear that they do not want to lose Ramsdale. Huwa linanifurahisha Sana zikifika hizo dakika,halafu awepo na zinnyKuna game baadhi hua zikichafuka yan arsenal tunatafuta goli kwa udi na uvumba kwenye dakika 80+ li Gabriel hua linapiga forward pass za hatari aisee hadi hua nashangaa ili jamaa linauwezo mkubwa kiasi hiki.
Kwani goli la counter sio halali?Kwahiyo unataka na Arsenal wajazane kwenye box wapigwe kaunta?
Arsenal sio manjesta jaman![]()