arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Rekebisha kufunga....sema mmefungana goli nne....halafu unachotambia hmu ndani ni nn wkti mmepata draw mechi zte kubwa Nyumbani kwenu...Liverpool, Arsenal, Man City...hzi jeuri zinatoka wapi🤠🤠🤠Nyie kondoo hivi mna uwezo hata wa kumfunga City goli nne kweli? Au mpo hapa kudanganyana kuwa mna timu y kubeba ubingwa.




