Hilo shuti mpaka limfikie Raya/Ramsdale ni saa ngapi.. Huyo Gabriel yuko tayari hata kuweka korodani zake on line ili shuti lisifike golini.Fewest shots on target faced in the Premier League this season:
1. Arsenal - 28
2. Man City - 35
3. Everton - 47
4. Crystal Palace - 47
Kwanini Kaka
Japo ana record mbaya ya injury
Ma striker Kutoka Italy kuwika EPL sikumbuki lini
Partey Hadi January mwishoniVilla Sina hofu nao ,Jana Spurs kashindwa mwenyewe kuwamaliza, Villa bado wabovu kwenye highline
Anfield nakuahidi tunaenda kushinda safari hii, ile miiko yote tumekuwa tunaivunja ,Last season hatukutulia tu
Liverpool Hana Midfield ya kutisha ,wapo lethal Sana ,kinachowabeba Wana striking force nzuri
Nimeona hata against City, muda mwingi walikuwa wanawekwa nyuma
Mungu saidia hiyo mechi partey anakuwa kapona ,
Hilo shuti mpaka limfikie Raya/Ramsdale ni saa ngapi.. Huyo Gabriel yuko tayari hata kuweka korodani zake on line ili shuti lisifike golini.








Nigaivaa hata kila wikiKumbe upo vizuri Mkuu, pamoja na liver kutaka kushuka daraja mwaka jana lakini bado ulikuwa nyuma yake
Wasiliana naye unitumie control number ukachujue Jersey yako ila sharti langu nataka nikuone umeivaa hiyo Jersey![]()
Wanataka kuwa lialia FCHalafu hamis77 anaona Saka kaongea kitu cha maana kweli.
Arsenal siku hizi kila kitu kwao ni habari kisa wako form.



Watu wakaribu ndio wanafosi aende ChelseaAmeisha kuwa influenced kwenda Chelsea, if his heart is not at Arsenal ni wa kuachana naye
Muongezee hapa Partey ,kwenye hii Bemunda TrianglePartey Hadi January mwishoni
There you are boss, ngoja tuongeze ushawishi uhamie kabisa Gunners 🤗🏃🏃Nigaivaa hata kila wiki
Ikiwezekana ziwe nyingi
Niwe nabadili tu
Nipeni kwanza jezi..There you are boss, ngoja tuongeze ushawishi uhamie kabisa Gunners 🤗🏃🏃
Mwambie mdau anicheki ama we mwenyewe.Nipeni kwanza jezi..
Ushawishi wa maneno matupu bila nyuzi ni sawa na bure
Mdau Hadi nitafute uzi wakeMwambie mdau anicheki ama we mwenyewe.
Mwaka huu lazima uhamie kwa Washika bunduki![]()

Usiseme uzi wajalaana, sema uzi wa mabingwa watarajiwa wa Uefa na Ligi Kuu mwaka 2023/2024 💪Mdau Hadi nitafute uzi wake
Ukinipa pesa ntakula kwa kweli
Siwezi enda dukani ninunue uzi wa wajaa laana arse 8 ,niache uzi wa Chama langu kubwa
Hawa si wazee wa fluke....kwanza tangu msimu umeanza ni lini wamempakisha mtu basi🤠🤠🤠...hawa wanachojua wakiipata ni kwa Bruno...naye akiipata anaibeba anaibutua kwa Rashidi Makame...halafu Rashidi Makame ndo atajua nn cha kufanya...juzi Everton walikaa vbaya tu ndo wakapata cha kusemea....mechi ijayo wanaenda kucheza na machizi wenzao Nyukesto...hapo ndo utaona sasa hawa mabwana walivyo wabovu....Chelkenge kaenda kajaribu kupishana nao kaambulia alichopata sasa bdo hawaKwahiyo unataka na Arsenal wajazane kwenye box wapigwe kaunta?
Arsenal sio manjesta jaman![]()
Hawatafika goliniMuongezee hapa Partey ,kwenye hii Bemunda Triangle
Fewest shots on target faced in the Premier League this season:
1. Arsenal - 28
2. Man City - 35
3. Everton - 47
4. Crystal Palace - 47View attachment 2827177


A little Mozart.. Yule jamaa alikuwa fundi saana, uchawi majeruhi moja ya vipaji ambavyo havikufikia ubora wake halisi. Majeruhi ni adui namba oja kwa mwanamichezo.Huwa linanifurahisha Sana zikifika hizo dakika,halafu awepo na zinny
Ni pass after pass
Nimemkumbuka Sana Uncle Tom , yule mwamba hajui kurudisha mpira nyuma ,Ni mbele kwa mbele