Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nitakuja kudai hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Utashushia na cake
I am a professional baker..

Japo vyote najua hutovipata maana zile dakika mbili ambazo Ramsdale anapandwa na wazimu,hamtoboi😂😂
 

Attachments

  • IMG_20230317_133330.jpg
    IMG_20230317_133330.jpg
    59.8 KB · Views: 15
Utashushia na cake
I am a professional baker..

Japo vyote najua hutovipata maana zile dakika mbili ambazo Ramsdale anapandwa na wazimu,hamtoboi[emoji23][emoji23]
Mama mbona Rambo umemuandama Sana leo? Onana la unyumbuni haulioni?

Angekua mchezaji wa bongo, ningesema huu ungomvi wa wanaoitana x[emoji1][emoji1]
 
Mama mbona Rambo umemuandama Sana leo? Onana la unyumbuni haulioni?

Angekua mchezaji wa bongo, ningesema huu ungomvi wa wanaoitana x[emoji1][emoji1]
Siyo mimi🤣
Ni Hamis aliweka hapa maneno ya Golikipa wenu

Kama huna habari ni kwamba Alisema mkimlazimisha aconcentrante dakika zote 90 uwanjani mtakuwa mmemaliza..hawezi😂
Anasema huwa ana dakika 2 _3 za wazimu kupanda kichwani kwake🤣

Unadhani mtatoboa hapo?🤣🤣🤣🤣
 
Siyo mimi[emoji1787]
Ni Hamis aliweka hapa maneno ya Golikipa wenu

Kama huna habari ni kwamba Alisema mkimlazimisha aconcentrante dakika zote 90 uwanjani mtakuwa mmemaliza..hawezi[emoji23]
Anasema huwa ana dakika 2 _3 za wazimu kupanda kichwani kwake[emoji1787]

Unadhani mtatoboa hapo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Technical analysis hamis77 , namuamini, yupo vizuri Sana. Kama ameongea hivyo kuhusu Rambo means hakua na mihemko

Ila kutoboa tuna toboa vizuri tu, Raya takin over
Fanya orange[emoji41]
 
Technical analysis hamis77 , namuamini, yupo vizuri Sana. Kama ameongea hivyo kuhusu Rambo means hakua na mihemko

Ila kutoboa tuna toboa vizuri tu, Raya takin over
Fanya orange[emoji41]
Hukuona?
Mmekwisha 😂

Kwa kukusaidia tu,
Ngoja nikuwekee

Aaron Ramsdale: "If you ask me to concentrate on a game of football for 90 minutes? I'm finished. I can't do it."

"That's why I get involved with the fans and I'll sing along with the songs. If someone is giving me abuse, i'll turn round and give them a bit back."

"I've had my 2-3 minutes of madness in my head and then straight back to the football.... I've got my 10/15 minutes of pure concentration again."

"Next thing you know, half time is around." (Budweiser)
 
Hukuona?
Mmekwisha [emoji23]

Kwa kukusaidia tu,
Ngoja nikuwekee

Aaron Ramsdale: "If you ask me to concentrate on a game of football for 90 minutes? I'm finished. I can't do it."

"That's why I get involved with the fans and I'll sing along with the songs. If someone is giving me abuse, i'll turn round and give them a bit back."

"I've had my 2-3 minutes of madness in my head and then straight back to the football.... I've got my 10/15 minutes of pure concentration again."

"Next thing you know, half time is around." (Budweiser)
Daah kumbe Rambo ndio zake hizi,

Yupo uwanjani yupo na majukwaani kujibu mashabiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo laini sana[emoji23]

Ama na wewe mwepesi kama mshkaji wenu Ramsdale anayekunywa Fanta Orange
Kukikucha saa 6 Nina appointment, siwez kupiga nzito nzito [emoji41]
siku ikifika ya arsenal NDOO ntaanza na fanta orange yangu kwanza alafu hiyo show itakayofata[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Kukikucha saa 6 Nina appointment, siwez kupiga nzito nzito [emoji41]
siku ikifika ya arsenal NDOO ntaanza na fanta orange yangu kwanza alafu hiyo show itakayofata[emoji91][emoji91][emoji91]
Rekebisha hapo
Arse8 kondoo
 
Wana magolikipa timamu

Ni arse8 tu ndio ana Golikipa anayepandwa na wazimu uwanjani[emoji23]
Achilia mbali wale nyumbu ambao kipa wao hana mikono[emoji1787]
Kipa wa unyumbuni ni Nini,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
flano na genge lake wakikusikia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wana magolikipa timamu

Ni arse8 tu ndio ana Golikipa anayepandwa na wazimu uwanjani[emoji23]
Achilia mbali wale nyumbu ambao kipa wao hana mikono[emoji1787]
Kipa wa arsenal tunaemtambua ni Raya ambae ata kiungo anacheza kwa kiwango kilekile
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom