Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mnafananisha kilichotokea jana na match ya Liverpool vs tot kitu ambacho si sahihi. Match ya liver kulikua na technical issues tofauti na game ya jana.

Game ya jana vitu vyote 3 vimeangaliwa cha kwanza kabisa wameangalia kama mpira ulitoka wote na wakahakikisha kabisa mpira haukutoka wote, ikaangaliwa kama kuna possible foul ikaonekana li gabriel limeruka lakini lika fake kama limefanyiwa foul baada ya kuona limeshindwa kufikia mpira . Tukacheki kama gordon yupo offside lakini hakuwa offside.

Mnacholalamika nyinyi ni nini tuelewe basi je mpira ulitoka nje?, gabriel kafanyiwa foul au gordon alikua offside ??
Kipi hapo au ni vyote ???View attachment 2804558
Gordon baada ya kuona game of thrones wanamzingua akaja kupiga mpira pale st james
Oya OLLI alinyongwa na akachomwa moto😄😄

Gordon ni mzimu wa Ollie
 
Sababu inayonifanya niamini kwamba arsenal haitafika mbali ni ukosefu wa aggressiveness timu inapocheza. Timu iko soft sana uwanjani.

Aina ya mpira anaofundisha Arteta hauwezi kamwe kuifanya timu ishinde mechi za mtoano na kwasababu hiyo hatutakuja kubeba makombe ya ulaya.

Kuna sehemu unaona kabisa hapa inatakiwa kupiga pasi tatu tuwe golini kwa mpinzani lakini tunasimama na kusubiria wapinzani wajipange ndio twende.

Tunafika sana kwenye box la adui lakini hatufanyi attempt. Hili nalo ni tatizo kubwa sana na ndio mahali siku zote panamfanya Trossard aonekane bora maana yeye anajaribu.

Kocha yoyote anayefanya homework yake vizuri hawezi kufungwa na arsenal kwasababu mpira wa Arteta uko predictable sana. Kocha hana mabadiliko kulingana na aina ya mchezo.

Mbaya zaidi anaenda kumsajili Havertz huku tayari anayo mizigo kama Jorginho, Rowe, Vieira, Nelson, Nketiah, Cedric na Elneny.

Zinchenko, Gabriel Jesus, Odegaard na Ramsdale ni wachezaji wa mechi ndogo japo sio mbaya kuwa nao kama squad players.
duuuuh mkuu nimekukubali hadi jesus mchezaji wa mech ndogo
 
Mikel Arteta kuhusu goli dhidi ya Newcastle:

"Kilichotokea ni fedheha, hili bao ni la Ligi Kuu? Na Ligi hii tunasema ni bora zaidi duniani?"

"Nimekaa miaka 20 katika nchi hii na sasa nijisikia aibu. Ni fedheha kubwa sana . Tunafanya mambo ya ajabu kila wiki tena kwa kiwango cha juu.

"Tunapokuwa si wazuri vya kutosha uwanjani huwa nakubali, nainua mikono yangu juu na kuwajibika. Lakini kwa hili hapana, Haifai. Naona aibu kuwa sehemu ya hili."
 
20230424_180858.jpg
Kondoo zikishindaga huwa kila mchezaji wao ni world class, kumbe hawajui kwenye hicho kikundi chao cha kikoba, world class hawazid wawili.
 
Sababu inayonifanya niamini kwamba arsenal haitafika mbali ni ukosefu wa aggressiveness timu inapocheza. Timu iko soft sana uwanjani.

Aina ya mpira anaofundisha Arteta hauwezi kamwe kuifanya timu ishinde mechi za mtoano na kwasababu hiyo hatutakuja kubeba makombe ya ulaya.

Kuna sehemu unaona kabisa hapa inatakiwa kupiga pasi tatu tuwe golini kwa mpinzani lakini tunasimama na kusubiria wapinzani wajipange ndio twende.

Tunafika sana kwenye box la adui lakini hatufanyi attempt. Hili nalo ni tatizo kubwa sana na ndio mahali siku zote panamfanya Trossard aonekane bora maana yeye anajaribu.

Kocha yoyote anayefanya homework yake vizuri hawezi kufungwa na arsenal kwasababu mpira wa Arteta uko predictable sana. Kocha hana mabadiliko kulingana na aina ya mchezo.

Mbaya zaidi anaenda kumsajili Havertz huku tayari anayo mizigo kama Jorginho, Rowe, Vieira, Nelson, Nketiah, Cedric na Elneny.

Zinchenko, Gabriel Jesus, Odegaard na Ramsdale ni wachezaji wa mechi ndogo japo sio mbaya kuwa nao kama squad players.
Ila mashabiki tukifungwa tunatafuta kila namna ya kujiona wabovu.

Yaani Arsenal msimu uliopita iliyofukuzia ubingwa mpaka hatua za mwisho unasema Arteta mbovu?

