Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji991]Martin Ødegaard has returned to training for Arsenal today.
IMG-20231122-WA0003.jpg
 
[emoji599]Mikel Arteta is now willing to let Thomas Partey leave the club in January.

Juventus are keen, however the interest from Saudi Arabia appears more attractive for Arsenal who don’t want to let the midfielder leave on the cheap.

The Arsenal boss also wants a replacement in before Partey is sold.

IMG-20231123-WA0000.jpg
 
[emoji599]Mikel Arteta is now willing to let Thomas Partey leave the club in January.

Juventus are keen, however the interest from Saudi Arabia appears more attractive for Arsenal who don’t want to let the midfielder leave on the cheap.

The Arsenal boss also wants a replacement in before Partey is sold.

View attachment 2822304
It means kwamba Douglas Luiz ndo watalazimisha kumnunua au...navyojua itakuwa ngumu...Mr Goodebening tulivyomtoa mkuku klabuni kwetu lazima aweke plug kwny hlo Dili....labda mapesa yawe mengi kwlikwli
 
It means kwamba Douglas Luiz ndo watalazimisha kumnunua au...navyojua itakuwa ngumu...Mr Goodebening tulivyomtoa mkuku klabuni kwetu lazima aweke plug kwny hlo Dili....labda mapesa yawe mengi kwlikwli
Waliokua wanazungumziwa:
Douglas Luiz, Zubimendi, Fofana, Neves

Partey akitoka Basi Kuna mtu lazima aje


Binafsi ningependa Zubimendi atue[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Fofana mtu sana. Ila wangemuacha TP na pancha zake tumalizie nae msimu.
Means tuna-bet Sasa, Tena zile options ngumu ngumu. Wanaziita ngumu kumeza

Napenda abaki lakini Soma Tena hapo juu[emoji115]

Au partey apunguziwe games na asifanye Sana mazoezi, Kama majerui haya ya Sasa ameyapata mazoezini
 
Means tuna-bet Sasa, Tena zile options ngumu ngumu. Wanaziita ngumu kumeza

Napenda abaki lakini Soma Tena hapo juu[emoji115]

Au partey apunguziwe games na asifanye Sana mazoezi, Kama majerui haya ya Sasa ameyapata mazoezini
Kama hela nzuri auzwe tu...anawategea sana wenzake...ametu cost tyri....sisi sio wa kusumbuliwa na Chelkenge siku ile Wala kusumbuliwa na Nyukesto...hya yte ni mapengo ya kutokuwepo kwake
 
Kama hela nzuri auzwe tu...anawategea sana wenzake...ametu cost tyri....sisi sio wa kusumbuliwa na Chelkenge siku ile Wala kusumbuliwa na Nyukesto...hya yte ni mapengo ya kutokuwepo kwake
Upo sahihi 100%

Game na spurs joginho katuua, kwa reckless turn. Sababu partey hayupo

Kenge walipata ujasiri wa battle pale midfield. Kisa partey hayupo
 
Upo sahihi 100%

Game na spurs joginho katuua, kwa reckless turn. Sababu partey hayupo

Kenge walipata ujasiri wa battle pale midfield. Kisa partey hayupo
Hao watakaokuja hatuna uhakika 100% kuwa watafanya vyema kama yeye, ndo umuhimu wa yeye kuwepo na pancha zake angalau tuwe na lile tumaini japo kidogo.
 
Hao watakaokuja hatuna uhakika 100% kuwa watafanya vyema kama yeye, ndo umuhimu wa yeye kuwepo na pancha zake angalau tuwe na lile tumaini japo kidogo.
Quality ya kwanza ya mchezaji muhimu kwny kikosi ni availability yake...ukiwa available mara kwa mara utapata game time ya kutosha na kuna asilimia kubwa utatoa Kila ambacho kinatarajiwa kwa sababu unapata uzoefu ukiwa unacheza mara kwa mara.....Sasa Partey ni mchezaji muhimu ila anatu cost kwa pancha zake....mifano ya mechi alizo tucost nimeitoa....unakaa kujiuliza ikitokea siku Rice naye kaumia si ndo mnarudi hatua 10 nyuma....aende aje mwingine atakayekuwa injury free....Partey majeruhi yake is too much aisee
 
[emoji599] BREAKING NEWS:

Arsenal have decided to keep David Raya permanently. The £27m option-to-buy WILL be triggered in 2024. [emoji633]

Raya has already signed a potential long-term deal. [emoji3578]

Reports, FabrizioRomano.

Arsenal[emoji837]View attachment 2822599
Safi

Raya kwa £27m
Rambo tunaenda kum-push kwa £60m Kule unyumbuni
 
[emoji837][emoji836]️Bukayo Saka sasa anashika nafasi ya tatu kwa thamani ya uhamisho wa wachezaji katika soka duniani, kulingana na CIES Football.

Winga wa Arsenal yuko nyuma ya Vinicius Junior pekee wa Real Madrid na Erling Haaland wa @Manchester_City.

Hisa za Bukayo zinaendelea kupanda...[emoji409][emoji383]

Arsenal[emoji837]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom