verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,126
- 6,179
Kama mnaweza tushusheni kuku wenye kideri nyieNyie losers tushukuruni sana.
Bila sisi hapo juu mngepasikia
Kama mnaweza tushusheni kuku wenye kideri nyieNyie losers tushukuruni sana.
Bila sisi hapo juu mngepasikia
Martinelli kacheza mechi za kimataifa zote mbili ,imeisha ile mechi na Argentina alhamis asubuhi wakakwea ndege kurudi LondonLeo wametukuta na hangover ya international break, ila hivyo hivyo tumeondoka na point 3 kibabe.
Saka walikua wanam-double, Martinelli hali kadhalika. Arteta akaona Martinelli leo yuko predictable sana, akamtoa. Trossard, mzee wa tight space akatanua uwanja, pira likaanza kumwagika.. Jiooni wazungu haoo!
Douglas Luiz €70m
Toney kwa mkopoMkorea umetisha

Partey inaonekana ananjunjana sana na wife wake....pancha zimekuwa nyingi sana sasahv....watuletee mtu kazi mwingine....yy auzwe tu kwakwli...tukibaki naye atazidi kutu cost tu...tukimpata kwli na Toney January watupe tu kombe letu maana sasahv ugonjwa ni kufunga tu ila kuzuia tunajua sana...tutacheza hata dk 700 na hupati chances zaidi ya 2 dhidi yetuZinny wameimarika Sana kwenye ukabaji
Arteta kaijenga Timu kiulinzi zaidi ya mwaka Jana ,
Mancity ndani ya dakika 180 alipata On target 1 au 2
Tunaenda UCL round 16, tukikutangulia goli 1 hesabu maumivu
Hadi Sasa tumefungwa goli 3 tu away
Goli 2 vs Chelsea ikiwepo penalty na Kross ya Mudrky
Goli jingine vs Newcastle msaada wa VAR
Kwenye attacking tumepungua ukilinganisha na last season
Jumla tumefungwa goli 10 , ukichambua utakuta goli tulizofungwa kwa makosa ya system hayazidi matano.
Mabeki wote warefu ,jumlisha na Rice
Ambangile aliwahi niambia anaogopa Sana kama Partey atakuwa fiti ,ikacheza combination ya Rice Partey Ødegaard jumlisha na mabeki warefu kule nyuma .
View attachment 2825327
Husikii wakitaja bei yake🔴⚪️Declan Rice's game by numbers vs. Brentford:
83 touches
5 final third entries
4x possession won
3/4 duels won
2 clearances
2 interceptions
2 fouls won
1 chance created
0 fouls committed
And one HUGE clearance off the line. 💪
Arsenal🔴
View attachment 2825408
Ile Bei westham wametufanyia fair mnoHusikii wakitaja bei yake
Moja Kati ya wachezaji wa kuuzwa iwe January au summer ni huyuGabriel Jesus akiwa na mpira hapa, anaona kila kitu.
Anaona goli, anaona sehemu za kutoa pasi, anaona 1v1 ila Eddie ataona kushoot tu na chochote nje ya hapo ni kubahatisha.
4 vs 2 si inabidi liwe goli?
View attachment 2825409
Niliona hatari kukaribisha mashambulizi kisha uzuie, nilitaka tuendelee kumiliki mpira na kushambulia kwa kawaida sio kuforce mipira kwenda mbele ikapotee.Tungefunguka tungeambulia point 1. Arteta alipaswa kuua game. Hata Pep hufanya hivyo.
Niliona hatari kukaribisha mashambulizi kisha uzuie, nilitaka tuendelee kumiliki mpira na kushambulia kwa kawaida sio kuforce mipira kwenda mbele ikapoteeTungefunguka tungeambulia point 1. Arteta alipaswa kuua game. Hata Pep hufanya hivyo.
Yeah na ikawa.City 1-1 Liverpool. Fursa kwetu washika bunduki kukaa kileleni sasa😀
Huyu ni kiazi, trust me kwenye nafasi hiyo kaka mie naweza kufanya jambo bora zaidi ya alichofanya huyu mpumbavu.Gabriel Jesus akiwa na mpira hapa, anaona kila kitu.
Anaona goli, anaona sehemu za kutoa pasi, anaona 1v1 ila Eddie ataona kushoot tu na chochote nje ya hapo ni kubahatisha.
4 vs 2 si inabidi liwe goli?
View attachment 2825409