Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee timu tuliyopanga ni sawa na timu mliyopanga mlipocheza na Marseille au wewe hupendi? Wacha fujo nenda kalale wenzio huku Alaska bado jua lipo.


Aibu!!!!!!!!!!
 
Yani hii thread nitakesha wiki nzima!!!...du, poleni sana kwa kibano cha hali ya juu!! yani cha maana sio kubahatisha...ha ha ha ha

Hii timu ni big pressure!! khaaa
 
khe khe keeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee timu tuliyopanga ni sawa na timu mliyopanga mlipocheza na Marseille au wewe hupendi? Wacha fujo nenda kalale wenzio huku Alaska bado jua lipo.
Get serious, wachezaji wote mliopanga leo ni wachezaji wa Arsenal FC na wanalipwa mshahara kila wiki, timu tuliyopanga na Marseille ilikuwa na wachezaji wanne wa Man Utd ambao wote hawakurudi kipindi cha pili. Najua ni humiliating score line ila ndio soka mkuu.

Kati ya hizo timu tano mbili ni za north London....riot nyingine iko karibuni?
AX9ZX0CCQAAbklD.jpg
 
Sasa mkuu hapo unaleta upofu yaani unafananisha charity match na EPL.....................Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeee.

Hata mngefunga mia mnapata point ngapi? Mmecheza na wachezaji ambao ni chipukizi hata Fungie wenu kakiri hicho, ni nyinyi wanazi koko ndo mmekomalia kama mmepata ubingwa tayari, mlipotoa bahasha wachezaji wetu wafungiwe mlikuwa mnafikiri nini?
 
Get serious, wachezaji wote mliopanga leo ni wachezaji wa Arsenal FC na wanalipwa mshahara kila wiki, timu tuliyopanga na Marseille ilikuwa na wachezaji wanne wa Man Utd ambao wote hawakurudi kipindi cha pili. Najua ni humiliating score line ila ndio soka mkuu.

Kati ya hizo timu tano mbili ni za north London....riot nyingine iko karibuni?
AX9ZX0CCQAAbklD.jpg

Pole mkuu mbona unafoka samahani Marseille waliifunga Arsenal ni makosa yangu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hawa waandishi habari uchwara bana ..... ...khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Since 1896....
Braza Wacha Boy, nakojoa...naenda kulala basi...unanfukuza naona...
Tuonane kesho.
 
Hili linalonekana ni wimbi la badiliko lililojitokeza karibu katika kila ligi barani ulaya. Uvamizi wa fedha za mafuta unafanya kazi. Timu zinalazimika kusajili nyota na zile zinazotegemea Academy tutabaki wasindikizaji. Upande wetu Arsnal sera zinatakiwa zibadilike huu sio nyakati za kuwa na player mmoja tu ataelipwa kuanzia 100,000 paundi coz hatutopata wachezaji nyota
 
nuKsi ilianza pale tu alipoondoka kaka mkuu Patrick Vieira.
Ikumbukwe kuwa Vieira alikuwa muhimili wa Arsenal kiasi kwamba washabiki wenyewe walikuwa wakiimba ''vieraa oooh oooh ooooh Vieiraa.''
Nuksi haikuishia hapo wakaja watu kama Wiltord, Edu, A. Cole, Kolo toure, Pires, Ljungberg, Ray Palour, Reyes, Kanu, Gilberto, Campbell, Lauren, Henry, Hleb, Clichy, Nasri na Fabulous ambaye ndani ya wiki mbili amebeba makombe mawili.
kiukweli kujenga timu huku unauza walio tayari hizo ni porojo tu kama zile tunazopewa na serikali ya CCM.

Kujenga timu sio kitu rahisi wajomba, waulizeni Barca walitumia muda gani kukaa nje ya ulimwengu wa soka tangu fainali yao ya mwisho ya champions league mwaka 1994 waliokula goli 4-0 na AC Milan, na fainali nyingine ndio ile waliowafunga Arsenal goli 2-1 na kisha ndio wameshika moto mpaka sasa.
Sasa jiulizeni je imetumia muda gani kurudi tena on top?

Barantanda na wenzako Tafakarini hili kisha pazeni sauti na kukata minyororo ya muovu shetani Wenger.
 
<font color="#800000"><font size="4"><b>Hata mngefunga mia mnapata point ngapi? Mmecheza na wachezaji ambao ni chipukizi hata Fungie wenu kakiri hicho, ni nyinyi wanazi koko ndo mmekomalia kama mmepata ubingwa tayari, mlipotoa bahasha wachezaji wetu wafungiwe mlikuwa mnafikiri nini?</b></font></font>
...

Mkuu wacha1 vile vikina welbaxk sijui, smalling na vitoto vingine hata sivijui vimepangwa leo na Fergie.

Sasa kama hao watoto mlipanga peke enu basi nashukuru.

Kikubwa nachokiona hapa ni kuwa Arsenal ya kipindi kile wanacheza wachezaji wenye umri mkubwa ilikuwa inafanya vizuri, lakini tangu mbadili mfumo mambo yamezidi kuwa magumu ndugu zanguni.

Mpoto alimshauri mjomba ''fukuza wote hao, kuanza upya sio ujinga''
 
dah poleni sana ingawa mzidi kujipa moyo tu...ila wenger eshachoka now hana jipya tafuteni mwingine
 
Kikosi cha leo hiki hapa chini .... .... .... kama umemsikiliza Fungie kasema Arsenal team ilikuwa very weak .... .... ..
upuuzi mtupu, kikosi weak si chenu.... nao pia ni wachezaji wa ass n' hole




We will bounce back .... .... .... ... in Arsene we trust ... ....
In your dream

leo kikopo kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, hakuna cha kwakwa, kwekweweew, kwikwikwiiii wala nini
 
poleni sana ndugu zetu... cesc na nasri walikiona hicho kipigo wakaona wakiepuke mapema
 
juma 5 dirisha la usijili linafungwa mpaka sasa naona yule mkorea tu ndio kuna uwezekano.. wa kuja emarates
 
juma 5 dirisha la usijili linafungwa mpaka sasa naona yule mkorea tu ndio kuna uwezekano.. wa kuja emarates
Wenger amesema jana kwamba wahusika wako busy kukamilisha masuala ya usajili na kuna mkutano wa excutive unaendelea leo ila sidhani kwamba tutasajili wale tunaoamini wataziba mapengo.
Hata wao (bodi) naona wamehemewa na mashambulizi kila kona. Wachezaji quality wapo kibao sokoni usimsikilize Wenger ila tatizo mishahara yetu ni midogo ni vigumu kwa top players kukubali.
Aidha tutoke nje ya muundo na tukubali kulipa kama wengine ama tuendelee kuriski na kununua toka kwenye vijiligi vidogo-vidogo na nje ya Ulaya.
 
Wenger amesema jana kwamba wahusika wako busy kukamilisha masuala ya usajili na kuna mkutano wa excutive unaendelea leo ila sidhani kwamba tutasajili wale tunaoamini wataziba mapengo.
Hata wao (bodi) naona wamehemewa na mashambulizi kila kona. Wachezaji quality wapo kibao sokoni usimsikilize Wenger ila tatizo mishahara yetu ni midogo ni vigumu kwa top players kukubali.
Aidha tutoke nje ya muundo na tukubali kulipa kama wengine ama tuendelee kuriski na kununua toka kwenye vijiligi vidogo-vidogo na nje ya Ulaya.

sasa yule tycoon wetu wa kimarekani aliyenunua shere nyingi kazi yake nini.. mi nilidhani at list atakuja kutusaidia hata kidogo
 
Back
Top Bottom