Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Kituo kinachofuata ni Emirates dhidi ya wolves
Ukikasirika uwe na sababu
Pia jamaa ana hold mpira vizuri sana, kama leo sijaona sehemu aliyonyang'anywa mpira kama ipo mnikumbushe.Rice ana footwork nzuri sana, akifanyia mazoezi eneo la kushoot atazidi kuwa bora.
Leo wametukuta na hangover ya international break, ila hivyo hivyo tumeondoka na point 3 kibabe.Brentford wana defend na watu 8 karibu karibu, wakikupiga goli umeisha
Uzuri Arsenal tuna watu kule nyuma wote futi 6+ kasoro Zinny tu
Hakuna kazi ngumu kufungua defence ya low block ya watu 8 waliokaa karibu
ChuraHii game akishinda Arsenal,basi uchawi upo kwenye soka.
Kwa kweli sioni timu ya kunyanyua kwapa mwisho wa msimu huu labda man utd,city na liverpool washushe daraja.
Mkorea umetishaSo far, no need of sub at the moment
Hadi Dakika ya 70 nyama ikiwa ngumu Kai inabidi ainuke aje kuokoa jahazi
Subiri uchambizi kutoka kwa chambuzi nguli Hamisi77Kiraka kai kawaokoa.
Leo mmemchezesha nafasi gani ?
Kausha banaVipi hapa hawajatuibia kweli?View attachment 2825222