Smith Rowe?Timber ndio bado majerui
Update kuhusu partey still unknown
The rest are fit and strong enough kutembeza FIMBO
Huyu nae still unknownSmith Rowe?
Mikel Arteta is now willing to let Thomas Partey leave the club in January.It means kwamba Douglas Luiz ndo watalazimisha kumnunua au...navyojua itakuwa ngumu...Mr Goodebening tulivyomtoa mkuku klabuni kwetu lazima aweke plug kwny hlo Dili....labda mapesa yawe mengi kwlikwliMikel Arteta is now willing to let Thomas Partey leave the club in January.
Juventus are keen, however the interest from Saudi Arabia appears more attractive for Arsenal who don’t want to let the midfielder leave on the cheap.
The Arsenal boss also wants a replacement in before Partey is sold.
View attachment 2822304
Waliokua wanazungumziwa:It means kwamba Douglas Luiz ndo watalazimisha kumnunua au...navyojua itakuwa ngumu...Mr Goodebening tulivyomtoa mkuku klabuni kwetu lazima aweke plug kwny hlo Dili....labda mapesa yawe mengi kwlikwli



Fofana mtu sana. Ila wangemuacha TP na pancha zake tumalizie nae msimu.Waliokua wanazungumziwa:
Douglas Luiz, Zubimendi, Fofana, Neves
Partey akitoka Basi Kuna mtu lazima aje
Binafsi ningependa Zubimendi atue![]()
Means tuna-bet Sasa, Tena zile options ngumu ngumu. Wanaziita ngumu kumezaFofana mtu sana. Ila wangemuacha TP na pancha zake tumalizie nae msimu.

Kama hela nzuri auzwe tu...anawategea sana wenzake...ametu cost tyri....sisi sio wa kusumbuliwa na Chelkenge siku ile Wala kusumbuliwa na Nyukesto...hya yte ni mapengo ya kutokuwepo kwakeMeans tuna-bet Sasa, Tena zile options ngumu ngumu. Wanaziita ngumu kumeza
Napenda abaki lakini Soma Tena hapo juu
Au partey apunguziwe games na asifanye Sana mazoezi, Kama majerui haya ya Sasa ameyapata mazoezini
Upo sahihi 100%Kama hela nzuri auzwe tu...anawategea sana wenzake...ametu cost tyri....sisi sio wa kusumbuliwa na Chelkenge siku ile Wala kusumbuliwa na Nyukesto...hya yte ni mapengo ya kutokuwepo kwake
Hao watakaokuja hatuna uhakika 100% kuwa watafanya vyema kama yeye, ndo umuhimu wa yeye kuwepo na pancha zake angalau tuwe na lile tumaini japo kidogo.Upo sahihi 100%
Game na spurs joginho katuua, kwa reckless turn. Sababu partey hayupo
Kenge walipata ujasiri wa battle pale midfield. Kisa partey hayupo
Sawa mzeeHao watakaokuja hatuna uhakika 100% kuwa watafanya vyema kama yeye, ndo umuhimu wa yeye kuwepo na pancha zake angalau tuwe na lile tumaini japo kidogo.


Quality ya kwanza ya mchezaji muhimu kwny kikosi ni availability yake...ukiwa available mara kwa mara utapata game time ya kutosha na kuna asilimia kubwa utatoa Kila ambacho kinatarajiwa kwa sababu unapata uzoefu ukiwa unacheza mara kwa mara.....Sasa Partey ni mchezaji muhimu ila anatu cost kwa pancha zake....mifano ya mechi alizo tucost nimeitoa....unakaa kujiuliza ikitokea siku Rice naye kaumia si ndo mnarudi hatua 10 nyuma....aende aje mwingine atakayekuwa injury free....Partey majeruhi yake is too much aiseeHao watakaokuja hatuna uhakika 100% kuwa watafanya vyema kama yeye, ndo umuhimu wa yeye kuwepo na pancha zake angalau tuwe na lile tumaini japo kidogo.
Mnapgwa hapa, Pazia hili.🚨 BREAKING NEWS:
Arsenal have decided to keep David Raya permanently. The £27m option-to-buy WILL be triggered in 2024. 🇪🇸
Raya has already signed a potential long-term deal. ✍️
Reports, FabrizioRomano.
Arsenal🔴View attachment 2822599