Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Kwaiyo wanahis anaweza asiwe na Injury alfu Arsenal waaimtumie maksudi ama?EXC
Gabriel Jesus amesafiri hadi Brazil kwa majukumu ya timu ya taifa.
Chini ya sheria za FIFA, nchi zina haki ya kutathmini wachezaji wenyewe - na Brazil imetumia kipengere hicho kufanya hivyo.
Ikumbukwe wiki kulikuwa na mvutano Kati ya Arsenal na chama cha soka Cha Brazil,Arsenal wakisisitiza Jesus ana injury ,Brazil wakisema wanaomba wahakikishe wenyewe .


