Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kinachoshtua ni kwamba kila wiki anakutana na chances kama hizi ila anarudia script ile ile
Amini maneno yangu, hajui boli, huyu sio ball talent, ni shule imemfikisha pale, halafu sidhani kama ana juhudi binafsi za kusogea mbele, ndio maana kila siku anakuwa ni yule yule tu.
 
Kileleni
IMG-20231125-WA0013.jpg
 
So far, no need of sub at the moment

Hadi Dakika ya 70 nyama ikiwa ngumu Kai inabidi ainuke aje kuokoa jahazi

KAI HARVETZ:

Nimewahi kuandika mara moja kuhusu huyu mtu na nikaomba apewe muda kama baadhi walivyoomba.

Huwa napenda kuheshimu professionalism na hasa professionals ambao wameprove kuhusu uwezo wao several times against all odds.

Kai pamoja na kelele zote, Arteta amekuwa akimprefer mbele ya players wengine alionao na kumpanga regularly, japo imekuwa ikisemwa kuwa anajaribu kuforce kujustify his high price tag (£65m).

Niliwahi kusema kuwa sisi kama fans tuko limited when it comes to details regarding players ndio maana sometimes selection za vikosi na preference ya nani aanze, nani akae bench na nani asiwepo hata bench inaweza kuzua taharuki kwa fans.

Kai ambaye mashabiki kadhaa wanaona hafanyi vema, anaitwa national team kila mara. Julian Nagelsman, moja ya tactician wazuri kabisa naye anaona anamhitaji Kai katika kikosi cha Germany ambacho kimesheheni wachezaji wazuri kwenye roles ambazo Kai amekuwa akipewa i.e LCM, RCM, striker na second striker.

Kama haitoshi, juzi Julian anampanga Kai kwenye new role ya LB kwenye mechi 2. Huku akifunga goal just 5mins into his new role against Turkey, Nagelsman post match comment in his second game against Austria when asked about how he feels with Kai’s perfomance in his new role said, “Probably our best player on the field tonight”. He kept on saying, Kai is so talented and versatile pointing out his new role as an evidence.

Akiwa Chelsea pamoja na kucheza chini ya makocha wanne tofauti ndani ya misimu mitatu, alibaki kuwa chaguo la kwanza kwenye kikosi kwa makocha wote. Kabla ya kuja Arsenal alikuwa Chelsea’s best player of the season.

Jana huku akitokea bench baada ya kuwa kwenye international role ambapo alicheza kama LB, he scored the only goal to give Arsenal a deserved win which we desparately needed to go on top of the premier league table following a 1-1 draw in an earlier contest between City and Liverpool.

Kwamba hawa tactician wawili (Arteta na Nagelsman) hawajui wakifanyacho kuliko some fans wanaopiga kelele kuhusu Kai?
I DON’T KNOW!!
 
KAI HARVETZ:

Nimewahi kuandika mara moja kuhusu huyu mtu na nikaomba apewe muda kama baadhi walivyoomba.

Huwa napenda kuheshimu professionalism na hasa professionals ambao wameprove kuhusu uwezo wao several times against all odds.

Kai pamoja na kelele zote, Arteta amekuwa akimprefer mbele ya players wengine alionao na kumpanga regularly, japo imekuwa ikisemwa kuwa anajaribu kuforce kujustify his high price tag (£65m).

Niliwahi kusema kuwa sisi kama fans tuko limited when it comes to details regarding players ndio maana sometimes selection za vikosi na preference ya nani aanze, nani akae bench na nani asiwepo hata bench inaweza kuzua taharuki kwa fans.

Kai ambaye mashabiki kadhaa wanaona hafanyi vema, anaitwa national team kila mara. Julian Nagelsman, moja ya tactician wazuri kabisa naye anaona anamhitaji Kai katika kikosi cha Germany ambacho kimesheheni wachezaji wazuri kwenye roles ambazo Kai amekuwa akipewa i.e LCM, RCM, striker na second striker.

Kama haitoshi, juzi Julian anampanga Kai kwenye new role ya LB kwenye mechi 2. Huku akifunga goal just 5mins into his new role against Turkey, Nagelsman post match comment in his second game against Austria when asked about how he feels with Kai’s perfomance in his new role said, “Probably our best player on the field tonight”. He kept on saying, Kai is so talented and versatile pointing out his new role as an evidence.

Akiwa Chelsea pamoja na kucheza chini ya makocha wanne tofauti ndani ya misimu mitatu, alibaki kuwa chaguo la kwanza kwenye kikosi kwa makocha wote. Kabla ya kuja Arsenal alikuwa Chelsea’s best player of the season.

