Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ngoja tuwape visu kabisa watoboane vizuri hawa washika manati wa london
Asanteni sana mkuu kwa kazi nzuri mliyoifanya....sasa na weekend ijayo tunaomba mfanye kwa Guardiola mlichokifanya leo😀😀....Liverpool wameshalipiwa dhuluma yao...bdo sisi kwa wale Nyukesto lile goli la mchongo na mieleka ya Bruno...ipo siku tu
 
Arsenal 2003-04 are still the Premier League's only Invincibles.
IMG_20231107_011550_781.jpg
 
Asanteni sana mkuu kwa kazi nzuri mliyoifanya....sasa na weekend ijayo tunaomba mfanye kwa Guardiola mlichokifanya leo....Liverpool wameshalipiwa dhuluma yao...bdo sisi kwa wale Nyukesto lile goli la mchongo na mieleka ya Bruno...ipo siku tu

Sema nini TOT wamearibu michezo yao peke yao. Wanatumia nguvu kuliko akili. Wanacheza rafu za kijinga sizo na maana sasa imewakosti.
 
Kuona hzi kelele zinazopigwa zinaakisi ubora na form ya timu at the moment au ni ngonjera.....samahani kwani na nyny ni wangapi sasahv...chondechonde j3 mjitahidi hata mtoe draw tu na Spurs maana kushinda hamuwezi na kile kikundi chenu cha wafukuza upepo.... tutakuwa tyri tupo juu ya msimamo wa ligi...hatutaki kutoka tena
Apo juu ya msimamo kunaendeleaje

Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Guardiola tunamkazia draw Tu inatosha ,msimu huu atleast jirani zetu mnyanyue kwapa ,ni miaka mingi sana mmekula msoto wa kutobeba kombe la epl
Safari hii atleast london ipate kombe ,mji wa Manchester wamefanya hilo kombe kama lao
Unajua nini, hawa takataka hamuna kiwasaidia inabidi wapambane wenyewe hawa chodomo domo fc😂😂😂😂
 
Hili Jukwaa Mnaaminishana vitu ambavyo Havipo kabisa, TIMBER, ODE na PARTEY msimu huu hawana hizo Game nyingi Pamoja kusema kuna Muunganiko mnaukosa sababu hawapo,

Mmecheza na UTD ina Injuries za SHAW, RAPHA, Sajili ya MOUNT na HOJLUND bado hazijachanganya ukifananisha na RICE ila Hukuona watu wakilalama kumkosa flani japo Errors za VAR zilikuwa tena kubwa tu Goli la Garnacho, MERGALES alimbeba kabisa HOJLUND lakini hukuona watu wakitema MATUSI kama hapa mnavyofanya!
Nyie ARTETA kwenye Interview kuhusu TOT-LIV alisema MISTAKES Zinatokea kwa nini Jana asikubaliane na Kauli yake? CITY Key Player ni RODRI hukuona wanalalama walikubali Kipigo. Miwe Sour/Bitter Losers hii ni Football na hiyo ni 1 ya Matokeo yake.

Ukweli Mchungu ni kwamba ARSENAL ni timu Nzuri lakini sio TISHIO Kariba ya INVINCIBLES sababu ya CHARACTERS zilokuwa Leo Hii, Arsenal CPT ni ODE, ila tizama INVINCIBLES Timu yote walikuwa na Uwezo wa Kuwa Manahodha. Nadiriki kusema Players Wanaweza Ingia ARSENAL ya INVINCIBLES wanaweza wasizidi 3 {Kwangu ni RICE, SALIBA Mwingine Mmoja atakuwa SUB}.
Kuna Baadhi humu wanajua Mpira haswa hadi unajiuliza Inakuwaje mtu kama huyu naye anaingizwa kwenye falsafa za KINAZI kama za SIMBA na YANGA kwamba ni mazuri yetu tu!!
TUPENDE MPIRA TUSIPENDE TIMU.
Umeandika upuuzi,

PENDA MPIRA,USIENDESHWE NA CHUKI NA VISASI
 
Mnafananisha kilichotokea jana na match ya Liverpool vs tot kitu ambacho si sahihi. Match ya liver kulikua na technical issues tofauti na game ya jana.

Game ya jana vitu vyote 3 vimeangaliwa cha kwanza kabisa wameangalia kama mpira ulitoka wote na wakahakikisha kabisa mpira haukutoka wote, ikaangaliwa kama kuna possible foul ikaonekana li gabriel limeruka lakini lika fake kama limefanyiwa foul baada ya kuona limeshindwa kufikia mpira . Tukacheki kama gordon yupo offside lakini hakuwa offside.

Mnacholalamika nyinyi ni nini tuelewe basi je mpira ulitoka nje?, gabriel kafanyiwa foul au gordon alikua offside ??
Kipi hapo au ni vyote ???View attachment 2804558
Gordon baada ya kuona game of thrones wanamzingua akaja kupiga mpira pale st james
Mpuuzi,upuuzwe
 
VAR walikua sahihi kwenye maamuzi yao. Waliangalia vitu vi3 na wakajiridhisha bao lilikua halali

Mpira kutoka nje ya uwanja. Ili kuthibitisha mpira haujatoka nje kwa case kama ya jana kamera ya kutokea juu (bird's eye) hutumika kwa sababu camera za angle nyingine hazitoi majibu sahihi na kwa kamera za jana uwanjani hakukuwa na camera ya birds eye

Kumbuka mechi ya kombe la dunia Japan vs Spain
View attachment 2804609
View attachment 2804663View attachment 2804646

Faulo?. Hapana ile sio faulo hatukatai Gabriel aliguswa na mikono miwili. Lakini bado aliweza kuruka na kutaka kuucheza mpira alivyoona ameukosa akajiangusha

Offside? Nafikiri watu tumeona ile sio offside

Ukiangalia kwa jicho lisilo la kishabiki utakuja kugundua kuwa maamuzi yalikua sahihi. Labda useme VAR hawaana consistency walishakataa bao kama hilo Man U vs Brighton
HUNA AKILI
 
Sema nini TOT wamearibu michezo yao peke yao. Wanatumia nguvu kuliko akili. Wanacheza rafu za kijinga sizo na maana sasa imewakosti.
Kuna timu pale ligi kuu Wana wachezaji wanacheza kihuni sana halafu Wana kaukorofi ndani Yao🤠🤠...Sasa ni suala la muda tu watadakwa mmoja baada ya mwingine....mfano mzuri leo saa nne usiku kuna mtu atadakwa kooni🤠🤠
 
Mkuu Castr nimeutafuta ule uzi wake wa baadhi ya matukio ya kutisha yaliwahi kufanywa na watu sijafanikiwa kuupata naomba nisaidie link aise.
 
Nyi wahuni, fakers, false hope fc, Man city wannabe n.k
Njoeni muone jinsi ya ku-overload kiungo wanavyofanya Dortmund
 
Back
Top Bottom