Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bado hatujaanza ligi rasmi, ligi tunaanza January

Kwa sasa tunafanya warm up tu
20231125_223552.jpg
 
Brentford wana defend na watu 8 karibu karibu, wakikupiga goli umeisha

Uzuri Arsenal tuna watu kule nyuma wote futi 6+ kasoro Zinny tu

Hakuna kazi ngumu kufungua defence ya low block ya watu 8 waliokaa karibu
Leo wametukuta na hangover ya international break, ila hivyo hivyo tumeondoka na point 3 kibabe.

Saka walikua wanam-double, Martinelli hali kadhalika. Arteta akaona Martinelli leo yuko predictable sana, akamtoa. Trossard, mzee wa tight space akatanua uwanja, pira likaanza kumwagika.. Jiooni wazungu haoo!
 
Back
Top Bottom