Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bado hatujaanza ligi rasmi, ligi tunaanza January

Kwa sasa tunafanya warm up tu
20231125_223552.jpg
 
Brentford wana defend na watu 8 karibu karibu, wakikupiga goli umeisha

Uzuri Arsenal tuna watu kule nyuma wote futi 6+ kasoro Zinny tu

Hakuna kazi ngumu kufungua defence ya low block ya watu 8 waliokaa karibu
Leo wametukuta na hangover ya international break, ila hivyo hivyo tumeondoka na point 3 kibabe.

Saka walikua wanam-double, Martinelli hali kadhalika. Arteta akaona Martinelli leo yuko predictable sana, akamtoa. Trossard, mzee wa tight space akatanua uwanja, pira likaanza kumwagika.. Jiooni wazungu haoo!
 
Tumepata points 3, tupo on top ila baeo ugonjwa wa kushindwa kupress advantage haujatuacha.

Hua natamani inapotokea kwamba game inayohitaji tushinde basi mpaka first half tuna goli 2.

Ikatokea tuna game tunatakiwa kushinda goli nyingi basi timu icheze ikionyesha inajua hilo. Badala yake magoli mengi hua tunashinda mechi za kufunga msimu ambazo hazina maana.

Wapinzani wetu mechi za msingi utakuta mpaka dakika ya 60 anaongoza goli 3/ 4. Tukifikia uwezo wa kuona game muhimu na kudeliver kinachohitajika ni bahati mbaya tu ndiyo itatuzuia.
 
Back
Top Bottom