Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ubaya wa kufungwa na Newcastle ni kuingia jukwaani na kukuta comments za labyrinth. Ila haya ya kutikanana humu siyo poa
 
Our next 5 matches
IMG_20231106_131009_564.jpg
 
Mashabiki wengi wana childish altitude; niliwahi kuingizwa kwenye mtego wa matusi, lakini nikagundua mapema nilikuwa na argue na mtoto, nikamuomba aniblock, kama nilivyo mblock
Pia sometyms stress, nilishapitiaga huo ujinga unakua na hasira muda wote. mtu anaweza akakukanyaga tu kidogo kwenye daladala hasira zote unamhamishia yeye, Stress mbaya sana. Huyo dada anahitaji msaada.
 
Mwana huu si ubaguzi kabisa bro. Halafu wewe ni mtu mweusi unajua (japo sina uhakika maana hatufahamiani).
Mzungu akifanya hivi tunakasirika leo hii tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe. Waafrika hata hatujui tunataka nini.
Kwani hapo kuna jina la Saka? Kwanza huyo saka mwenyew alishatukataa waafrika, Ni muengereza huyo.
 
Tatizo la arsenal mara zote huwa kiungo nyoro nyoro tangu zama za wenger. Ndio maana hata timu zinazoifunga arsenal zinafanana sifa kiuchezaji (westham,newcastle) hasa kwenye midfield kuwa na watu wa kazi chafu.
Kuanzia sasa makocha wengi wanaweza kuitumia hii weakness kuimaliza arsenal kwenye mechi zijazo.
Partey kwa kiasi chake anaweza kufanya dirty works lakini naye ni tripu shamba tripu garage.
Sio kweli, Busquets Xavi iniesta wanatosha kuimaliza Newcastle first half tu, na hakuna kiungo mwenye nguvu utakavyo wewe.

Unapocheza na timu physical unahitaji kuwa technical sio utumie nguvu, ni kama kina Mudathir X pacome dhidi ya Kina Ngoma, yani game inaisha simple tu.
 
Kila game ina mbinu zake , wewe unaona kama Newcastle katumia nguvu sio hio ni mbinu yakuwaliza ilitumika , kina viera, cygan, wiltord walikua hawatumii nguvu sio?

Winning ndo kitu cha muhimu zaidiii kwenye football kuliko chochote kile ndo maana unaona man utd ya fergie ilikua inaogopeka na kuheshimika pia chelsea ya mourinho au atletico ya simione recently hizi team za makocha hao wote zimechukua makombe ndo kitu cha muhimu zaidiii.

Pass nyingi halafu unapigwa hio inakua ni ujinga na ufalse hoper.
Sio kweli, timu zilizopo kwenye vitabu ni zile zilizocheza mpira mkubwa kuliko kushinda mataji, holland ya Johan cruyff inakumbukwa kuliko west Germany iliyochukua WC, Arrigo sachi milan, Pep's barca hata Brazil ya pele zinakumbukwa kwa mpira wa sanaa sio makombe.
 
Kai havertz na Jorginho mbona mnawabebesha lawama kila siku, kwani hawa wachezaji walikuja bure ama? Tupige gharama zao tuone maana sidhani kama wanapungua si chini ya paundi million 70 .

Kai havertz mfungaji wa final uefa na Jorginho ndo mchezaji bora wa uefa sasa nyinyi arsenal hakuna mchezaji mwenye profile kubwa kama hao wachezaji 2 then mnawakataa.

Hii inaonyesha jinsi gani hamuendani kabisa na UEFA yaani analalamikiwa kai havertz na jorginho haya kina saka na ben white jana wamefanya nini cha maana.
Hahahahahaha hii komemti imenchekesha😅😅😅😂😂🤣🤣
 
Ngoja tuwape visu kabisa watoboane vizuri hawa washika manati wa london
Sikuwahi kujua kama arsenyau wanatukana hivi wakifungwa.
Tatizo Arteta amewaaminisha hili ni toleo la invicible nyingine ndio maana hawataki kukubali ukweli mapema.

Mjifunze toka majukwaa ya timu kubwa pindi zinapopoteza point:
Man utd wanatafuta mbuzi wa kafara miongoni mwa martial.anthony,rashford,eth,n.k wanamkosoa hata kama hawajui hasira zinapoa
Liverpool wakifungwa tu wanaongea english jukwaa zima ili kutupoteza maboya tusio wa kwa malkia
Sasa nyie siku mkifungwa mnageuza jukwaa klabu ya pombe za kienyeji.
Kueni ama elimikeni.
 
Back
Top Bottom