Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni juzi tu aliongea jeuri kutokana na alichosema Arteta. Mpaka wote tutaongea lugha moja.

Screenshot_2023-11-12-22-41-21-570_com.instagram.android-edit.jpg
 
Timu yetu ya wanawake msimu huu inasua sua kwenye kupata matokeo nimekua nikifatilia game zetu yani tuna tatizp la kuruhusu magoli mapema sana..
 
Man City with Robot Haaland

Team goals = 32

Liverpool with Sensational Salah

Team goals = 27

Arsenal without a proper striker

Team goals = 26

Once we get this issue sorted, IT’S OVER
20231112_114139.jpg
 
ARSENAL ZOTE NI TISHIO!

Timu ya wanawake ya Arsenal ilifanikiwa kuifunga Leicester City katika Women's Super League(WSL);

Leicester walitangulia kufunga magoli mawili mpaka HT, ila Arsenal Women wakarudi kwa magoli sita.

Na kupanda hadi nafasi ya pili kwenye ligi hiyo!
 
Aende tu unai kwa kipengele chenye masilahi na asenali pia maana kwa ninavyoiona asenali ya sasa emil hatoboi kwenye kikosi cha kwanza
Anatoboa vzr tu, mchawi injury tu

Alirudi hapa juz akaonesha uwezo mzuri na akatengeneza magoli mawili ,

Akawa ameshaanza kutaka namba ,gafla kaumia ,after international break anarudi
 
Anatoboa vzr tu, mchawi injury tu

Alirudi hapa juz akaonesha uwezo mzuri na akatengeneza magoli mawili ,

Akawa ameshaanza kutaka namba ,gafla kaumia ,after international break anarudi
After International break nadhani Odegaard, Jesus na Benny Blanco White watakuwa wamerudi...kama na Emile naye atakuwa tyri itakuwa fresh...maana mechi hapo zitakuwa nyng sana....tuombee hii International break tusipate majeruhi yyte
 
Back
Top Bottom