Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nipo katika group of death na still nina chance ya kutoboa , usilinganishe geodie fans na false hopers .

Tukienda ueropa ndo kabisa tunahesabu tayariii kombe 1 kabatini team pekee ambayo tutaenda kwa umakino ni Liverpool tu wengine tunapiga .

Halafu kwanza huko europa hatuendiii na hata tukienda ni poa tu kuliko kuwa kama nyinyi mnatoka 16 bora.
🤣🤣🤣....ndo unavyojidanganya hvyo...nilikuambia mwaka huu mmepata sana bahati kucheza haya mashindano mkishatoka msubiri miaka 20 mingine ndo mtapata nafasi ndugu zetu
 
....ndo unavyojidanganya hvyo...nilikuambia mwaka huu mmepata sana bahati kucheza haya mashindano mkishatoka msubiri miaka 20 mingine ndo mtapata nafasi ndugu zetu

Acha maneno
IMG_1970.jpg
hapo vipi kwani yaani hii game arteta kalalamika nasikia kaandika mpaka waraka, wanamuuliza unalalamika nini ? Mpira umetoka?, foul au offside? Still hana jibu.
 
Kabla hata makundi hayajapangwa nilishasema tunaenda Wembley mwaka huu

Hadi Sasa Nusu fainal uhakika

Fainal tunaendaje hapa?

Tunahitaji kuongeza kiungo kuliko CF

Arsenal wameachana na porojo za kusajili CF January,

Bali watawekeza pesa kubwa kusajili Hybrid Midfield yaani anayeweza kucheza 6/8

Mikel na Bodi nzima target no.1 Ni Douglas Luiz ,

Vikwazo vya FFP vinazuia kutumia pesa kubwa January , So Nini kifanyike ?

Nikuwekeza pesa kubwa kwa kiungo sababu Partey atarudi January pia summer ataondoka ,maandalizi Ni mapema

Target ya 2 Ni Zubimendi ,Lakini amesema anapemdelea kuondoka Sociedad ,Summer na sio January baada ya kuwa wamefuzu round 16

January Arsenal wamepanga kumbeba Luiz , na sio CF sababu FFP hairuhusu

Hapa Sasa ndio unaona Klabu inaendeshwa kwa mipango na akili

Tuna watu karibu watano wanaocheza CF, Kai ,Jesus, Trosaard na Nketiah

Why uwekeze January €70-100m kwa CF ,

Kuongezeka kwa Kiungo Kama Luiz anayeweza kucheza Lone DM na CM .,inamaana watacheza na Rice mmoja DM mmoja LCM.

Kai anaonekana Sasa Ni RCM na CF

Summer ,Elneny na Jorginho wataondoka na ndio muda wakusajili Zubimendi

So Douglas Luiz Ni mbadala wa Partey
Zubimendi Ni mbadala wa Jorginho

Hivi ndio rebuild inafanyika bila kuathiri ubora wa timu .

Sikuwahi kuamini Arsenal iwekeze huge money kwa CF January ,David ornstein alithibitisha hili

Summer ndio kipind tutawekeza kwa CF, CB na RW Basi


Kufikia January-Fabruary Timber pia atakuwa amerejea
20231110_072719.jpg
 
Acha manenoView attachment 2809155hapo vipi kwani yaani hii game arteta kalalamika nasikia kaandika mpaka waraka, wanamuuliza unalalamika nini ? Mpira umetoka?, foul au offside? Still hana jibu.
😀😀😀....wapi amekuwa hana jibu....very clear watu tofauti wamezungumza kabisa ule ni ushindi wa mezani mmetafutiwa....mmepunguza gepu to 4 points ila ndani ya mechi 2 zijazo litakuwa 7 tena mtakuwa huko chinichini huko...kule UEFA mpo group la kifo si ndio😀😀...mmeenda kupata uzoefu kama mnavyojisemesha...si ndio ndugu zetu
 
Kabla hata makundi hayajapangwa nilishasema tunaenda Wembley mwaka huu

Hadi Sasa Nusu fainal uhakika

Fainal tunaendaje hapa?

Tunahitaji kuongeza kiungo kuliko CF

Arsenal wameachana na porojo za kusajili CF January,

Bali watawekeza pesa kubwa kusajili Hybrid Midfield yaani anayeweza kucheza 6/8

Mikel na Bodi nzima target no.1 Ni Douglas Luiz ,

Vikwazo vya FFP vinazuia kutumia pesa kubwa January , So Nini kifanyike ?

