Mnafananisha kilichotokea jana na match ya Liverpool vs tot kitu ambacho si sahihi. Match ya liver kulikua na technical issues tofauti na game ya jana.
Game ya jana vitu vyote 3 vimeangaliwa cha kwanza kabisa wameangalia kama mpira ulitoka wote na wakahakikisha kabisa mpira haukutoka wote, ikaangaliwa kama kuna possible foul ikaonekana li gabriel limeruka lakini lika fake kama limefanyiwa foul baada ya kuona limeshindwa kufikia mpira . Tukacheki kama gordon yupo offside lakini hakuwa offside.
Mnacholalamika nyinyi ni nini tuelewe basi

je mpira ulitoka nje?, gabriel kafanyiwa foul au gordon alikua offside ??
Kipi hapo au ni vyote ???


View attachment 2804558
Gordon baada ya kuona game of thrones wanamzingua akaja kupiga mpira pale st james

