Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

EXCLUSIVE

Everton kakatwa points 10

Wanafata wale wenye vidomo Domo

Wanapoint 15 watakatwa points 12
20231117_153606.jpg
 
Goli lilivyofungwa ndo maana halisi ya hii comment yako, uliona kitakachokwenda kutokea na ndo kilitokea kwa aslimia 100.

Mkorea kwenye 1 na 2
Mkuu naona ulinielewa vizuri mno

Martinel alivyokua anakuja na mpira akitokea pembeni sehemu ya vini, vini alikua position ya martinel pale Kati
Move ya goal nimeiangalia imechezwa na hao watu wawili
 
Wanafata wao na Chelsea

Financial advisor

Chelsea and Man City look set to face RELEGATION from the Premier League after Everton's 10-point deduction if they are found guilty of breaking FFP rules



Everton kukatwa point wanasema wameanza nae ili wafatie Chelsea na mancity ambao adhabu zao Ni kwenda championship
 
Kuna Kenge moja iliambiwa na Will Jr kuhusu Roman alivyohonga pesa kwa wakala ili hazard asiende Arsenal aliyokuwa ameichagua ikawa inaropoka,

Kuna madudu mengi

Week hii kumekuwa na shinikizo baada ya ushahidi mwingi kupatikana


Chelsea wanaweza kumkata point 12 au kushushwa daraja

Mancity anashushwa daraja
 
Huu msimu tuna timu ya kuchukua makombe yote mawili EPL & UCL tukiwa injury free na tuki reinforce sajili za January. Naliona kombe moja hivi ila mawili yanawezekana, fainali flani UCL ambayo tunampiga City kiroho mbaya itakuwa unyama sana bamdogo.
 
Wanafata wao na Chelsea

Financial advisor

Chelsea and Man City look set to face RELEGATION from the Premier League after Everton's 10-point deduction if they are found guilty of breaking FFP rules



Everton kukatwa point wanasema wameanza nae ili wafatie Chelsea na mancity ambao adhabu zao Ni kwenda championship
Hii ni serious?
 
Hii ni serious?
Yah ,Chelsea anaweza kuponea kukatwa point , mancity anashushwa madaraja ya chini


Moja ya Statement ya Everton waliyotoa jioni hii wanasema

Klabu pia itafuatilia kwa hamu kubwa maamuzi yaliyotolewa katika kesi nyingine zinazohusu Kanuni za Faida na Uendelevu za Ligi Kuu"
 
Back
Top Bottom