
Rasmi David Raya Sasa ni mwanafamilia wa Arsenal,amesaini mkataba mrefu

Arsenal imewajulisha Brentford kuwa mwakani 2024 wata trigger kipengere Cha buy option Cha €30m(£27m)

Brentford walikubali ili Arsenal iwe kwenye mazingira mazuri ya FFP.

Habari nyingine ,Bodi ya Arsenal na Benchi la ufundi kwa pamoja wamekubaliana Douglas Luiz ndiye chaguo la kwanza January, Astonivilla Wanaweka ngumu, Lakini Arsenal watapush deal hilo, Kipaumbele Cha kwanza Ni eneo la Kiungo .

Ivan Toney anapendelea Zaid kujiunga na Arsenal kuliko Chelsea ,kikwazo Cha Arsenal Ni FFP labda dili la mkopo.

Kutokana na mahusihano mazuri ya Arsenal na Brentford,ambapo Arsenal wamekuwa waaminifu na kuwajulisha Jana kuwa wata trigger kipengere Cha kumnunua David Raya moja kwa moja , Wachambuzi wa soka wanaonelea Arsenal inaweza kufanya biashara tena na Brentford ya mkopo kwa Ivan Toney na kiasi kingine Cha Fedha kitumike kununua kiungo .
View attachment 2823323