Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Kweli
Usiwe na wasi wasi mkuu, the one who laughs last, laughs louder ... .... .. ndio mpira huo kuna kushinda na kufungwa, yes Manure wapinzani wetu wakubwa lakini ni point tatu tumekosa ... ... ... utachezesha kikosi ulichonacho. Carhill anaringa hataki kuchezea Arsenal sawa sawa na Mata tu, lazima upate mchezaji mzuri anayetaka kuchezea timu. Angalia Tevez hataki kuchezea Mancs thats how it goes ......
BTW Wenger alijua kikosi hiki hawawezi kuishinda Manure ... ... believe me. timu ya leo bado changa sana ukiondoa kipa, RSV, Walcott na Arshavin.
Usiwe na wasi wasi mkuu, the one who laughs last, laughs louder ... .... .. ndio mpira huo kuna kushinda na kufungwa, yes Manure wapinzani wetu wakubwa lakini ni point tatu tumekosa ... ... ... utachezesha kikosi ulichonacho. Carhill anaringa hataki kuchezea Arsenal sawa sawa na Mata tu, lazima upate mchezaji mzuri anayetaka kuchezea timu. Angalia Tevez hataki kuchezea Mancs thats how it goes ......
BTW Wenger alijua kikosi hiki hawawezi kuishinda Manure ... ... believe me. timu ya leo bado changa sana ukiondoa kipa, RSV, Walcott na Arshavin.