Nikuwekeza pesa kubwa kwa kiungo sababu Partey atarudi January pia summer ataondoka ,maandalizi Ni mapema

Target ya 2 Ni Zubimendi ,Lakini amesema anapemdelea kuondoka Sociedad ,Summer na sio January baada ya kuwa wamefuzu round 16

January Arsenal wamepanga kumbeba Luiz , na sio CF sababu FFP hairuhusu

Hapa Sasa ndio unaona Klabu inaendeshwa kwa mipango na akili

Tuna watu karibu watano wanaocheza CF, Kai ,Jesus, Trosaard na Nketiah

Why uwekeze January €70-100m kwa CF ,

Kuongezeka kwa Kiungo Kama Luiz anayeweza kucheza Lone DM na CM .,inamaana watacheza na Rice mmoja DM mmoja LCM.

Kai anaonekana Sasa Ni RCM na CF

Summer ,Elneny na Jorginho wataondoka na ndio muda wakusajili Zubimendi

So Douglas Luiz Ni mbadala wa Partey
Zubimendi Ni mbadala wa Jorginho

Hivi ndio rebuild inafanyika bila kuathiri ubora wa timu .

Sikuwahi kuamini Arsenal iwekeze huge money kwa CF January ,David ornstein alithibitisha hili

Summer ndio kipind tutawekeza kwa CF, CB na RW Basi


Kufikia January-Fabruary Timber pia atakuwa amerejeaView attachment 2809436
Tatizo braza Jesus anaumiaumia sana sasahv...anatukwamisha hapo tu...ndo maana tunahitaji CF wa uhakika maana Nketiah ni kama mwezi mchanga hivi....kama watasajili kiungo maana yake tuendelee kutegemee contribution ya magoli kutoka sehemu zte uwanjani...ila ngoja tuone mpk January tutakuwa nafasi ya ngapi pale juu
 
Kabla hata makundi hayajapangwa nilishasema tunaenda Wembley mwaka huu

Hadi Sasa Nusu fainal uhakika

Fainal tunaendaje hapa?

Tunahitaji kuongeza kiungo kuliko CF

Arsenal wameachana na porojo za kusajili CF January,

Bali watawekeza pesa kubwa kusajili Hybrid Midfield yaani anayeweza kucheza 6/8

Mikel na Bodi nzima target no.1 Ni Douglas Luiz ,

Vikwazo vya FFP vinazuia kutumia pesa kubwa January , So Nini kifanyike ?

Nikuwekeza pesa kubwa kwa kiungo sababu Partey atarudi January pia summer ataondoka ,maandalizi Ni mapema

Target ya 2 Ni Zubimendi ,Lakini amesema anapemdelea kuondoka Sociedad ,Summer na sio January baada ya kuwa wamefuzu round 16

January Arsenal wamepanga kumbeba Luiz , na sio CF sababu FFP hairuhusu

Hapa Sasa ndio unaona Klabu inaendeshwa kwa mipango na akili

Tuna watu karibu watano wanaocheza CF, Kai ,Jesus, Trosaard na Nketiah

Why uwekeze January €70-100m kwa CF ,

Kuongezeka kwa Kiungo Kama Luiz anayeweza kucheza Lone DM na CM .,inamaana watacheza na Rice mmoja DM mmoja LCM.

Kai anaonekana Sasa Ni RCM na CF

Summer ,Elneny na Jorginho wataondoka na ndio muda wakusajili Zubimendi

So Douglas Luiz Ni mbadala wa Partey
Zubimendi Ni mbadala wa Jorginho

Hivi ndio rebuild inafanyika bila kuathiri ubora wa timu .

Sikuwahi kuamini Arsenal iwekeze huge money kwa CF January ,David ornstein alithibitisha hili

Summer ndio kipind tutawekeza kwa CF, CB na RW Basi


Kufikia January-Fabruary Timber pia atakuwa amerejeaView attachment 2809436
Huyo HARVETZ acha kumtaja kama mchezaji wa muhimu saaaana,anajaza idadi tu wachezaji, ningekuwa na mamlaka ningemuondoa hata December hii

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Huyo HARVETZ acha kumtaja kama mchezaji wa muhimu saaaana,anajaza idadi tu wachezaji, ningekuwa na mamlaka ningemuondoa hata December hii

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Naanza pia kumuoana Kai kama yupo kutusaidia tusicheze na watu 10 uwanjani. Naona impact yake ndogo ila wanaojua soka zaidi yangu wanaona ana maana. So mimi bado natumia nguvu kujaribu kuelewa umuhimu wake kwetu kwa sasa
 
Kabla hata makundi hayajapangwa nilishasema tunaenda Wembley mwaka huu

Hadi Sasa Nusu fainal uhakika

Fainal tunaendaje hapa?

Tunahitaji kuongeza kiungo kuliko CF

Arsenal wameachana na porojo za kusajili CF January,

Bali watawekeza pesa kubwa kusajili Hybrid Midfield yaani anayeweza kucheza 6/8

Mikel na Bodi nzima target no.1 Ni Douglas Luiz ,

Vikwazo vya FFP vinazuia kutumia pesa kubwa January , So Nini kifanyike ?

