Usisahau ile UEFA Cup Winners Cup yetuWenye mafanikio huwa hawapigi kelele, Ila wale wenye nacho kidogo ndio huwa wanapenda kitambulika kwamba wanacho. Mfano mzuri ni Arsenal wanajiita ni timu kubwa na Mashabiki wake ni wapiga kelele mno lakini timu yao tangu ianzishwe haina UEFA wala EUROPA na Mara yao ya mwisho kubeba EPL ilikuwa 2003/04.
Kwahiyo tuliwauzia mchezaji kiraka au sio ?Tukiwa bado tunavutana Kai anafaa kucheza nafasi ipi jana Kai kachezeshwa kama beki wa kushoto dhidi ya Uturuki.
Na akascore.
Frida Maanum kamaliza kazi. Imeisha 3-0.Tiimu yetu ya wanawake inaongoza goli moja dhidi ya brighton na tuko nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi
uyu dada namkubali sana .. kwa wacheza fifa ukitumia arsenal wanawake kuna namna Stewart Robinson anamtaja inakosha sanaFrida Maanum kamaliza kazi. Imeisha 3-0.
can't wait kuona his full potentialAccording to club and club doctor’s Jurrien Timber is expected to be back on the 20th January 2024 next year when we face Crystal Palace at home
![]()
Come back strong JurrienView attachment 2819004
Kai German Tomiyasu 😂Kwahiyo tuliwauzia mchezaji kiraka au sio ?
Wanafata wao na Chelsea
Financial advisor
Chelsea and Man City look set to face RELEGATION from the Premier League after Everton's 10-point deduction if they are found guilty of breaking FFP rules
Everton kukatwa point wanasema wameanza nae ili wafatie Chelsea na mancity ambao adhabu zao Ni kwenda championship

nakumbuka wakat Sanction ya Roman waliwahi hadi sema hatutouza Ticket za UEFA, Usisahau pia mngekua mshawatukana VAR.Hizi international breaks mda mwingine miyeyusho tu, sahivi tungekua tunazicheka nyumbu ama kenge na kuzipa pole kwa vipigo
View attachment 2820579