SodaTubet, tukibeba NDOO unanipa Nini? Pesa sitaki
Nitakuja kudai hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Soda
Fanta Orange
Utashushia na cakeNitakuja kudai hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mama mbona Rambo umemuandama Sana leo? Onana la unyumbuni haulioni?Utashushia na cake
I am a professional baker..
Japo vyote najua hutovipata maana zile dakika mbili ambazo Ramsdale anapandwa na wazimu,hamtoboi[emoji23][emoji23]
Siyo mimi🤣Mama mbona Rambo umemuandama Sana leo? Onana la unyumbuni haulioni?
Angekua mchezaji wa bongo, ningesema huu ungomvi wa wanaoitana x[emoji1][emoji1]
Technical analysis hamis77 , namuamini, yupo vizuri Sana. Kama ameongea hivyo kuhusu Rambo means hakua na mihemkoSiyo mimi[emoji1787]
Ni Hamis aliweka hapa maneno ya Golikipa wenu
Kama huna habari ni kwamba Alisema mkimlazimisha aconcentrante dakika zote 90 uwanjani mtakuwa mmemaliza..hawezi[emoji23]
Anasema huwa ana dakika 2 _3 za wazimu kupanda kichwani kwake[emoji1787]
Unadhani mtatoboa hapo?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hukuona?Technical analysis hamis77 , namuamini, yupo vizuri Sana. Kama ameongea hivyo kuhusu Rambo means hakua na mihemko
Ila kutoboa tuna toboa vizuri tu, Raya takin over
Fanya orange[emoji41]
Una bia ipi na ipi😂Kama Kuna mdau yupo kitambaa cheupe ya sinza, check me out
Bills one me
Humo mkuuUna bia ipi na ipi[emoji23]
Daah kumbe Rambo ndio zake hizi,Hukuona?
Mmekwisha [emoji23]
Kwa kukusaidia tu,
Ngoja nikuwekee
Aaron Ramsdale: "If you ask me to concentrate on a game of football for 90 minutes? I'm finished. I can't do it."
"That's why I get involved with the fans and I'll sing along with the songs. If someone is giving me abuse, i'll turn round and give them a bit back."
"I've had my 2-3 minutes of madness in my head and then straight back to the football.... I've got my 10/15 minutes of pure concentration again."
"Next thing you know, half time is around." (Budweiser)
Hiyo laini sana😂
Na atawakomeshaDaah kumbe Rambo ndio zake hizi,
Yupo uwanjani yupo na majukwaani kujibu mashabiki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kukikucha saa 6 Nina appointment, siwez kupiga nzito nzito [emoji41]Hiyo laini sana[emoji23]
Ama na wewe mwepesi kama mshkaji wenu Ramsdale anayekunywa Fanta Orange
Kama sio January bas June anapigwa pesa Kule Kenge fcNa atawakomesha
Kama hawataki wakadake wao[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ramsdale mitano tena
Wana magolikipa timamuKama sio January bas June anapigwa pesa Kule Kenge fc
Rekebisha hapoKukikucha saa 6 Nina appointment, siwez kupiga nzito nzito [emoji41]
siku ikifika ya arsenal NDOO ntaanza na fanta orange yangu kwanza alafu hiyo show itakayofata[emoji91][emoji91][emoji91]
Kipa wa unyumbuni ni Nini,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wana magolikipa timamu
Ni arse8 tu ndio ana Golikipa anayepandwa na wazimu uwanjani[emoji23]
Achilia mbali wale nyumbu ambao kipa wao hana mikono[emoji1787]
Kipa wa arsenal tunaemtambua ni Raya ambae ata kiungo anacheza kwa kiwango kilekileWana magolikipa timamu
Ni arse8 tu ndio ana Golikipa anayepandwa na wazimu uwanjani[emoji23]
Achilia mbali wale nyumbu ambao kipa wao hana mikono[emoji1787]
Mkuu jaribu kuweka unafki pembeni, ebu tupe heshima yetu bhn[emoji1][emoji1][emoji1]Rekebisha hapo
Arse8 kondoo