Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Msimamo wa PL kuelekea International break!

Tukirudi, Man City watawakaribisha Liverpool!

Man United watakuwa away dhidi ya Everton!

Chelsea uso kwa uso na Newcastle United!

Wakati Brentford akikutana na Arsenal!

Ligi inazidi kupamba moto, na wanataka ubingwa wanaonekana!
20231113_140238.jpg
 
Points against the top 6 this season:

Arsenal: 8 (Played City, United, Chelsea, Tottenham)

Tottenham: 7 (Played Arsenal, United, Liverpool, Chelsea)

Chelsea: 6 (Played City, Liverpool, Arsenal, Tottenham)

Manchester City: 4 (Played Arsenal, United, Chelsea)

Liverpool: 1 (Played Tottenham and Chelsea)

Manchester United: 0 (Played Arsenal, Tottenham, City).
 
Upo sahihi ,kocha pale hatuna
Naungana nanyi. Montemurro alikuwa anapigisha boli na results tunapata. Miedema alikuwa anafunga mpaka anachoka. Anaassist mpaka anachoka. Kaja Eidevall na naona kama kashindwa kuvaa viatu vya Joe vilivyo. Nadhani injuries za Miedema na kuhamishwa position kwake pamoja na injuries kwa Mead na wengine pia imechangia, ukiachana na kocha. Pia ikumbukwe kuwa wanawake wanateseka zaidi na injuries kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama viatu bado havijapatiwa design inayofaa miguu ya kike, misuli yao ina recovery time tofauti na ya kiume, etc. All in all, tupate kocha. Labda yule wa Barca
 
Naona pia tuna trend ya kukusanya akina Gabriel na Martin
Gabriel Jesus
Gabriel
William Saliba Gabriel
Martin Odegaard
David Raya Martin
mpaka hata kuna Gabriel Martinelli. Sijui tumeona siri gani kwenye haya majina
 
EXC

Gabriel Jesus amesafiri hadi Brazil kwa majukumu ya timu ya taifa.

Chini ya sheria za FIFA, nchi zina haki ya kutathmini wachezaji wenyewe - na Brazil imetumia kipengere hicho kufanya hivyo.


Ikumbukwe wiki kulikuwa na mvutano Kati ya Arsenal na chama cha soka Cha Brazil,Arsenal wakisisitiza Jesus ana injury ,Brazil wakisema wanaomba wahakikishe wenyewe .
 
Bukayo Saka amehusika katika Magoli(G/A) dhidi ya kila timu iliyoshiriki EPL Kwa kipindi chote alichocheza 24/24.

Rekodi ambayo ni yeye pekee anaishikilia kwa sasa akiwa nyuma ya Harry Kane ambae anarekodi ya 100% dhidi ya 32/32.

Starboy

View attachment 2812461
kuna video niliona ilikua kama utani arsenal fans wanaulizwa wamtoe bukayo wapewe mbappe ... wote waligomea deal
 
Mpaka leo Mkuu bado una mentality ya kuwa nyumbani na ugenini mbona mpira siku hizi hauna hiyo. Mtu anapigwa popote pale akikaa vibaya.

Nyumbani na Ugenini ilikuwa kipindi cha miaka ya 2000, Ferguson na Mourinho walivyojijengea ngome zao. Lakini Mourinho mwenyewe siku hizi hata akiwa nyumbani anapingwa tu
kama nyumbani sio nyumbani peleka timu santiago au peleka timu anfield unaeza pata matokeo ila kwa challenge sana
 
View attachment 2812554
Dah! Raya hatokuwepo golini dhidi ya Brentford.

Haya, acha tuone Ramsdale alichonacho.
raya ni mzuri kwenye kudaka + footwork ila siku zinavozidi kwenda naona ramsdale confidence inapotea ukilinganisha na press ya southgate naona January ramsdale anaeza timuka, japokua arteta anasema asiwe na haraka bado mapema sana
 
Brentford lazima tumfunge, itakuwa matumizi mabaya ya fursa tukidondosha point kwake.
 
Naungana nanyi. Montemurro alikuwa anapigisha boli na results tunapata. Miedema alikuwa anafunga mpaka anachoka. Anaassist mpaka anachoka. Kaja Eidevall na naona kama kashindwa kuvaa viatu vya Joe vilivyo. Nadhani injuries za Miedema na kuhamishwa position kwake pamoja na injuries kwa Mead na wengine pia imechangia, ukiachana na kocha. Pia ikumbukwe kuwa wanawake wanateseka zaidi na injuries kwa sababu ya vitu vidogo dogo kama viatu bado havijapatiwa design inayofaa miguu ya kike, misuli yao ina recovery time tofauti na ya kiume, etc. All in all, tupate kocha. Labda yule wa Barca
ila kikosi chetu kina watu wanaokupa matokeo naona bado kuna mahali mwalimu anachangamoto
 
Kuna uwezekano United wakafukuza kocha after international break, naona kuna vipigo back to back.
 
Msimamo wa PL kuelekea International break!

Tukirudi, Man City watawakaribisha Liverpool!

Man United watakuwa away dhidi ya Everton!

Chelsea uso kwa uso na Newcastle United!

Wakati Brentford akikutana na Arsenal!

Ligi inazidi kupamba moto, na wanataka ubingwa wanaonekana!View attachment 2812632
Ligi ndio Kama inaenda kuanza
 
raya ni mzuri kwenye kudaka + footwork ila siku zinavozidi kwenda naona ramsdale confidence inapotea ukilinganisha na press ya southgate naona January ramsdale anaeza timuka, japokua arteta anasema asiwe na haraka bado mapema sana
Anauzwa fasta , tupate pesa tuvute kiungo
 
Back
Top Bottom