Nikuwekeza pesa kubwa kwa kiungo sababu Partey atarudi January pia summer ataondoka ,maandalizi Ni mapema

Target ya 2 Ni Zubimendi ,Lakini amesema anapemdelea kuondoka Sociedad ,Summer na sio January baada ya kuwa wamefuzu round 16

January Arsenal wamepanga kumbeba Luiz , na sio CF sababu FFP hairuhusu

Hapa Sasa ndio unaona Klabu inaendeshwa kwa mipango na akili

Tuna watu karibu watano wanaocheza CF, Kai ,Jesus, Trosaard na Nketiah

Why uwekeze January €70-100m kwa CF ,

Kuongezeka kwa Kiungo Kama Luiz anayeweza kucheza Lone DM na CM .,inamaana watacheza na Rice mmoja DM mmoja LCM.

Kai anaonekana Sasa Ni RCM na CF

Summer ,Elneny na Jorginho wataondoka na ndio muda wakusajili Zubimendi

So Douglas Luiz Ni mbadala wa Partey
Zubimendi Ni mbadala wa Jorginho

Hivi ndio rebuild inafanyika bila kuathiri ubora wa timu .

Sikuwahi kuamini Arsenal iwekeze huge money kwa CF January ,David ornstein alithibitisha hili

Summer ndio kipind tutawekeza kwa CF, CB na RW Basi


Kufikia January-Fabruary Timber pia atakuwa amerejeaView attachment 2809436
Mkuu umeeleweka vyema sana
At the moment kumpata zubimendi ni ngumu alafu ata tukimpata tutashindwa kumtumia UEFA

Douglas Luiz, yeah that's it

Ile summer options zitakua nyingi Kuna Frank de jong pia
 
Mkuu umeeleweka vyema sana
At the moment kumpata zubimendi ni ngumu alafu ata tukimpata tutashindwa kumtumia UEFA

Douglas Luiz, yeah that's it

Ile summer options zitakua nyingi Kuna Frank de jong pia
Huyu Zubimendi ana maringo sana, last season pia alisema haitaji kuondoka January anaisubilia Barcelona baada ya wakati ule kuondoka Segio Busquet na saivi pia haitaji kuondoka January
 
Huyu Zubimendi ana maringo sana, last season pia alisema haitaji kuondoka January anaisubilia Barcelona baada ya wakati ule kuondoka Segio Busquet na saivi pia haitaji kuondoka January
Kuna wachezaji ambao huwa hawataki kwenda nje ya ligi za nyumbani kwao na particularly kukiwa na Interest kutoka kwny timu kubwa za hapo nyumbani kwao....mi binafsi nimejaribu kumuangalia Zubimendi nikamshindanisha na Fofana....naona kwa sasa tunahitaji kiungo kama Fofana...tuwe na midfield yenye watu wenye nguvu na watata na kule nyuma na wale beki zetu tutakuwa tunawakaribia zaidi Man City kwa quality....hyu Zubimendi kama anaringa ni kuachana naye tu
 
Aston Villa consider Douglas Luiz, who is represented by Kia Joorabchian, as a crucial player for their project. Only a crazy, huge offer will be considered in January. So Arsenal will have to invest a lot of money to land their top midfield target.

[@FabrizioRomano]
20231110_054703.jpg
 
Kuna wachezaji ambao huwa hawataki kwenda nje ya ligi za nyumbani kwao na particularly kukiwa na Interest kutoka kwny timu kubwa za hapo nyumbani kwao....mi binafsi nimejaribu kumuangalia Zubimendi nikamshindanisha na Fofana....naona kwa sasa tunahitaji kiungo kama Fofana...tuwe na midfield yenye watu wenye nguvu na watata na kule nyuma na wale beki zetu tutakuwa tunawakaribia zaidi Man City kwa quality....hyu Zubimendi kama anaringa ni kuachana naye tu
Huyo fofana anaupiga mwingi au yeye ana nguvu?
 
Kabla hata makundi hayajapangwa nilishasema tunaenda Wembley mwaka huu

Hadi Sasa Nusu fainal uhakika

Fainal tunaendaje hapa?

Tunahitaji kuongeza kiungo kuliko CF

Arsenal wameachana na porojo za kusajili CF January,

Bali watawekeza pesa kubwa kusajili Hybrid Midfield yaani anayeweza kucheza 6/8

Mikel na Bodi nzima target no.1 Ni Douglas Luiz ,

Vikwazo vya FFP vinazuia kutumia pesa kubwa January , So Nini kifanyike ?

