Ukimuweka na ST mzuri huyo moto utakaowaka hatariDu uyu Mbwemo anaubonda balaa sanaa
Ukimuweka na ST mzuri huyo moto utakaowaka hatariDu uyu Mbwemo anaubonda balaa sanaa
Jamaaa fire sanaaUkimuweka na ST mzuri huyo moto utakaowaka hatari
Huyu ni shabiki mwenzetu wa Arsenal, hajui chochote zaid ya kuwaangalia Newcastle wanapocheza na big team tu bas kwaiyo swali hilo hawezi kujibuSijapendezwa na tabia ya shabiki wa nyukesto Labyrinth 84 kukimbia maswali.
Ninatoa wito kwa wanaArsenal wenzangu mnisaidie kumuuliza hili swali mpaka atakapolijibu.
"Trace msimu ambao kikosi chako chote kilikua fit kisha taja kikombe mlichochukua"
Wito wangu uwaguse mkorea hamis77 MalcolM XII zitto junior Raymanu KE Ulimakafu HENRY14 arsenal2004 Mjusi_kafiri BJB FC na kila shabiki wa Arsenal niliyemsahau.
Mpaka akijibu hili swali ndipo tutaendelea na mengine.

Kuna Mjadala jana niliukuta Twitter (X)Trossard anaanza timu yoyote kasoro Arsenal na city tu
Since signing for Arsenal for £21m last January
️
Vs Burnley
️Vs Sevilla
️Vs Chelsea
️
Vs PSV
️Vs Everton
️Vs ManCity
Vs Wolves
Vs Man City
Vs Leeds
Vs Crystal Palace
Vs Fulham
Vs Everton
Vs Leicester
️Vs BrentfordView attachment 2811468
Huyu jamaa analalamika sana et third choice wakati Trousard ni chaguo la 4 kwenye CF endapo timu nzima ikiwa fiti hakuna majeruhi maana yake machaguo ni

Sijapendezwa na tabia ya shabiki wa nyukesto Labyrinth 84 kukimbia maswali.
Ninatoa wito kwa wanaArsenal wenzangu mnisaidie kumuuliza hili swali mpaka atakapolijibu.
"Trace msimu ambao kikosi chako chote kilikua fit kisha taja kikombe mlichochukua"
Wito wangu uwaguse mkorea hamis77 MalcolM XII zitto junior Raymanu KE Ulimakafu HENRY14 arsenal2004 Mjusi_kafiri BJB FC na kila shabiki wa Arsenal niliyemsahau.
Mpaka akijibu hili swali ndipo tutaendelea na mengine.
. Unapata wapi ujasiri wakuuliza kikosi ambacho kiko full fiti hapa ."Trace msimu ambao kikosi chako chote kilikua fit kisha taja kikombe mlichochukua"Kwa umri wa miaka 137 una 0 UEFA champions league trophy.
Kwa umri wa miaka 20 una 0 EPL trophy .
Miaka 137 una 0 Europa league trophy .
With all transfers , players and money spending still tukihesabu tunakukuta una zaidi ya miongo miwili without EPL trophy , tunakuta unazaidi ya karne na miongo 3 bila UEFA trophy .
Zingatia maneno karne na miongo(DECADE & CENTURY) yaani upo trophyless. Unapata wapi ujasiri wakuuliza kikosi ambacho kiko full fiti hapa .
Newcastle technically is a new club in term of both projects and financial stability so ni kama tuna miaka 2 or 3 ukianza ku count mambo ya trophies na mafanikio mengine.
First full season ya arteta amemaliza nafasi ya 8 , second full season amemaliza nafasi , third season ndo mkaambulia ubottler wa league nafasi ya pili with total spending ya £657.7 M
First full season ya Eddie howe (New Newcastle) ameshiriki UEFA kwa kushika nafasi ya 4 kitu ambacho arteta amekifanya ndani ya misimu 3 na huu ndo kwanza msimu wake wa 2 with total spending £250M .
Kuhusu mafanikio ya Newcastle niulize after 5 years na si sasa hii ni New Newcastle unataka tuanze kuongelea kipindi cha vichupi sio?
Ana majibu basi😀😀😀...yy anakwambia Huna Uefa...yy analo??...ana makombe mangapi ya epl...hata fa tu...yaani ni katimu flani ambako kanakimbiakimbia uwanjani"Trace msimu ambao kikosi chako chote kilikua fit kisha taja kikombe mlichochukua"
AseeePochetino alisema Arteta analalamika kuhusu VAR!
Haya mambo hayamkuti ng'ombe, yanamkuta binadamu.
Wauane tu watajua wenyewe, huyu city sisi tutamalizana nae wenyeweBado mnatamani Chelsea ashinde?
Acha city ashinde. Mechi nne zinazofuata zitambana pointsBado mnatamani Chelsea ashinde?
Shukrani mkuuCheki score808
Niliwaambia mzigo unaanguka Kati huuNgomaa ianguke Kati hii, nipo tayari kuvumilia kelele za Kenge

Mlivyo ndezi mancity atapanda tena hapo muda mfupi ujao , kushikilia bomba hamuwezi ninyichelsea ashike bomba sasa tembo nirudi on top