Jana huku akitokea bench baada ya kuwa kwenye international role ambapo alicheza kama LB, he scored the only goal to give Arsenal a deserved win which we desparately needed to go on top of the premier league table following a 1-1 draw in an earlier contest between City and Liverpool.

Kwamba hawa tactician wawili (Arteta na Nagelsman) hawajui wakifanyacho kuliko some fans wanaopiga kelele kuhusu Kai?
I DON’T KNOW!!
Kenge na nyumbu ndio wanasambaza chuki kwa Kai

Kai nimchezaji hatari, ukiangalia movements zake utakubaliana na mimi
 
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Aaron Ramsdale

Confidence yake imeshuka, amekaa sana bench na pressure ni kubwa pia kwake.

Tumeona errors mbili tatu jana, ila siwezi kumlaumu sana japo anahitaji confidence ili arudi kwenye ubora wake au zaidi.

Swali ni je, atapata nafasi ya kurudisha confidence yake!?
 
Partye tumemisi Sana huduma yake pale Kati

Kuna Fluidity tunaikosa , mwamba huwa anapiga pass kila sekunde halafu zote za mbele ,

Kule mbele ukipewa mpira ukakosea utapewa Tena na Tena .

Naomba awepo fit 2nd round ,na UCL

Imagine una

RICE PARTEY ØDE

Halafu kule nyuma ana wale mamonster

Ukipigwa goli halirudi Tena

Nimemkumbuka Sana Partey ,

Ukiniuliza kiburi Cha kufika mbali UCL nakitoa wapi Ni hiyo Midfield trio plus wale mamonster kule nyuma .


Kwenye scouting Arsenal wanamuona Douglas Luiz ndiye chaguo sahihi wa kumrith Partey ,

Douglas Luiz ndiye muhimili pale Astonvilla

Arteta anamfahamu sababu wamekuwa nae mancity , ameanza kumuhitaji muda mrefu Kama ilivyokuwa kwa David Raya


Leo nimemkumbuka Sana Partey,


Mechi vs City aliingia wakacheza na Rice, Ødegaard ndani ya dakika 10 tu tuliona burudani.
20231017_145956.jpg
 
Douglas Luiz alishindwa kucheza mancity kwakukosa kibali

Edu ndiye alimshughulikia baadae akapata kibali akaenda Astonvilla

Kipindi hicho Edu akiwa mkurugenzi wa michezo wa timu ya Taifa ya Brazili

Mikel Arteta akiwa kocha msaidizi mancity

Kwa pamoja wameamua kuingia mazima kuhakikisha wanamleta Emirates
 
Partye tumemisi Sana huduma yake pale Kati

Kuna Fluidity tunaikosa , mwamba huwa anapiga pass kila sekunde halafu zote za mbele ,

Kule mbele ukipewa mpira ukakosea utapewa Tena na Tena .

Naomba awepo fit 2nd round ,na UCL

Imagine una

RICE PARTEY ØDE

Halafu kule nyuma ana wale mamonster

Ukipigwa goli halirudi Tena

Nimemkumbuka Sana Partey ,

Ukiniuliza kiburi Cha kufika mbali UCL nakitoa wapi Ni hiyo Midfield trio plus wale mamonster kule nyuma .


Kwenye scouting Arsenal wanamuona Douglas Luiz ndiye chaguo sahihi wa kumrith Partey ,

Douglas Luiz ndiye muhimili pale Astonvilla

Arteta anamfahamu sababu wamekuwa nae mancity , ameanza kumuhitaji muda mrefu Kama ilivyokuwa kwa David Raya


Leo nimemkumbuka Sana Partey,


Mechi vs City aliingia wakacheza na Rice, Ødegaard ndani ya dakika 10 tu tuliona burudani.View attachment 2825580
Partey ni mtu Sana, sema ndio hivyo majerui ya kujirudia
Mbaya zaidi anarudi tena January mwishoni

Tuingie sokoni tu, rice Kuna siku atakata moto
 
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Aaron Ramsdale

Confidence yake imeshuka, amekaa sana bench na pressure ni kubwa pia kwake.

Tumeona errors mbili tatu jana, ila siwezi kumlaumu sana japo anahitaji confidence ili arudi kwenye ubora wake au zaidi.

Swali ni je, atapata nafasi ya kurudisha confidence yake!?
So long as Raya yuko fit, hawezi pata iyo nafasi
 
Good times are back at Emirates..
Thanks to tajiri Kroenke and mighty Arteta...
C O Y G
 
Back
Top Bottom