Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyie kondoo hivi mna uwezo hata wa kumfunga City goli nne kweli? Au mpo hapa kudanganyana kuwa mna timu y kubeba ubingwa.
Rekebisha kufunga....sema mmefungana goli nne....halafu unachotambia hmu ndani ni nn wkti mmepata draw mechi zte kubwa Nyumbani kwenu...Liverpool, Arsenal, Man City...hzi jeuri zinatoka wapi🤠🤠🤠
 
Rekebisha kufunga....sema mmefungana goli nne....halafu unachotambia hmu ndani ni nn wkti mmepata draw mechi zte kubwa Nyumbani kwenu...Liverpool, Arsenal, Man City...hzi jeuri zinatoka wapi🤠🤠🤠
Mi nachojua tumefunga goli nne ila tumedroo, ndio nauliza kumfunga goli nne man city nyie mnaweza? Au ndio story zenu za kuovalod na duel win. Kondoo nyie
 
Wazee wa lisupa kompyuta linasemaje huko, asenali atachukua kombe lolote msimu huu?

Masingeli tayari kashawaaminisha msimu huu wanachukua Uefa, tena kawathibitishia kabisa hakuna kombe rahisi kuchukua kama Uefa.
Ukimuuliza kama kuchukua Uefa ni rahisi hivyo kama unavyotuaminisha kwenye kabati la Arsenyau kuna makombe mangapi ya Uefa?
Anakuita wewe uliohoji hilo swali ni anti semitism
 
Bukayo Saka amehusika katika Magoli(G/A) dhidi ya kila timu iliyoshiriki EPL Kwa kipindi chote alichocheza 24/24.

Rekodi ambayo ni yeye pekee anaishikilia kwa sasa akiwa nyuma ya Harry Kane ambae anarekodi ya 100% dhidi ya 32/32.

Starboy

20231113_121631.jpg
 
Masingeli tayari kashawaaminisha msimu huu wanachukua Uefa, tena kawathibitishia kabisa hakuna kombe rahisi kuchukua kama Uefa.
Ukimuuliza kama kuchukua Uefa ni rahisi hivyo kama unavyotuaminisha kwenye kabati la Arsenyau kuna makombe mangapi ya Uefa?
Anakuita wewe uliohoji hilo swali ni anti semitism
Mtachukua manjesta ,huoni mnaongoza kundi lenu la UCL

Geuza msimamo mnaongoza kundi
20231112_090143.jpg
 
Big matches ambazo Chelsea wanajivunia wamecheza vizuri nyingi wamecheza nyumbani kwao, kuanzia Liverpool, Arsenal na City. Mechi ya Spurs ndo wameenda ugenini but at the end wakacheza na watu 8 uwanjani.

Of coarse tuwape sifa zao wamecheza vizuri ila kwa uchezaji wao ilitakiwa watoke na 3 points ukizingatia walikua na home advantage.. at the end wanaambulia 1 point.

Arsenal na sisi ni same scenario, kwa kucheza big matches nyingi nyumbani but tumefanikiwa kuchukua 3 points vs Man Utd na City, 1 point vs Spurs na ugenini tumepata 1 point vs Chelsea.

Swali je, Chelsea wataweza kucheza with the same intensity wakiwa ugenini against big teams?

City vs Chelsea
Arsenal vs Chelsea
Liverpool vs Chelsea

Hizi mechi zikipigwa 2nd round ndio zitatuambia walichokua wakijifunza kwa muda wote huo.
Mpaka leo Mkuu bado una mentality ya kuwa nyumbani na ugenini mbona mpira siku hizi hauna hiyo. Mtu anapigwa popote pale akikaa vibaya.

Nyumbani na Ugenini ilikuwa kipindi cha miaka ya 2000, Ferguson na Mourinho walivyojijengea ngome zao. Lakini Mourinho mwenyewe siku hizi hata akiwa nyumbani anapingwa tu
 
Timu yetu na ubovu wake , nimeanza kupenda tu kuona mpira wa kushambulia
Pochetino kaanza kubadilika polepole , ule ushamba wa back pasess kaacha ,sasa hivi vijana wanawasha moto
Utafurahia zaidi pale Nkunku atakapopona na kusimama pale mbele, huyu Wacko Jacko naona anawachelewesha tu.
 
Nyie kondoo hivi mna uwezo hata wa kumfunga City goli nne kweli? Au mpo hapa kudanganyana kuwa mna timu y kubeba ubingwa.

Labda utumie hizi hesabu za std one zinaweza kukusaidia kuelewa:
Arsenal v City = 1-0 = (Arsenal 3 pts, City 0pts)
Chelsea v City =4-4= (Chelsea 1pt, City 1pt)

Kati ya Arsenal na Chelsea, nani kamfunga City?
 
Labda utumie hizi hesabu za std one zinaweza kukusaidia kuelewa:
Arsenal v City = 1-0 = (Arsenal 3 pts, City 0pts)
Chelsea v City =4-4= (Chelsea 1pt, City 1pt)

Kati ya Arsenal na Chelsea, nani kamfunga City?
 
Back
Top Bottom