Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Hawa false hopes unajua wanachekesha sana yaani fun fact ni kwamba arsenal last year tu ndo kaingia top 4.
Technically arsenal sio top 4 team kutokana na ukiangalia recently ndani ya seasons 7 kaingia top 4 mara 1 tu .
Ndani ya hio season 7 hali ilikua hivi
1: season 2016/ 2017 - nafasi ya 5
2: season 2017/2018- nafasi ya 6
3: season 2018/2019- nafasi ya 5
4: season 2019/2020 - nafasi ya 8
5: season 2020/2021- nafasi ya 8
6: season 2021/2022- nafasi ya 5
Sasa utakuta false hopers humu wanabeza chelsea, Tottenham na Newcastle hasa hasa totte wakiwa pale top 4 kama kipindi hiki utasikia huyo Tottenham au Newcastle watarudi walipotokea utadhani Arsenal ndani ya top 4 kwa misimu 7 recently alikuepo hapo , yaani kuingia last season tu wamejipa hati miliki ya top 4

Technically arsenal sio top 4 team kutokana na ukiangalia recently ndani ya seasons 7 kaingia top 4 mara 1 tu .
Ndani ya hio season 7 hali ilikua hivi

1: season 2016/ 2017 - nafasi ya 5
2: season 2017/2018- nafasi ya 6
3: season 2018/2019- nafasi ya 5
4: season 2019/2020 - nafasi ya 8
5: season 2020/2021- nafasi ya 8
6: season 2021/2022- nafasi ya 5
Sasa utakuta false hopers humu wanabeza chelsea, Tottenham na Newcastle hasa hasa totte wakiwa pale top 4 kama kipindi hiki utasikia huyo Tottenham au Newcastle watarudi walipotokea utadhani Arsenal ndani ya top 4 kwa misimu 7 recently alikuepo hapo , yaani kuingia last season tu wamejipa hati miliki ya top 4



