Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mzee wenger ndio kwanza amesisitiza tumecheza pungufu ya wachezaji wanane regular!! bado sio sababu ila naona huyu mzee inabidi apate msaada kwani muonekano wake leo alionekana kuchoka sana. wakati akina Fergie, Villa Boas, Mancini wamemaliza biashara, yeye anakosa usingizi kukamilisha dili za ubwete.
Yaani nimengalia highlights jinsi uzembe umefanyika siwezi kuamini. Magoli yote yanajieleza kwamba ni ukosefu wa uzoefu, tumegawa free-kicks za kizembe, hakuna kiongozi nyuma, madogo Jenkinson na Traore wamekosa back-up ya kuwasaidia, central backs ya Djourou na Konscielny ni mbovu kabisa, yaani huyu Konscienly nashindwa kumuelewa, mawasiliano yake mbovu, usomaji wake wa mchezo zero, yeye anajua hana pace na ni last deffender lakini kila mara unamkuta anacheza high line hadi amesababisha Jenkinson alimwe kadi. Tunahitaji uzoefu wa Cahill haraka amsaidie TV5 kuokoa huu msimu.
 
Only Chelsea, the Kings of London can stop the Mancs!
Wenger atakwambia goli la kwanza lilikuwa offside, la tatu haikuwa faulu and "I didn't see the other 5 goals".. Penalty ya RVP, "the ref should have allowed him to retake it"
 

Kikosi cha leo hiki hapa chini .... .... .... kama umemsikiliza Fungie kasema Arsenal team ilikuwa very weak .... .... ..



We will bounce back .... .... .... ... in Arsene we trust ... ....
 
Wenger atakwambia goli la kwanza lilikuwa offside, la tatu haikuwa faulu and "I didn't see the other 5 goals".. Penalty ya RVP, "the ref should have allowed him to retake it"

Ha ha haaa, mkuu unamfahamu vizuri arsene wenger maana haishiwi maneno ya utetezi kwa kupindisha hata ukweli ulio dhahiri.
 

The records so far .. .... ... . .
 
Wenger atakwambia goli la kwanza lilikuwa offside, la tatu haikuwa faulu and "I didn't see the other 5 goals".. Penalty ya RVP, "the ref should have allowed him to retake it"


hahahahahaha, I like it!
 

Mambo ya upungufu sitaki kusikia,replacement huwa zinatakiwa ziwe na kiwango cha kuwakilisha jina la Arsenal kikamilifu sio kukamilisha sheria ya Fifa ya wachezaji 11 uwanjani.

Kama hawafai kutuwakilisha basi wasiwepo kabisa kwani kibao cha magoli hakisemi Man united 8 Arsenal weak side 2.

Hapa leo tumefungwa Arsenal na uchungu nimeupata kinomaaaaa kwa kufungwa goli nyingi na hawa wapinzani wetu.
 
Bahasha za mwaka huu zimekuja na mtindo mpya wa red cards kwa wachezaji wa Arsenal .... .... ... tena nyingine za mezani ... .... ... Gervino red card ridiculous, Song FA meeting ... ..... leo Jenkinson then unafikiri nini?
 
Bahasha za mwaka huu zimekuja na mtindo mpya wa red cards kwa wachezaji wa Arsenal .... .... ... tena nyingine za mezani ... .... ... Gervino red card ridiculous, Song FA meeting ... ..... leo Jenkinson then unafikiri nini?

Ha ha haa, mkuu huwa nikisoma comment zako nikizifananisha na za kocha wenu naona ni mule mule tu.

Kama mshajua bila bahasha mambo hayaendi, kwanini nanyi msitoe? kwenye kusajili wabahili hata na kuwaona marefa na FA??
 
Naona Mods mmenifanyie mtima nyongo...for the past two hrs nashindwa ku post kitu...najua n hujuma ya Wacha boy akifwatana na Mbu na AW.....sawa tu lakn.
 
Naona Mods mmenifanyie mtima nyongo...for the past two hrs nashindwa ku post kitu...najua n hujuma ya Wacha boy akifwatana na Mbu na AW.....sawa tu lakn.

Ha ha ha, manda leo mmetuadhiri fair and square.
Big up kwa Man U, and the fans.

We will be back.
 
Kikosi cha leo hiki hapa chini .... .... .... kama umemsikiliza Fungie kasema Arsenal team ilikuwa very weak .... .... ..




We will bounce back .... .... .... ... in Arsene we trust ... ....

Tutarudi ila pamoja na yote hata wao (Utd) kulikuwa hakuna Vidic, Rafael, Rio, Valencia etc. Hili tatizo la kutokuwa na quality back-up players halijaanza leo. Miaka ya nyuma hapa tulikuwa tunajivunia back-up players wetu wale tulikuwa tunawachezecha carling cup tu. Tatizo bodi hii inaendesha timu kitamaa, haiwezekani ukiangalia quality ya wale wachezaji wetu walioondoka kuanzia akina Gilberto, Ashley, Flamini, Henry, Vieira, Ade, Kolo, Gael, Nasri, Cesc etc. Ukiaangalia quality ya wale walioondoka hatukujaribu na kuziba kwa quality ya kununua, labda TV5 , yes tumebahatika na akina Wilshere, Frimpong na Gibbs through academy lakini uimarishaji umekuwa dhaifu. (Faida mbele)
Wakati huo-huo wapinzani wetu wamekuwa wakijiimarisha, sasa na sisi kwa nini hatukuwa makini kuongeza quality? Mfano kwa nini tukanunue Kosceilny Chamakh na Charmbelein na sio Cahill, Sneijder na kifaa kama Dzeko? Hio ndio sababu imetufanya tukipata majeruhi first eleven tunabaki na wachezaji magarasa tu.
Revolution inahitajika, timu zote zina idadi sawa ya wachezaji, tatizo ukiondoa first eleven sisi tunaongeza quantity tu na sio quality, yaani tunaenda kununua wachezaji wa milioni milioni.
 
Kikosi cha leo hiki hapa chini .... .... .... kama umemsikiliza Fungie kasema Arsenal team ilikuwa very weak .... .... ..




We will bounce back .... .... .... ... in Arsene we trust ... ....



Hakuna cha kikosi cha pili wala nini. Kwani sio wachezaji wenu hao au?
 
To be an Arsenal fun is bad for my health,I can't take much of it anymore!!!!!!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…