Mbona tukifungwa matusi yanakuwa mengi humu?
Pia sometyms stress, nilishapitiaga huo ujinga unakua na hasira muda wote. mtu anaweza akakukanyaga tu kidogo kwenye daladala hasira zote unamhamishia yeye, Stress mbaya sana. Huyo dada anahitaji msaada.Mashabiki wengi wana childish altitude; niliwahi kuingizwa kwenye mtego wa matusi, lakini nikagundua mapema nilikuwa na argue na mtoto, nikamuomba aniblock, kama nilivyo mblock
Kwani hapo kuna jina la Saka? Kwanza huyo saka mwenyew alishatukataa waafrika, Ni muengereza huyo.Mwana huu si ubaguzi kabisa bro. Halafu wewe ni mtu mweusi unajua (japo sina uhakika maana hatufahamiani).
Mzungu akifanya hivi tunakasirika leo hii tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe. Waafrika hata hatujui tunataka nini.
hapawez huyu mduanzi, huwa anahis matus anayajua mwenyew, cha kushangaza anamtukana mtu asiyemjua!!twitter ataiweza huyo
Hamna mchezaji wa kukupa quality ile ile kwa kila mech mtakayocheza kma unae mtajeUmewahi kumuona aking'ara kwenye mechi kubwa consistently?
kmbe iyo ndo point ya kudefence hana quality ya mech kubwaNdio maana kaachwa na man city braza
Messi, Ronaldo, KDB, Saliba, Ramos, Xavi, Iniesta, Henry etcHamna mchezaji wa kukupa quality ile ile kwa kila mech mtakayocheza kma unae mtaje
Sio kweli, Busquets Xavi iniesta wanatosha kuimaliza Newcastle first half tu, na hakuna kiungo mwenye nguvu utakavyo wewe.Tatizo la arsenal mara zote huwa kiungo nyoro nyoro tangu zama za wenger. Ndio maana hata timu zinazoifunga arsenal zinafanana sifa kiuchezaji (westham,newcastle) hasa kwenye midfield kuwa na watu wa kazi chafu.
Kuanzia sasa makocha wengi wanaweza kuitumia hii weakness kuimaliza arsenal kwenye mechi zijazo.
Partey kwa kiasi chake anaweza kufanya dirty works lakini naye ni tripu shamba tripu garage.
Sio kweli, timu zilizopo kwenye vitabu ni zile zilizocheza mpira mkubwa kuliko kushinda mataji, holland ya Johan cruyff inakumbukwa kuliko west Germany iliyochukua WC, Arrigo sachi milan, Pep's barca hata Brazil ya pele zinakumbukwa kwa mpira wa sanaa sio makombe.Kila game ina mbinu zake , wewe unaona kama Newcastle katumia nguvu siohio ni mbinu yakuwaliza ilitumika , kina viera, cygan, wiltord walikua hawatumii nguvu sio?
Winning ndo kitu cha muhimu zaidiii kwenye football kuliko chochote kile ndo maana unaona man utd ya fergie ilikua inaogopeka na kuheshimika pia chelsea ya mourinho au atletico ya simione recently hizi team za makocha hao wote zimechukua makombe ndo kitu cha muhimu zaidiii.
Pass nyingi halafu unapigwa hio inakua ni ujinga na ufalse hoper.
Ni sababu moja wapokmbe iyo ndo point ya kudefence hana quality ya mech kubwa
View attachment 2805662Kondoo zikishindaga huwa kila mchezaji wao ni world class, kumbe hawajui kwenye hicho kikundi chao cha kikoba, world class hawazid wawili.


Hahahahahaha hii komemti imenchekesha😅😅😅😂😂🤣🤣Kai havertz na Jorginho mbona mnawabebesha lawama kila siku, kwani hawa wachezaji walikuja bure ama? Tupige gharama zao tuone maana sidhani kama wanapungua si chini ya paundi million 70.
Kai havertz mfungaji wa final uefa na Jorginho ndo mchezaji bora wa uefa sasa nyinyi arsenal hakuna mchezaji mwenye profile kubwa kama hao wachezaji 2 then mnawakataa.
Hii inaonyesha jinsi gani hamuendani kabisa na UEFA yaani analalamikiwa kai havertz na jorginho haya kina saka na ben white jana wamefanya nini cha maana.
Sikuwahi kujua kama arsenyau wanatukana hivi wakifungwa.Ngoja tuwape visu kabisa watoboane vizuri hawa washika manati wa london
Liverpool wakifungwa tu wanaongea english jukwaa zima ili kutupoteza maboya tusio wa kwa malkia.