Msimu huu tumezidiwa Points 3 tu na aliye kileleni.Unataka tuanze kucheza mpira wa kubutua butua tena?

Liva Jana Kadraw na Luton, unasemaje Liva mbovu?

Mkuu amini kuna mechi tutafungwa tu sababu ndio mpira.Newcastle wametufunga tukubali tactics zetu hazikufanya kazi.
 
Mikel Arteta kuhusu goli dhidi ya Newcastle:

"Kilichotokea ni fedheha, hili bao ni la Ligi Kuu? Na Ligi hii tunasema ni bora zaidi duniani?"

"Nimekaa miaka 20 katika nchi hii na sasa nijisikia aibu. Ni fedheha kubwa sana . Tunafanya mambo ya ajabu kila wiki tena kwa kiwango cha juu.

"Tunapokuwa si wazuri vya kutosha uwanjani huwa nakubali, nainua mikono yangu juu na kuwajibika. Lakini kwa hili hapana, Haifai. Naona aibu kuwa sehemu ya hili."
Kwa hiyo leo mnalilia sare?
 
Ila mashabiki tukifungwa tunatafuta kila namna ya kujiona wabovu.

Yaani Arsenal msimu uliopita iliyofukuzia ubingwa mpaka hatua za mwisho unasema Arteta mbovu?

Msimu huu tumezidiwa Points 3 tu na aliye kileleni.Unataka tuanze kucheza mpira wa kubutua butua tena?

Liva Jana Kadraw na Luton, unasemaje Liva mbovu?

Mkuu amini kuna mechi tutafungwa tu sababu ndio mpira.Newcastle wametufunga tukubali tactics zetu hazikufanya kazi.
Mkuu umenena sana. Hatuwezi kuwapangia timu pinzani jinsi ya kucheza. Alivyotufunga Newcastle ni sawa na tulivyopigwa na Westwast. Master Arteta anatakiwa aumize kichwa kuona tunatoboa vipi na hizi timu zinazocheza mpira wa Newcastle.

Game kama ile na Newcastle ndo zinamfanya Guardiola atuache mbali kimbinu. Tufanye Newcastle hawakupata goli, je sisi tulikuwa na mpango wa maana wa kupata goli?
 
Washkaji mnaboa sana. Ushabiki wa mpira hautufanyi kuwa maadui na kutoleana matusi. Huu si uungwana kabisa na ni ushamba wa kiwango cha lami.
Huyo ana afya y akili mbona anajulikana, wengine tunakuja huku jf kuondoa stress nashangaa yy ndio anakuja kuchukua stress.
 
Sababu inayonifanya niamini kwamba arsenal haitafika mbali ni ukosefu wa aggressiveness timu inapocheza. Timu iko soft sana uwanjani.

Aina ya mpira anaofundisha Arteta hauwezi kamwe kuifanya timu ishinde mechi za mtoano na kwasababu hiyo hatutakuja kubeba makombe ya ulaya.

Kuna sehemu unaona kabisa hapa inatakiwa kupiga pasi tatu tuwe golini kwa mpinzani lakini tunasimama na kusubiria wapinzani wajipange ndio twende.

Tunafika sana kwenye box la adui lakini hatufanyi attempt. Hili nalo ni tatizo kubwa sana na ndio mahali siku zote panamfanya Trossard aonekane bora maana yeye anajaribu.

Kocha yoyote anayefanya homework yake vizuri hawezi kufungwa na arsenal kwasababu mpira wa Arteta uko predictable sana. Kocha hana mabadiliko kulingana na aina ya mchezo.

Mbaya zaidi anaenda kumsajili Havertz huku tayari anayo mizigo kama Jorginho, Rowe, Vieira, Nelson, Nketiah, Cedric na Elneny.

Zinchenko, Gabriel Jesus, Odegaard na Ramsdale ni wachezaji wa mechi ndogo japo sio mbaya kuwa nao kama squad players.
Ndugu yangu Execute umeongea ukweli mchungu ambao mashabiki wengi wa Arsenyo hawapendi kabisa kuusikia, humu watu wanapenda kusikia false hopes tu za kina Masingeli na Co-workers wake.
Najua watakubeza, watakukejeli na wengine watadiriki kukutukana kabisa na kukuita mamluki.
Naomba hii comment yako uihifadhi vizuri halafu baada ya kutolewa Uefa uje uwakumbushe tena.
Timu kubwa kama Chelsea, liverpool na Man Utd mashabiki wanapoona tatizo/mapungufu kwenye timu zao hua wana criticize na wanaungwa mkono ila kwa mid table team kama Arsenyau ukijaribu kucriticize unanaonekana ni mhaini
tapatalk_-1158663258_360x420.jpg
 
Back
Top Bottom