Vichekesho kama hivi tunapga namba ngapi kupivipata.Tunachukua kati ya Uefa au epl, Kombe moja tuachieni, tunahitaji kombe la kuifanya timu iwe bora zaidi.
Vichekesho kama hivi tunapga namba ngapi kupivipata.Tunachukua kati ya Uefa au epl, Kombe moja tuachieni, tunahitaji kombe la kuifanya timu iwe bora zaidi.
Tubet, tukibeba NDOO unanipa Nini? Pesa sitakiNdio basi tena mshaharibu
Bahati huwa haiji mara mbili![]()
SodaTubet, tukibeba NDOO unanipa Nini? Pesa sitaki
Utashushia na cakeNitakuja kudai hii![]()
Mama mbona Rambo umemuandama Sana leo? Onana la unyumbuni haulioni?Utashushia na cake
I am a professional baker..
Japo vyote najua hutovipata maana zile dakika mbili ambazo Ramsdale anapandwa na wazimu,hamtoboi![]()


Siyo mimi🤣Mama mbona Rambo umemuandama Sana leo? Onana la unyumbuni haulioni?
Angekua mchezaji wa bongo, ningesema huu ungomvi wa wanaoitana x![]()
Technical analysis hamis77 , namuamini, yupo vizuri Sana. Kama ameongea hivyo kuhusu Rambo means hakua na mihemkoSiyo mimi
Ni Hamis aliweka hapa maneno ya Golikipa wenu
Kama huna habari ni kwamba Alisema mkimlazimisha aconcentrante dakika zote 90 uwanjani mtakuwa mmemaliza..hawezi
Anasema huwa ana dakika 2 _3 za wazimu kupanda kichwani kwake
Unadhani mtatoboa hapo?![]()

Hukuona?Technical analysis hamis77 , namuamini, yupo vizuri Sana. Kama ameongea hivyo kuhusu Rambo means hakua na mihemko
Ila kutoboa tuna toboa vizuri tu, Raya takin over
Fanya orange![]()
Una bia ipi na ipi😂Kama Kuna mdau yupo kitambaa cheupe ya sinza, check me out
Bills one me
Humo mkuuUna bia ipi na ipi![]()
Daah kumbe Rambo ndio zake hizi,Hukuona?
Mmekwisha
Kwa kukusaidia tu,
Ngoja nikuwekee
Aaron Ramsdale: "If you ask me to concentrate on a game of football for 90 minutes? I'm finished. I can't do it."
"That's why I get involved with the fans and I'll sing along with the songs. If someone is giving me abuse, i'll turn round and give them a bit back."
"I've had my 2-3 minutes of madness in my head and then straight back to the football.... I've got my 10/15 minutes of pure concentration again."
"Next thing you know, half time is around." (Budweiser)



Hiyo laini sana😂
Na atawakomeshaDaah kumbe Rambo ndio zake hizi,
Yupo uwanjani yupo na majukwaani kujibu mashabiki![]()
Kukikucha saa 6 Nina appointment, siwez kupiga nzito nzitoHiyo laini sana
Ama na wewe mwepesi kama mshkaji wenu Ramsdale anayekunywa Fanta Orange




Kama sio January bas June anapigwa pesa Kule Kenge fcNa atawakomesha
Kama hawataki wakadake wao
Ramsdale mitano tena
Wana magolikipa timamuKama sio January bas June anapigwa pesa Kule Kenge fc
Rekebisha hapoKukikucha saa 6 Nina appointment, siwez kupiga nzito nzito
siku ikifika ya arsenal NDOO ntaanza na fanta orange yangu kwanza alafu hiyo show itakayofata![]()
Kipa wa unyumbuni ni Nini,Wana magolikipa timamu
Ni arse8 tu ndio ana Golikipa anayepandwa na wazimu uwanjani
Achilia mbali wale nyumbu ambao kipa wao hana mikono![]()