Nikuwekeza pesa kubwa kwa kiungo sababu Partey atarudi January pia summer ataondoka ,maandalizi Ni mapema

Target ya 2 Ni Zubimendi ,Lakini amesema anapemdelea kuondoka Sociedad ,Summer na sio January baada ya kuwa wamefuzu round 16

January Arsenal wamepanga kumbeba Luiz , na sio CF sababu FFP hairuhusu

Hapa Sasa ndio unaona Klabu inaendeshwa kwa mipango na akili

Tuna watu karibu watano wanaocheza CF, Kai ,Jesus, Trosaard na Nketiah

Why uwekeze January €70-100m kwa CF ,

Kuongezeka kwa Kiungo Kama Luiz anayeweza kucheza Lone DM na CM .,inamaana watacheza na Rice mmoja DM mmoja LCM.

Kai anaonekana Sasa Ni RCM na CF

Summer ,Elneny na Jorginho wataondoka na ndio muda wakusajili Zubimendi

So Douglas Luiz Ni mbadala wa Partey
Zubimendi Ni mbadala wa Jorginho

Hivi ndio rebuild inafanyika bila kuathiri ubora wa timu .

Sikuwahi kuamini Arsenal iwekeze huge money kwa CF January ,David ornstein alithibitisha hili

Summer ndio kipind tutawekeza kwa CF, CB na RW Basi


Kufikia January-Fabruary Timber pia atakuwa amerejeaView attachment 2809436
Hii ni maajabu
😂😂😂😂
 
....wapi amekuwa hana jibu....very clear watu tofauti wamezungumza kabisa ule ni ushindi wa mezani mmetafutiwa....mmepunguza gepu to 4 points ila ndani ya mechi 2 zijazo litakuwa 7 tena mtakuwa huko chinichini huko...kule UEFA mpo group la kifo si ndio...mmeenda kupata uzoefu kama mnavyojisemesha...si ndio ndugu zetu

Mpira haukutoka hapo tumekubaliana
Offside hamna
Foul hamna

Et bruno hakutakiw kucheza mpaka dk90 ila kai haivertz alipaswa kumaliza dk 90 sio? Basi sawa tufanye mmepata draw ya kusadikika .

Karudie tena kuangalia uchambuzi wa lile goli kwa gary neville na wachambuzi wengine hakuna clear vision ya gordon kuwa offside wala gabriel kuchezewa foul , wapi PGMOL wameomba msamaha kama mlivyojiaminisha humu , Liverpool tuliona na mwaka jana kwa brentford tuliona .

Tatizo mlikuwa na false hope moyoni la unbeaten , now mna false hope la fainali UEFA. ikifika february haya yote yataonekana wazi kuwa ni false hopes . Then mtaingia kwenye false hope ya transfers .
 
Hamis usitudanganye hatuwezi chukua kombe la maana kama hatuna CF, Gabriel jesus unamuhesabia ni mchezaji wa kutegemea? hawezi kucheza mechi tatu mfululizo na hata akicheza hafungi.

Utaambiwa anacreate space, sasa yeye aki-create space wakina Odegaad wafanye nini?

Ushawahi kuona Kane anasifiwa ku-create space? Halaand? Lewandowisk?
Tunahitaji straiker kariba ya Victor Osimhen mtu ambae anaenda uwanjani kwa lengo la kufunga na sio ujinga mwingine.

Tukipata na mido kariba ya Partey akiwa mzima 100%.

La sivyo tuwe wapole tuu au tusubirie man city ajikwae ndo tunaweza fikiria kombe.
 
timber akipona majeraha yake anaweza kuicheza vema sana role ambayo rice yuko nayo kwa wakati huu..

kama partey akiondoka.. basi mid iwe ya timber ,rice na ø.

arteta awekeze nguvu zaidi katika kusajili winger na mtu anaeweza kusimama mbele pale na kufunga mabao kwa chances chache atazopata.
 
timber akipona majeraha yake anaweza kuicheza vema sana role ambayo rice yuko nayo kwa wakati huu..

kama partey akiondoka.. basi mid iwe ya timber ,rice na ø.

arteta awekeze nguvu zaidi katika kusajili winger na mtu anaeweza kusimama mbele pale na kufunga mabao kwa chances chache atazopata.
vision na distribution yake ikoje? huwa namuona timber kama martinelli ambaye ni beki ila sijui yukoje katika long balls na defence splitting passes from deep
 
Mkuu umeeleweka vyema sana
At the moment kumpata zubimendi ni ngumu alafu ata tukimpata tutashindwa kumtumia UEFA

Douglas Luiz, yeah that's it

Ile summer options zitakua nyingi Kuna Frank de jong pia
Hapana UCL unamtumia vzr tu, walibadili Sheria
 
Back
Top Bottom