Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie losers tushukuruni sana.

Bila sisi hapo juu mngepasikia
Kama mnaweza tushusheni kuku wenye kideri nyie
20231125_232617.jpg
 
Tumepata points 3, tupo on top ila baeo ugonjwa wa kushindwa kupress advantage haujatuacha.

Hua natamani inapotokea kwamba game inayohitaji tushinde basi mpaka first half tuna goli 2.

Ikatokea tuna game tunatakiwa kushinda goli nyingi basi timu icheze ikionyesha inajua hilo. Badala yake magoli mengi hua tunashinda mechi za kufunga msimu ambazo hazina maana.

Wapinzani wetu mechi za msingi utakuta mpaka dakika ya 60 anaongoza goli 3/ 4. Tukifikia uwezo wa kuona game muhimu na kudeliver kinachohitajika ni bahati mbaya tu ndiyo itatuzuia.
 
Zinny wameimarika Sana kwenye ukabaji

Arteta kaijenga Timu kiulinzi zaidi ya mwaka Jana ,

Mancity ndani ya dakika 180 alipata On target 1 au 2

Tunaenda UCL round 16, tukikutangulia goli 1 hesabu maumivu

Hadi Sasa tumefungwa goli 3 tu away

Goli 2 vs Chelsea ikiwepo penalty na Kross ya Mudrky

Goli jingine vs Newcastle msaada wa VAR

Kwenye attacking tumepungua ukilinganisha na last season

Jumla tumefungwa goli 10 , ukichambua utakuta goli tulizofungwa kwa makosa ya system hayazidi matano.


Mabeki wote warefu ,jumlisha na Rice

Ambangile aliwahi niambia anaogopa Sana kama Partey atakuwa fiti ,ikacheza combination ya Rice Partey Ødegaard jumlisha na mabeki warefu kule nyuma .

20231126_072726.jpg
 
Leo wametukuta na hangover ya international break, ila hivyo hivyo tumeondoka na point 3 kibabe.

Saka walikua wanam-double, Martinelli hali kadhalika. Arteta akaona Martinelli leo yuko predictable sana, akamtoa. Trossard, mzee wa tight space akatanua uwanja, pira likaanza kumwagika.. Jiooni wazungu haoo!
Martinelli kacheza mechi za kimataifa zote mbili ,imeisha ile mechi na Argentina alhamis asubuhi wakakwea ndege kurudi London

Alikuwa amechoka na Brentford yanakaba Kama yote
 
Tukimpata Douglas Luiz, January Basi Partey atasepa

Naona kabisa tukifanya tena biashara na Brentford ya Mali kauli kwa Ivan Toney

Kitendo Cha Arsenal kukubali kulipa €30m kwa David Raya ,tukiwaomba watupe Toney kwa makubaliano ya kumnunua Summer moja kwa moja kwa €60m watakubali

Yule kocha wa Brentford Ni mwanetu ,ukisikiliza press zake unagundua hilo

Douglas Luiz €70m
Toney kwa mkopo
 
Kenge kabla Joelinton hajaschoot ndiyo anakokota mpira mtangazaji anasema "This shouldn't get worse and it does get worse . . ."

Goli la nne linaingia anasema "This is too easy, way too easy"
 
🗣️| Kai Havertz: “It was a brilliant goal and brilliant pass as well. I think we train this way as a team a lot, Bukayo Saka and Martin Ødegaard love to play those balls."

Ukiangalia kwenye hii video utaona Rice baada ya kumpa pasi Ødegaard, akaangalia upande wa pili na kuona namba imetimia kisha akawapa alert Ødegaard na Saka ya ku cross and Saka did it.

That's what we call a teamwork!
 
Zinny wameimarika Sana kwenye ukabaji

Arteta kaijenga Timu kiulinzi zaidi ya mwaka Jana ,

Mancity ndani ya dakika 180 alipata On target 1 au 2

Tunaenda UCL round 16, tukikutangulia goli 1 hesabu maumivu

Hadi Sasa tumefungwa goli 3 tu away

Goli 2 vs Chelsea ikiwepo penalty na Kross ya Mudrky

Goli jingine vs Newcastle msaada wa VAR

Kwenye attacking tumepungua ukilinganisha na last season

Jumla tumefungwa goli 10 , ukichambua utakuta goli tulizofungwa kwa makosa ya system hayazidi matano.


Mabeki wote warefu ,jumlisha na Rice

Ambangile aliwahi niambia anaogopa Sana kama Partey atakuwa fiti ,ikacheza combination ya Rice Partey Ødegaard jumlisha na mabeki warefu kule nyuma .

View attachment 2825327
Partey inaonekana ananjunjana sana na wife wake....pancha zimekuwa nyingi sana sasahv....watuletee mtu kazi mwingine....yy auzwe tu kwakwli...tukibaki naye atazidi kutu cost tu...tukimpata kwli na Toney January watupe tu kombe letu maana sasahv ugonjwa ni kufunga tu ila kuzuia tunajua sana...tutacheza hata dk 700 na hupati chances zaidi ya 2 dhidi yetu
 
🔴⚪️Declan Rice's game by numbers vs. Brentford:

83 touches
5 final third entries
4x possession won
3/4 duels won
2 clearances
2 interceptions
2 fouls won
1 chance created
0 fouls committed

And one HUGE clearance off the line. 💪

Arsenal🔴
IMG-20231126-WA0004.jpg
 
Tungefunguka tungeambulia point 1. Arteta alipaswa kuua game. Hata Pep hufanya hivyo.
Niliona hatari kukaribisha mashambulizi kisha uzuie, nilitaka tuendelee kumiliki mpira na kushambulia kwa kawaida sio kuforce mipira kwenda mbele ikapotee
 
Gabriel Jesus akiwa na mpira hapa, anaona kila kitu.

Anaona goli, anaona sehemu za kutoa pasi, anaona 1v1 ila Eddie ataona kushoot tu na chochote nje ya hapo ni kubahatisha.

4 vs 2 si inabidi liwe goli?
View attachment 2825409
Huyu ni kiazi, trust me kwenye nafasi hiyo kaka mie naweza kufanya jambo bora zaidi ya alichofanya huyu mpumbavu.
 
Back
Top Bottom